Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Halafu naona Mange Kimambi anawatafutia hifadhi kwenye ubalozi wa Marekani?Nacheka tu mwenyewe ,hawa wakienda Marekani watarudi wenyewe ,kule hakuna uswahili na lazima ufanye kazi yaani ushoga haikupi pesa ni part ya starehe tu
Aisee kumbe cocastic soon ataenda kuishi huko Santa Monica awe analeta uzi wa umbea wa kimataifa japo kwa lugha anayoimudu ya kiswahili.
 
Tuwekeeni picha zao tuwaone...
 
Choko hiloo achana nao
Mange nae mwehu anatafuta tiketi ya kuendelea kuishi US
 
Kitu gani kinaenda kupimwa
 
Yaani hata ukikutwa una marinda bado unakuwa utu na uanaume wako unakuwa umetiwa doa, watu waki imagine ulivyopimwa. Hii sheria ina udhalilishaji ndani yake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kama kupima tezi dume siku za,nyuma mtu anaingizwa dole na daktari. Ni udhalilishaji halafu taarifa haiwezi kuwa biased ili kumkomoa na ku.chafulia mtu jina? Je kama alibakwa utotoni atalindwa vipi na sheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…