Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh. bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe

Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh. bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe

Kwani hakupata urithi?
Atumie mirathi yake kuwalipa aliowatukana
Mtumaji mkuu kafwaa...Waliobaki wote wanapiga magoti kwa Mother ili kuyashibisha matumbo yao, hawataki kusogelewa na Musiba hata within 1 km
 
Wamshtaki woote alowachafua bado Zitto alochafuliwa kuwa amekula mke wa rafiki yake marehemu filiku
 
Kwani lipo? Wafanyakazi wanamdai nao sijui wapo kwa Pilato!
Mie sijui kama halipo ila najua waandishi wake wapo hapa hapa jf, hivyo wanaweza kikanusha kuwa bosi wao yamempata hayo 😂😂

Waanzisha thread we subiri utaona
 
Bilioni 7+ Bilioni 6= Bilioni 13 (Milioni 13,000).

Nitamchangia Musiba elfu 5 nyingine atamalizia mwenyewe ndio uwezo wangu ulipoishia.
 
Katika Ufalme ule nani angemgusa Cyprian Musiba.

Huu ni mwanzo tu

"Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza"; Ufu 18:2

 
Hii chain ya akina musiba ni ndefu sana kuwawajibisha wachache tu ni siasa.
 
Watachukua mali yote aliyonayo kwanza mpaka ifike bil6...itakayobakia ataamriwa atoe utaratibu wa namna ya atakavyolipa
Kama mali haifiki 6B? Let's say mali ni 100M, hapo itakuwaje? Tunakifunza
 
Wajifunze wale wote waliokuwa wakitenda uovu kwa kisingizio cha kutetea mkubwa aliyepo madarakani au uzalendo, maana mkubwa akiondoka mfumo wa udiktekta uchwara huondoka naye bila kuacha mfumo huo kuendelea kuwabeba.
 
Ni dhahiri huyu muhanga hawezi kulipa hizo faini. Je hukumu kwa kawaida ikitoa adhabu ya faini pia husema iwapo mshitakiwa atashindwa kulipa huwa kuna option ya kutumikia kifungo! Je hukumu hizo zote mbili dhidi ya Musiba hazizungumzii hiyo option ya kutumikia kifungo kwa huyu kiumbe?
Unapo kazi a hukumu kuna option Tatu. Ya kwanza mdaiwa alipe mwenyewe ya pili kukamata Mali zake na kunadi na ya Tatu kumuweka ndani kama mfungwa wa madai mpaka atakapo Lipa. Thus hio option ya kumuweka ndani ipo kwenye kesi zote 2
 
Naona pia baada ya Musiba kuangukia pua hata demu wake Veronica France katoweka kiaina yake 🤣🤣
 
Unapo kazi a hukumu kuna option Tatu. Ya kwanza mdaiwa alipe mwenyewe ya pili kukamata Mali zake na kunadi na ya Tatu kumuweka ndani kama mfungwa wa madai mpaka atakapo Lipa. Thus hio option ya kumuweka ndani ipo kwenye kesi zote 2
Ok kumbe ndivyo ilivyo
 
Back
Top Bottom