Mahakama ya Temeke wanasumbua kulipa pesa za Mirathi bila hoja za msingi

Mahakama ya Temeke wanasumbua kulipa pesa za Mirathi bila hoja za msingi

Polee MKUU.. endelea kuvumilia.. umepanga kuifanyia nini? Mgao wako wa MIRATHI
 
Wasilisha malalamiko yako kwa Msajili wa Mahakama au kwa in charge wao hapo Mahakama ya TMK ulizia Senior Magistrate In charge wa hiyo mahakama halafu muelezee tatizo atamaliza faster.

Hakuna Hakimu au Jaji anasumbua Ila kuna watu wanaitwa makarani, hao wahadibu na Court Brokers hao ndio wanaichafua taswira ya Mahakama yetu tukufu. At least naweza kusema katika mihimili mitatu ya Dola, basi huu mhimili wa Mahakama umesimama vizuri na maboresho ni mengi wamejitahidi kuondoa makanjanja na kuweka wasomi wanaofuata misingi ya haki.
Mkuu umeongea kwa ukweli kabisa ILA tuangalie upande wa pili wa coin ,hayo uliyoyashauri hapo juu yanawezekana?ni kweli wadai wakifuata ushauri huu watafanikiwa?maana end of the day watarudishwa kule kule wanakusumbuliwa;wakuu humu ndani tuwe na WILL ili kuepusha kuacha mess tunapokua tumekufa,why warithi wasipate mafao yao STRAIGHT kutoka kwenye mifuko ?why fedha hii inapelekwa pale Temeke?tafadhali naomba ushauri may be i mis something here.
 
Mkuu umeongea kwa ukweli kabisa ILA tuangalie upande wa pili wa coin ,hayo uliyoyashauri hapo juu yanawezekana?ni kweli wadai wakifuata ushauri huu watafanikiwa?maana end of the day watarudishwa kule kule wanakusumbuliwa;wakuu humu ndani tuwe na WILL ili kuepusha kuacha mess tunapokua tumekufa,why warithi wasipate mafao yao STRAIGHT kutoka kwenye mifuko ?why fedha hii inapelekwa pale Temeke?tafadhali naomba ushauri may be i mis something here.
Ni kweli Kuna haja ya watu kuwa na utaratibu wa kuandaa Will. Tatizo unajua sio Will pekee Ila shida huwa inakuja kwa hao warithi au wasimamizi wa Mirathi na ndipo mahakam huamua kusimama kama msimamizi baada ya kuona kuna mtafaruku kwenye kugawa hiyo mali ya marehemu ikiwemo pesa.

Endapo itatokea mtafaruku kwenye shauri la kuomba Mirathi Mahakama Ina uwezo wa kutafuta msimamizi yenyewe na ikampa majukumu ya kusimamia mgawanyo wa mali na kupeleka mrejesho wa namna mgao ulivyofanyika.

Pia Mahakama inaweza kuamua kugawa hizo mali yenyewe kama itaona ni sawa kufanya hivyo ili kuondoa migongano baina ya warithi na mara nyingi ni Kama hakuna mali nyingi au ni ishu inahusisha mgao tu was pesa jambo ambalo Mahakama inaweza kusimamia mgawanyo huo kwa wepesi na haraka.

Pia Mahakama inaweza kumteua RITA kusimamia mgawanyo wa mali ya Mirathi au kurithi pia kama pesa au mali haijulikani nani ni mrithi maana kuna watu wengine wanafariki na wanaacha mali bila kuacha Will na anakuwa ameishi hana ndugu Wala mtoto. Hii hutokea sana kwa wahamiaji.

Sasa kujibu swali lako la kwa nini pesa imeamuriwa ipelekwa Mahakamani wakagawiwe pale nadhani nitakuwa nimekujibu kulingana na maelezo yangu hapo juu.

Japo sina facts zilizopelekea Mahakama kuamua kutoa order ya pesa zipelekwe na kugawiwa Mahakamani, kutokana na mazingira ambayo sheria imetamka basi ni wazi kwamba kuna uwezekano hao ndugu wamekuwa wakivutana kuhusu mgao wa pesa na Mahakama inaweza kuwa imeona kwamba kuna wajanja wanataka wawazidi wenzao either sababu ni pesa basi wawape kidogo au wasiwape kabisa na kutoa visingizio kama vile pesa haijatoka nk.

Tatizo kwetu waafrika sio tu kuacha Will,, wengine Will unakuwepo na bado wanataka kumdhulumu mrithi halali, tamaa huwa inasumbua. Unakuta mtu ameamua kumrithiisha mali mtu fulani mali ambayo labda Ina thamani kubwa hapo ndipo shida huanza, jamii inatakiwa kubadilika.

