Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

GENTAMYCINE naona yule mganga wao kaanza kufloat, msimu unaoanza mshindwe nyie sasa watani,,,,,,,,huyu mama wa bagamoyo nina hasira nae binafsi hata kama alikua ana boost chama letu potelea kote hata ishuke daraja timu ila pataeleweka na waganga wao washenzi
 
Kumbe ni kweli wana mganga bagamoyo.

Nilipokua huko wenyeji waliniambia huwa Yanga wanakwenda huko kuloga.

Sio siri.
 
Itakuw hao wazee ni misukule ya makolo iliyo kufa zamani inataka kuharibu mipango ya club yetu mbona sisi wazee wa yang tuko uku tumetulia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…