ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Puru ni mali ya serikali kijana acha ubishiThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Puru ni mali ya serikali kijana acha ubishiThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
[emoji15] kwahiyo na kupimwa tayari??Watoke mara ngapi? Washaachiwa muda sana
Nadhani hawajapimwa[emoji15] kwahiyo na kupimwa tayari??
kabsaa mkuu.Mama ana piga kimya kimya..
Nadhani wakiaanza na hawa wanao jionesha na kufahamika na jamii...
itakuwa ni tishio kwa wengine.
Kwa hiyo hapo akina Kumbuka, akina, Aggrey wajiandae
Ila hawa ilifaa ilifaa wawe wa mfano, i bealive lazima mmojawapo atakuwa anajihusisha na huu ushenzi.Nadhani hawajapimwa
Watetezi wao huko IG wanadai ni kinyume na haki.
So wametolewa lokapu
Ndio akina nani hao huko darisalamuKatika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594881View attachment 2594882
Sasa huyo mmoja hapo si ndiyo designer wa msanii wenu mkubwa bongoNdio akina nani hao huko darisalamu
Teh teh,utawazuiaje sasa mzeeIla hawa ilifaa ilifaa wawe wa mfano, i bealive lazima mmojawapo atakuwa anajihusisha na huu ushenzi.
Huko wasafi kuna mzima kweli? Maana jamaa wote wana mambo ya kike, kuvaa hereni, kutoboa pua nkUkiona mtu ana interest sana na habari za mashoga ujue ana elements za ushoga.
Hizi pigo za kuufikiria sana ushoga kichwani ndio wanakuwa nazo mashoga. Acha tabia hizo utapigwa bomba.Huko wasafi kuna mzima kweli? Maana jamaa wote wana mambo ya kike, kuvaa hereni, kutoboa pua nk
Huyu mama kawa mjinga sana.Mtoa mada edit hapo kwenye uzi wako kua WAMEACHIWA HURU, na mpaka sasa Tz imechachafuliwa kidemokrasia royal tour itakua bure kabisa, hii mihemko ya kijinga imemponza mama yenu sijui ataupiga mwingi wapi tena [emoji3]
Papa kaisha sema mashoga waachwe hiyo sheria aitadumuYaani hata ukikutwa una marinda bado unakuwa utu na uanaume wako unakuwa umetiwa doa, watu waki imagine ulivyopimwa. Hii sheria ina udhalilishaji ndani yake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We shoga kaa kimia upimwe kwa vidole 2 wakipita tu miaka 30 inakuhusuSure. Hata magufuri was not this way. Mama hana kipao mbele kabisa. Ushoga. Amna hata dalaja amejenga
Wewe alie kuzuiya usioji nani?kwa serikali kazi yake 1 tu [emoji24]Hii ni nchi ya wapumbavu,
Tuliwaambia hili ni lengo madhubuti la kuwachota akili liliandaliwa na serikali ili msiendelee kuhoji vitu vya muhimu
Huu upumabvu uliandaliwa kabla ya ripoti ya CAG, sasa mmeingia cha kike.....
Kaeni mkao wa kula ili mliwe vichwa.....