Unakuta mume au mke kafariki lakini anatokea baba mdogo huko anaanza kutaka kumdhulumu mjane au mgane. Hii ipo sana kwenye jamii au unakuta msimamizi wa Mirathi huwa anahisi ndio kama amepewa mali yeye wakati yeye anasimamia mgawanyo tu na anaweza asiwe sehemu ya warithi Ila nao huwa wanaanza kuwa na tamaa.
 
Wanataka hela hao mzee,hii ni bongolala
 
Polee MKUU.. endelea kuvumilia.. umepanga kuifanyia nini? Mgao wako wa m
Polee MKUU.. endelea kuvumilia.. umepanga kuifanyia nini? Mgao wako wa MIRATHI

Mirathi ni kwa ajili ya kumbukumbu ya mzazi wenu. Njia sahihi ya kumuenzi ni kufanyia alichokuwa anakipenda marehemu
 
Ni kweli Kuna haja ya watu kuwa na utaratibu wa kuandaa Will. Tatizo unajua sio Will pekee Ila shida huwa inakuja kwa hao warithi au wasimamizi wa Mirathi na ndipo mahakam huamua kusimama kama msimamizi baada ya kuona kuna mtafaruku kwenye kugawa hiyo mali ya marehemu ikiwemo pesa.

Endapo itatokea mtafaruku kwenye shauri la kuomba Mirathi Mahakama Ina uwezo wa kutafuta msimamizi yenyewe na ikampa majukumu ya kusimamia mgawanyo wa mali na kupeleka mrejesho wa namna mgao ulivyofanyika.

Pia Mahakama inaweza kuamua kugawa hizo mali yenyewe kama itaona ni sawa kufanya hivyo ili kuondoa migongano baina ya warithi na mara nyingi ni Kama hakuna mali nyingi au ni ishu inahusisha mgao tu was pesa jambo ambalo Mahakama inaweza kusimamia mgawanyo huo kwa wepesi na haraka.

Pia Mahakama inaweza kumteua RITA kusimamia mgawanyo wa mali ya Mirathi au kurithi pia kama pesa au mali haijulikani nani ni mrithi maana kuna watu wengine wanafariki na wanaacha mali bila kuacha Will na anakuwa ameishi hana ndugu Wala mtoto. Hii hutokea sana kwa wahamiaji.

Sasa kujibu swali lako la kwa nini pesa imeamuriwa ipelekwa Mahakamani wakagawiwe pale nadhani nitakuwa nimekujibu kulingana na maelezo yangu hapo juu.

Japo sina facts zilizopelekea Mahakama kuamua kutoa order ya pesa zipelekwe na kugawiwa Mahakamani, kutokana na mazingira ambayo sheria imetamka basi ni wazi kwamba kuna uwezekano hao ndugu wamekuwa wakivutana kuhusu mgao wa pesa na Mahakama inaweza kuwa imeona kwamba kuna wajanja wanataka wawazidi wenzao either sababu ni pesa basi wawape kidogo au wasiwape kabisa na kutoa visingizio kama vile pesa haijatoka nk.

Tatizo kwetu waafrika sio tu kuacha Will,, wengine Will unakuwepo na bado wanataka kumdhulumu mrithi halali, tamaa huwa inasumbua. Unakuta mtu ameamua kumrithiisha mali mtu fulani mali ambayo labda Ina thamani kubwa hapo ndipo shida huanza, jamii inatakiwa kubadilika.

Unakuta mume au mke kafariki lakini anatokea baba mdogo huko anaanza kutaka kumdhulumu mjane au mgane. Hii ipo sana kwenye jamii au unakuta msimamizi wa Mirathi huwa anahisi ndio kama amepewa mali yeye wakati yeye anasimamia mgawanyo tu na anaweza asiwe sehemu ya warithi Ila nao huwa wanaanza kuwa na tamaa.

Kuwe na will ama kusiwe na will Hela yoyote ya mirathi lazima ipelekwe account ya mahakama. Iwe mirathi ina amani ama ina ugomvi. Huo ni utaratibu wa lazima.

Hakuna mirathi ambayo hela ya marehemu haipiti mahakamani hata kama marehem ana mtoto mmoja tu
 
Polee MKUU.. endelea kuvumilia.. umepanga kuifanyia nini? Mgao wako wa m
Mkuu umeongea kwa ukweli kabisa ILA tuangalie upande wa pili wa coin ,hayo uliyoyashauri hapo juu yanawezekana?ni kweli wadai wakifuata ushauri huu watafanikiwa?maana end of the day watarudishwa kule kule wanakusumbuliwa;wakuu humu ndani tuwe na WILL ili kuepusha kuacha mess tunapokua tumekufa,why warithi wasipate mafao yao STRAIGHT kutoka kwenye mifuko ?why fedha hii inapelekwa pale Temeke?tafadhali naomba ushauri may be i mis something here.

