Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh. bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe

Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh. bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe

Musiba naomba hela zangu, the guy is fckd..........
 
Waliomtuma kutukana watu wamsaidie kulipa
Mwenzake alidai eti na yeye katumwa kufanya ujambazi na kupora watu pesa!!! Juzi kati kahukumiwa miaka 30 kama kianzio.

Sema Musiba kwa hukumu hii na isipofutwa kwenye rufaa basi ama atafilisiwa au Membe akiomba na akiwa tayari kugharamia jamaa anapigwa civil imprisonment
 
Kama anatoa 0712 aende Mombasa kwa bwana 001 atamsaudia kupunguza kias Cha deni
 
Mtu anaweza hukumiwa kwa kitu ambacho hana? Kweli sheria za dunia tuzipitie upya ziendane na hali Halisi! Haya maisha tunapita tu.
 
Musiba anende akamegwe na wale waliokuwa wakimpa kichwa wamsaidie kulipa madeni, ndiomaana alilia sana shetani mkuu a.k.a mwendakuzimu alipokufa
 
H
Mahakama kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kesi ya kuchafuliwa jina iliyokuwa ikimkabili
Kwa hiyo membe nae ameridhika kama atalipwa au? Si achukue tu roho ya msiba akatunze kwake.
 
Huyu jamaa kuna kipindi nilikuwa nafungua uzi kulalamika kwa nini anaachiwa achafue watu nilikuwa nadhihakiwa na mashabiki wake halafu baada ya muda uzi unaondolewa, naona sasa anavuna alichopanda !
View attachment 1989470
Tatizo haikuwa hoja yako, Bali kina lako tukajua ni nguvu ya 'mjani' hakuna ukweli🤣
 
Back
Top Bottom