Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Lilikuwa ni suala la muda tu, haiwezekani timu iwe na rais wakati haijauza hisa hata moja kwa wanachama. Hersi na jamaa zake ni matapeli tu.Hawa wazee walikuwa wapi kabla ya Hersi? Kwa nini wawashwewashwe kipindi kama hiki? Timu inamichuano mingi hapo mbele na wao wanaingia kati kuvuruga timuš¤¬