jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Ila wachaga[emoji848][emoji848]
Hili janga wachaga nao limekumba watoto wao wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wachaga[emoji848][emoji848]
Swaiba Leo hta hachekicheki hadi nimemic kicheko chake japo kinaudhi mana huwa anacheka hta pasipo na ucheshicocastic aunt eti Kuna mtu anasema upo oyster bay toka asubuhi, ni kweli?
Blaza unaanzia mbalii😀😀!Hata kama angekuwa nalo zuri kama hili lako Witnessj bado ni laana tu.
Me tumelaaniwa na nani hadi tuanze kupata ujasiri wa kuingiza uume kwenye mavi?
Mbona mnyama hakosei tundu nakati yanakaribiana kabisa?
Binadamu tuna utaahira sana kwenye bongo zetu View attachment 2594806
Porn sites zote zimefungwa tangu zamani, mara tu mama alipoingia madarakani.Na pisi zinazo kaa uchi pia zifungwe, porn site, social media zote zifungwe.
Bwana Kiranga.Nchi yetu hairuhusu mapenzi ya jinsia moja? Mbona Makonda alivyowawashia moto mashoga Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje alimkana na kusema hayo ni mawazo yake binafsi, Makonda akanywea?
Na hayo mapenzi ya jinsia moja unayahakikishaje?
Hiyo habari ya kutembea uchi ni "whataboutism" na "strawman argument", hatuongelei mtu anayetembea uchi hapa.
Tunaongelea Tanzania hapa, kwa nini unaona ulazima wa kuwaweka wazungu, tena kwa kutumia "hata wazungu", kwa nini wazungu ndio wawe wa kupigiwa mfano?
Mtu mzima na kinyeo chake, akiamua kukigawa kwa anayemtaka kwa raha zake, wewe kinachokuwasha nini?
This is what we called "kimya kimya".Mama ana piga kimya kimya..
Nadhani wakiaanza na hawa wanao jionesha na kufahamika na jamii...
itakuwa ni tishio kwa wengine.
Kwa hiyo hapo akina Kumbuka, akina, Aggrey wajiandae
We nani kakwambia huyo sio shoga🤣🤣🤣Joined january 25 2023. Haya karibu sana mgeni.
Ila tu nikujulishe hawawezi kukosa maana hii ni jamii.
Na ina idadi kubwa ya watanzania ukiwamo wewe ambaye sio shoga, wapo mashoga, wapo wakulima, wapo wajasiriamali, matajiri wa kkoo, wachaga na wakinga, wapo wasukuma, chawa wa mama, wapo viongozi kama nape nnauye, yupo mama samia raisinwa tanzania, yupo humu daktari bingwa wa muhimbili, ocean road, wapo waathirika wa ukimwi, wapo waganga humu na wanaoujua uganga mfano mshana jr, wapo wauza nguruwe. Humu jf wapo watu wa aina nyingi, kuna hadi watoto humu chini ya miaka kumi na nane.
Narudia tena KARIBU SANA.
Coca ni mwanamke? Au wewe mgeni humu jukwaani mkuu?Mwanamke huyo, Serikali haihusiki naye kabisa
wewe ni shoga na hao 29 wote waliolike huu ujinga wako na wenyewe wanaliwa mavi.This is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Kwanza kabisa, elewa fikra dhahania, maana yake, mzungu anaweza kutetea haki za watu weusi kutobaguliwa bila yeye kuwa mweusi, kwa kuwa anaelewa tu kuwa watu weusi, au mtu yeyote, kubaguliwa kwa rangi yake, si kitu kizuri.Bwana Kiranga.
Kinyeo ni chako baba angu kitumie uyakavyo ila sisi tunaiunga mkono serikal yetu.
Huna utakalosema nikuelewe.
Sisi kazi ni moja tu,
Kuwakamata kuwapima kuwatupa selo.
Watanzania wanachukia sana ushoga na wanataka waliopo watokomezwe, na njia ya kupima tunayo na tunaamini ufanisi wake kwa asilimia zote.Nimetoa huo mfano kuonyesha how stupid the whole idea ya kumpima mtu kama ni shoga au sio is. Ni kama vile hapo zamani maharusi walikuwa wanatandikiwa shuka nyeupe ili kupata uhakika kuwa bi harusi ni bikira au sio. Kama hapatakuwa na damu baada ya kufanya tendo la ndoa yule binti alikuwa anahesabiwa kuwa ni mbovu. Hii ni pamoa na ukweli kuwa hymen ya mwanamke inaweza kukatika hata bila kufanya tendo la ndoa na kuwa kuna wengine wanazaliwa bila hymen. Huu ni upuuzi ule ule.
Amandla...
Kna mtangazaji wenu huko kafungua pub .....kinondoni mashg si kujaa hapoUnajua kuwa tundu lissu alikuwa kwenye list ya dudubaya? Nae akapimwe
Duh sahv watajificha basiKwa sasa wanafinywa kimya kimya husikii wakitetea ujinga
Tena wapimwe haraka sana, bila kusahau vijana wengine wote wenye tabia kama za akina noelKatika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594881View attachment 2594882
Ni jinsia KECoca ni mwanamke? Au wewe mgeni humu jukwaani mkuu?
Sababu ipi iliyopelekea kutolewa amri hiyo na mahakama?Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594881View attachment 2594882
Kaaeni tu kwa kutulia ,ushoga Tz haukubaliki,
Kwani huwezi kuacha ukawa dumeGharama ushoga gharama utachukiwa na ndugu, marafiki, ugomvi na serikali
Gharama ushoga gharama na ni donda sugu halitibiki ukishazama...
Ushooooga Utaniua....bora niende Ughaibuni nianze jishaua...
Usenge...utaniuaaaaaaa