Fedha yoyote ya mirathi ni lazima ipelekwe account ya mahakama ambapo mirathi imesikilizwa. Kuwe na will ama kusiwe na will hela lazima iende mahakamani hata kama mrithi ni mmoja tu.

Mifuko ya hifadhi ya jamii ama bank hazina ruhusa ya kumpa mrithi straight bila hela kupita mahakamani
 
Mahakama ya wilaya ya temeke ina wafanyakazi wa ajabu sana.

Tumekamilisha taratibu zote za mirathi za mzee wetu.

Bank alizokuwa anatumia marehemu, mifuko ya hifadhi ya jamii psssf na mobile money zote zimetuma pesa kwenda kwenye account ya mahakama toka october 2021

Barua ya mchanganuo wa mgao wa mirathi imepelekwa toka November mwanzoni. Na taratibu zote za zikafanyika kama kujaza vendor form na nyaraka za kibenk za warithi wa marehemu.

Ila mpaka leo mahakama haijawalipa hao warithi.

Msimamizi wa mirathi akienda kufatilia anaambiwa subiri. Kuna wafanyakazi wa idara ya uhasibu wamepatwa na msiba wa wazazi wao. Ukaguzi bado hawajaumaliza.

Siku nyingine wakienda wanaambiwa December kuna sikukuu nyingi sasa walipaji hawakuwa kazini.

Akienda kuulizia tena anaambiwa mlipaji ameenda likizo fupi.

Miezi zaidi ya miwili ni longo longo tu

Kweli mfanyakazi akipata msiba na ofisi yake mahakamani inasimama kufanya kazi zake mpaka arudi ?
Mkuu hilo linawezekanaje? PSSSF huwa wanaweka pesa moja kwa moja kwenye akaunti za wanufaika kuendana na mgawanyo wa mali kama unavyokuwa kwenye form namba VI inayopatikana mahakamani. HAKUNA namna yoyote inawezekana PSSSF wakatuma pesa kwenye akaunti ya mahakama.
Kama marehemu alikuwa na madeni basi kuna utaratibu wa kuyalipa moja kwa moja.
Kuhusu Bank na Mobile money sijui inakuwaje ila kwa PSSSF haiwezekani pesa kutumwa kwenye akaunti ya mahakama. Hata kama mnufaika amezaliwa leo basi itabidi afunguliwe akaunti yake na hela itatumwa huko.
 
Kinachokosekana ni uwazi wa kupewa taarifa, Mimi ni Muhasibu wa mahakama pia Kuna taratibu za kiofisi ambazo lazima ziwe kwa maandishi,mfano pesa zikishaingizwa Judiciary Mirathi Account lazima ziwe approved kutoka makao makuu then mh hakimu aidhinishe malipo ndo mlipwe sio kitu Cha siku moja ni process kidogo.

Huu mchakato huchukua wastani wa miezi mingapi?
 
Mc
Mkuu, Naomba kukuuliza kama nakala ya hukumu ya mirathi mlishapewa?

Kama malipo yote ya marehemu yalishaingizwa kwenye account ya mahakama, Na kama ni kweli wategemezi mlifata taratibu zote ikiwemo kujaza vendor form, Basi tatizo lipo kwa Muhasibu wa mahakama.

Kinachokosekana ni uwazi wa kupewa taarifa, Mimi ni Muhasibu wa mahakama pia Kuna taratibu za kiofisi ambazo lazima ziwe kwa maandishi,mfano pesa zikishaingizwa Judiciary Mirathi Account lazima ziwe approved kutoka makao makuu then mh hakimu aidhinishe malipo ndo mlipwe sio kitu Cha siku moja ni process kidogo.

Ninachokiona ni ww kuwa na jazba au kutokupewa taarifa kamili na hao wahusika. Kwa situation uliyofikia haikupaswa uwe mtu wa hasira jitahidi kumfanya uyo Muhasibu kuwa rafiki ili akupe taarifa sahihi kwa wakati. Jishushe ongea nao kirafiki uone kama hawatokuhudumia vizuri.

Kama imeshindikana unaweza pia kuwasilisha malalamiko yako kwa msajili wa mahakama au hakimu husika kwa hatua zaidi. Kumbuka malalamiko yawe kwa njia ya maandishi sio mdomo.

Mahakama ya Tanzania kwa sasa imejitahidi kufanya maboresho hasa wakati huu ambao huduma zote zitahamia kwenye mfumo wa tehama.

Ni vyema ukawepo hapo mahakamani siku ya kilele Cha wiki ya sheria jumanne ya tar 2 February ili utoe kero yako hapo hapo na utasikilizwa.
Pesa kuwa approved ni zoezi la miezi mingapi ikishaingizwa Mirathi account?

Kama shauri la Mirathi lilifunguliwa mahakama ya mwanzo na hatua zote zimatamatika,msimamizi anatakiwa kufuatilia mahakama ngazi ipi kujua kinachoendelea?
 
Back
Top Bottom