Mtoa post moderator muwe mnaficha majina ya hayo wa husika , Sio sawa kbsa privacy za watu kuw waz
Yes. Kanisa katoliki lina mahakama ya ndoa.Kanisa lina Mahakama ?
Ulishawahi kushiriki au ni hearsaywana utaratibu wa kuyafanya hayo.....na watoto wao walikuwa na shule maalum toka enzi ref, Shule ya Sekondari Kifungilo
House Boy wako anakutafutaMtaniiii, hadi wewee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kanisa wala mskiti wenye mahakama hayo ni mabaraza tu.Yes. Kanisa katoliki lina mahakama ya ndoa.
Yes. Kanisa katoliki lina mahakama ya ndoa.
Masister wanateseka sana na breast cancer, huwez mkuta sister ana cervical cancer, wengi wao ni breast cancer kwasababu hawanyonyeshi.Masista je?
Umeandika nini sasa! Kama masista hawana cervical cancer, hapo si afadhali kila mwanamke awe sister.Masister wanateseka sana na breast cancer, huwez mkuta sister ana cervical cancer, wengi wao ni breast cancer kwasababu hawanyonyeshi.
Kwa namna flani sio kweli, ila kuna madhara mengine mwanamke hata mwanaume anaweza pata asipojihusisha kimapenziUongo huo
Nimejaribu kukuelimisha kwa swali uliouliza, masister wanapata cancer za matiti sio kwa sababu ya kukosa tendo la ndoa bali ni kwasababu hawanyonyeshi.Umeandika nini sasa! Kama masista hawana cervical cancer, hapo si afadhali kila mwanamke awe sister.
Vijana mnapenda uzinzi kwelKwa namna flani sio kweli, ila kuna madhara mengine mwanamke hata mwanaume anaweza pata asipojihusisha kimapenzi
Ndio lakini pia hapana, kwann?? Mungu alituumba tuingie kweny hayo mambo baada ya kufunga ndoa, muda aliouweka kutoka kuzaliwa hadi kufunga ndoa ulikuwa ni muda ambayo hata kama hufanyi chochote huwez patwa na madhara, plus good diet na mazoezi inasaidia sana kutunza afya, lakini sasa mambo yamebadilika, kwanza tunachelewa kuoa na kuolewa kwasababu ya shule(kusoma) pia hali ya maisha, lishe duni, hatufanyi mazoezi, malezi mabaya haya yote plus kukosa tendo la ndoa lazima upate msongo wa mawazo au hormonal problems, we acha tuu tufanye mzee.Vijana mnapenda uzinzi kwel
Wanapigwa sana miti hao ila kisirisiri sana.Masista je?
Mtu akisha andika habari akaingiza Mungu huwa sisomi tena asante mkuu kwa mchango wako.Ndio lakini pia hapana, kwann?? Mungu alituumba tuingie kweny hayo mambo baada ya kufunga ndoa, muda aliouweka kutoka kuzaliwa hadi kufunga ndoa ulikuwa ni muda ambayo hata kama hufanyi chochote huwez patwa na madhara, plus good diet na mazoezi inasaidia sana kutunza afya, lakini sasa mambo yamebadilika, kwanza tunachelewa kuoa na kuolewa kwasababu ya shule(kusoma) pia hali ya maisha, lishe duni, hatufanyi mazoezi, malezi mabaya haya yote plus kukosa tendo la ndoa lazima upate msongo wa mawazo au hormonal problems, we acha tuu tufanye mzee.
No problem.Mtu akisha andika habari akaingiza Mungu huwa sisomi tena asante mkuu kwa mchango wako.
Tatizo hupo makini na uandishi. Neno hana umeandika ana. H katika andishi linaweza kubadili maana ya andishiNimejaribu kukuelimisha kwa swali uliouliza, masister wanapata cancer za matiti sio kwa sababu ya kukosa tendo la ndoa bali ni kwasababu hawanyonyeshi.