Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Bwana Kiranga.
Kinyeo ni chako baba angu kitumie uyakavyo ila sisi tunaiunga mkono serikal yetu.
Huna utakalosema nikuelewe.
Sisi kazi ni moja tu,
Kuwakamata kuwapima kuwatupa selo.
 
Mama ana piga kimya kimya..
Nadhani wakiaanza na hawa wanao jionesha na kufahamika na jamii...
itakuwa ni tishio kwa wengine.

Kwa hiyo hapo akina Kumbuka, akina, Aggrey wajiandae
This is what we called "kimya kimya".
Safi sana kwa vyombo vinavyohusika.
Safi sana kwa Mh. Rais SSH.
 
We nani kakwambia huyo sio shoga🤣🤣🤣
 
Bwana Kiranga.
Kinyeo ni chako baba angu kitumie uyakavyo ila sisi tunaiunga mkono serikal yetu.
Huna utakalosema nikuelewe.
Sisi kazi ni moja tu,
Kuwakamata kuwapima kuwatupa selo.
Kwanza kabisa, elewa fikra dhahania, maana yake, mzungu anaweza kutetea haki za watu weusi kutobaguliwa bila yeye kuwa mweusi, kwa kuwa anaelewa tu kuwa watu weusi, au mtu yeyote, kubaguliwa kwa rangi yake, si kitu kizuri.

Vivyo hivyo, mimi bila ya kuwa shoga, naweza kuwa nimeelimika na kujua tu kwamba mambo ya kumpangia mtu mwingine jinsi ya kuishi si sawa.

Tumeelewana hapo?

Tuje kwenye kuiunga mkono serikali.

Wewe unayeiunga mkono serikali unaiunga mkono serikali katika lipi?

Waziri wa Mambo ya Nje kamkana Makonda, Makonda alipoanzisha vita dhidi ya ushoga.

Rais Samia juzi kasema wakubwa fanyaneni mnavyotaka, tatizo msiwaingilie watoto tu.

Sasa serikali unayoiunga mkono wewe ni ipi?
 
Watanzania wanachukia sana ushoga na wanataka waliopo watokomezwe, na njia ya kupima tunayo na tunaamini ufanisi wake kwa asilimia zote.

Waambie tumalize tatizo kwa kufanya universal testing kwa kila mmoja, atakayeonekana positive aadhibiwe hata kunyongwa. Hapo ndio utaona unafiki na ujinga tulio nao
 
Tena wapimwe haeaka sana
Tena wapimwe haraka sana, bila kusahau vijana wengine wote wenye tabia kama za akina noel
 
Sababu ipi iliyopelekea kutolewa amri hiyo na mahakama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…