Hii sio njia sahihi.
Kama una jumba lina thamani ya mil 400 uko, uza, weka pesa kwenye joint acount ya wewe na mkeo. Weka fixed deposit. Ukifa ndugu wanaambulia vijiko tu.
HV hawa watot wa mengi wanpeleka wapi Mali huku wait wenyewe Hakuna aliye oa na hawan watoto
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wanataka kutokuacha ushaidi kwaiyo atakufa taratibu tu pasi na shaka yoyote wala kuhisia yoyoteNa mm nimewaza hivyo hivyo, watakuwa wapalestina wa mchongo hawa
Wale OG wangeshamaliza chap kwa haraka
Wanataka kutokuacha ushaidi kwaiyo atakufa taratibu tu pasi na shaka yoyote wala kuhisia yoyote
Taahira ni wewe. Kwani tapeli hawezi kuzaa? Punguani wewe!we kweli tahila, utapeli wakati amezaa na marehemu
Kwenye pesa hata wasaidizi wanajitokeza wa kutosha...hapo haishangazi kukuta kuna jopo la Watu zaidi ya kumi wanapiga kazi.Unahisi jack ni kilaza. Na hii game anaicheza peke yake..
Hii ligi ina team work. Maana mirathi ya mengi ina zaidi ya bilioni 500.
Jack ana smart people kibao nyuma yake.
Hii ligi ni kubwa Jack kawekwa front tu. kuna watu wanaicheza kimya kimya nyuma yake kama ya Kina mwana Fa na Tigo enzi zile
Kwenye pesa hata wasaidizi wanajitokeza wa kutosha...hapo haishangazi kukuta kuna jopo la Watu zaidi ya kumi wanapiga kazi.
Huyu dada sidhani kama ana hiyo IQ ya kurisk kukwapua jasho la watu ambalo yeye hakuwa sehemu ya kulitafuta. Kuna watu huenda wanamtumia. Tatizo la kutumiwa ni pale unapoachwa mwenyewe.Kwa mzigo wa Mengi lazma risasi zitarindima tu.
Wakishindwa malizana mahakamani upande usioridhika ambao ni wa watoto wa Mzee ndio yatatokea yale yale kama ya yule dada mtangazaji kukutwa kafanywa vibaya maeneo ya kuelekea ofisini.
Anatumwa HITMAN tu anaenda kumaliza kazi in the likes of dada wa Cleopa Msuya kudadadek. Hao wachaga sidhani kama wana mda wa kuloga wakati ukimpa mtu million 50 tu anamaliza zoezi very proffessionaly.
Unakosea unapomuita hivyo mkuuKwa iyo Jacky the gold digger kaangukia pua?!
Safi Sana.