Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Robert Amsterdam bado yupo nchini?Mahakama kwa Sasa imeanza kurudi kwenye 'mstari' baada ya kuona alama ya taa nyekundu kuelekea 2020.
Kwani Mayanga construction Chato LTD anasemaje?Hivi Robert Amsterdam bado yupo nchini?
Unacheza na akili kubwa ile wewe!!? Kuna judge wa kumfunga Lisu Tanzania hii? Hawa kuku wa jiwe weupe kichwani kama theluji.Mwambieni Lissu November 6 sio mbali ana kesi za kujibu na akifanya mchezo tutamfunga akanyee debe.
Comrade wala usimjaze ujinga uyo Lissu akaleta dharau kuwa hakuna wa kumfunga. Na kwa jinsi alivyofanya kampeni kwa dharau na kejeli kwa number one sioni kama atachomoka salama. Si mnasema "mjomba" ni mtu wa visasi basi subiri muone Lissu anaenda kunyea debe.Unacheza na akili kubwa ile wewe!!? Kuna judge wa kumfunga Lisu Tanzania hii? Hawa kuku wa jiwe weupe kichwani kama theluji.
Unamjua Robert Amsterdam ama unamsikia tu wewe???Comrade wala usimjaze ujinga uyo Lissu akaleta dharau kuwa hakuna wa kumfunga. Na kwa jinsi alivyofanya kampeni kwa dharau na kejeli kwa number one sioni kama atachomoka salama. Si mnasema "mjomba" ni mtu wa visasi basi subiri muone Lissu anaenda kunyea debe.
Hata kwenye mikutano yake mlikuwa mnampa moyo kama hivi matokeo yake ameta kura mili. 1Unacheza na akili kubwa ile wewe!!? Kuna judge wa kumfunga Lisu Tanzania hii? Hawa kuku wa jiwe weupe kichwani kama theluji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti Amsterdam, na huyu ndio kachagia Lisu kupata kura mil. 1Unamjua Robert Amsterdam ama unamsikia tu wewe???
Idadi ya kura alizopata Magufuli Lisu ameitaja siku anafunga kampeni Kawe. Kwahiyo ni wizi mtupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti Amsterdam, na huyu ndio kachagia Lisu kupata kura mil. 1
Kwa kupika takwimu hata angeweza kuqndikiwa laki moja. Maana ni maamuzi ya waliopika. Wangehesabu kura waoneHata kwenye mikutano yake mlikuwa mnampa moyo kama hivi matokeo yake ameta kura mili. 1
Pimbi tu huyo hana ishuUnamjua Robert Amsterdam ama unamsikia tu wewe???
kama ulikuwepo vile...kwa sauti ya Kingwendu!Mtasubiri sana narudia huko kote mnakozunguka msidhani mtapata hizo.kura za wale wanaojaa mkutanoni,
Tarehe 30 uje upinge kama mtazidi kura milioni 2.
Kumbe ijumaa eeee..... amstadam anafika lini😁😁😁😁Mwambieni Lissu November 6 sio mbali ana kesi za kujibu na akifanya mchezo tutamfunga akanyee debe.
Kwa kauli hii atasalimika kweli!!Mwambieni Lissu November 6 sio mbali ana kesi za kujibu na akifanya mchezo tutamfunga akanyee debe.