Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Na kadi zao za uanachama walizokuwa wanalipa tangu miaka ya 60 huko nazo walikuwa wanalipiwa na simba?
Hakuna mwenye kadi mwenye akili timamu anaweza kutoa pesa yake na wenzake eti kwenda kumshitaki Hersi 😀😀😀 hiyo pesa anayotumia Mo kuhonga hai wanaojiita wazee kwenda kuivuruga Yanga angeongeza kidogo angempata Aziz ki
 
Vita ya kijasusi na kiuchumi plus uongozi!!

Hao kina mwaipopo Wana wenyewe waliojificha na huyo Eng. Hersi nae ana wenyewe waliomweka hapo!!

Na huyo hakimu alieamua hiyo kesi dhidi ya tajiri na Raise was Yanga nae ana wenyewe!!

Hiyo nertwork itaenda Hadi chamani CCM !!!

Kuna watu watashughulikiwa!!

NAWAZA TU BAADA YA KUSHIBA CHAI !!
 
TOKOMEZA WAZEE WA YANGA

POPOTE UKIWAKUTA NI SHOKA ZA KICHWA TU 😠
 
Naomba hukumu ya mahakama
 
Hakuna mwenye kadi mwenye akili timamu anaweza kutoa pesa yake na wenzake eti kwenda kumshitaki Hersi 😀😀😀 hiyo pesa anayotumia Mo kuhonga hai wanaojiita wazee kwenda kuivuruga Yanga angeongeza kidogo angempata Aziz ki
Kwahiyo mzee kilomoni nae alihongwa na Yanga ili kumkwamisha mo au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…