Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo maelezo..kesi ya muda mrefu tangu mwaka 2022..walipinga siku chache kabla ya ule uchaguzi uliowaweka madarakani akina HersiKabisa kwanza walishindwa nini kupinga awali mpaka wapinge saa hii ambapo timu inakiwasha?
Amevurugwa huyo
Hili msihusishe mikia tafadhali ndugu zetu vyura.Hao wazee sio wa mikia kweli
Vyura wameshaanza kuvurugana kwenye dimbwi.Tate Mkuu njoo hapaa utoe neno, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili suala naliona tu sijafuatilia kwa ukaribu, ila kama kuna namna katiba ilikiukwa ni sawa kabisa Hersi kuachia ngazi.Nifah Tate Mkuu Labani og Bantu Lady MIXOLOGIST zipompa NALIA NGWENA Carleen nini kinaendelea huko jangwani?
Mahakama imetegesha shoti kwenye dimbwi la vyura mapema tu,sema ilikuwa tetesi,Millard ndiyo kaja na uthibitisho sasa hivi kuwa dimbwi limeshaingia tope rasmi.Breaking news ya mahakama saa 5 kasoro usiku? What a joke
Ni kweli walipinga mwanzoni kabisa wakapeleka shauri lao mahakamani,je kama timu inafanya vizuri kuliko wakati mwingine wowote kwanini wasingeenda kuifuta kesiYapo maelezo..kesi ya muda mrefu tangu mwaka 2022..walipinga siku chache kabla ya ule uchaguzi uliowaweka madarakani akina Hersi
KawaulizeNi kweli walipinga mwanzoni kabisa wakapeleka shauri lao mahakamani,je kama timu inafanya vizuri kuliko wakati mwingine wowote kwanini wasingeenda kuifuta kesi
Simba tutaipiga goli 12 pamoja na hila zenu za kununua magoli ya Saido na kipindi kile cha kiatu cha Mayele akapewa Mpole bado tuzo mnasema mtazitoa kwenye ngao ya jamiiEng hers must go
Gen z wa yanga 😁
Naunga mkono Hoja.Hili suala naliona tu sijafuatilia kwa ukaribu, ila kama kuna namna katiba ilikiukwa ni sawa kabisa Hersi kuachia ngazi.
Ajiuzulu kisha uchaguzi uitishwe upya agombee kihalali, hivyo.
Tabu ile ile🔰⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️Kawaulize