Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Ndio akina nani hao huko darisalamu
 
Mtoa mada edit hapo kwenye uzi wako kua WAMEACHIWA HURU, na mpaka sasa Tz imechachafuliwa kidemokrasia royal tour itakua bure kabisa, hii mihemko ya kijinga imemponza mama yenu sijui ataupiga mwingi wapi tena [emoji3]
Huyu mama kawa mjinga sana.

Tutamripoti kwa mabosi zake wamshughulikie kiuchumi mpaka anyooke.

Na lile shungi lake akikosa mapesa ya kuendesha nchi na kula kuku lazima aungame!

Famasiala na DONA KANTRE! Na venye anapenda MIKOPO!
 
Yaani hata ukikutwa una marinda bado unakuwa utu na uanaume wako unakuwa umetiwa doa, watu waki imagine ulivyopimwa. Hii sheria ina udhalilishaji ndani yake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Papa kaisha sema mashoga waachwe hiyo sheria aitadumu
 
Wewe alie kuzuiya usioji nani?kwa serikali kazi yake 1 tu [emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…