Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uwenyewe bila faida ni bure.Hizi timu zina wenyewe Toka enzi na enzi ..kizazi Cha saiv kudandia club inatakiwa kukaa vizuri nao Hawa wazee...
Sababu timu inafanya vizuri ndio WAHUNI wapore timu?!Mm ni simba lialia! Ila frankly speaking hao wazee akili zao hazitumiki sawasawa timu inafanya vzr wao wanaang'aika na katibu seriiously? Wanataka warud zama za bakuli au?
Porojoo hzo.
Amekuingizia wapi? Mbele au nyuma mwiko?Nipo na Chama hapa,anajilaumu sanaaaaa.
Itakuwa wazee walitaka kupewa hela ya intimidation, Hersi akaleta kujua
Hiyo itapotezwa kama ilivyopotezwa maadamano ya mzee Kilomoni,watu hawana hela kazi kuvuruga tuHakuna kesi hapo. Na waliopeleka mambo ya mpira mahakama za kiraia kimewalamba tayari.