- Thread starter
- #121
Mtoa post moderator muwe mnaficha majina ya hayo wa husika , Sio sawa kbsa privacy za watu kuw waz
Mahakama ndio inaziweka wazi.
Hata wewe ukigoogle tu hayo majina utaona website za mahakama zinakuonesha nakala za Divorce yao.
Mahakama hainaga siri wala kuficha ficha vitu