Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Mashoga wengi saivi wana kimbilia Arusha sijui ndo njia rahisi ya kwenda abroad
 
Hapo Moshi mjini ukitokea stendi nyoosha ukifika hiyo njia panda kunja kulia uelekeo wa Mawenzi hospital angalia jengo la kwanza la national housing la ghorofa moja kuna lodge kwa juu lipo dume moja mhudumu la Kisambaa lilinitongoza ilikuwa mida ya saa moja hivi nikaliambia ngoja niwahi pale kwenye duka la spea mara moja kabla hajafunga halafu nitarudi baadaye, nikasepa zangu nikawa najiambia mwenyewe hata nikutane naye hata salamu yake sitaki, hata kwenye hizi harusi huwa nakutana nao sana.
 
Uonezi na udhalilishaji wa hali ya juu, hakuna kipimo kama hicho duniani, huyo Hakimu hana akili kabisa kuamuru kipimo kama hicho na hana uwezo wa kutoa haki, ni muhuni hafai kuwa hakimu aondolewe na atuonyeshe sheria gani inaelekeza vipimo kama alivyoagiza
Acheni pozy za kishonga kama hamtaki kupigwa dolee..
 
Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.

Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.

View attachment 2594881View attachment 2594882
Limeshakuwa wimbi sasa ukikanyaga tu unachekiwa km unatumiwa
 
Hakuna kitu kama hicho itakuwa inashangaza basi jibaba zima na kengele zake kujiingizia mivitu vitu mk****ni kama sio punga tena zoefu
Ni haki yako kushangaa lakini hauna haki kukana uwepo wa tabia hiyo. Na kwa vile hamna sheria inayokataza matendo hayo mtu anaevifanya hawezi kuchukuliwa hatua za kisheria. Hata kama ni punga mzoefu maana hamna namna ya kuthibitisha hali iliyokutwa ilisababishwa na binadamu mwenzake au yeye mwenyewe bila kuwa na video ikionyesha akishiriki kwenye hayo mambo pamoja na mwanaume/wanaume/ wenzake au hata mwanamke.
Kwa sababu sheria hii haibagui hata wale wanawake wenye mchezo wa kujiingiza vitu kwenye sehemu zao zote za siri wanahusika.

Amandla...
 
Uonezi na udhalilishaji wa hali ya juu, hakuna kipimo kama hicho duniani, huyo Hakimu hana akili kabisa kuamuru kipimo kama hicho na hana uwezo wa kutoa haki, ni muhuni hafai kuwa hakimu aondolewe na atuonyeshe sheria gani inaelekeza vipimo kama alivyoagiza
Tumezigundua Tz na tutakitumia kukupima wewe
 
Wanazengo!
Hivi hawa wanaokuwa sodomized wakifungwa wanapelekwa jela zipi za kike au za kiume?

Kama za kiume ina maana wanaenda kuolewa jumla huko bila mahali au za kike, bunduki si hazina uwezo wa kusimama tena misuli ya uti wa mgongo imelegea hivyo wakiwa pamoja hakuna tatizo wataishia kuangaliana tu otherwise wajengewe gereza lao wakafanye ushenzi wao huko.
 
Ni haki yako kushangaa lakini hauna haki kukana uwepo wa tabia hiyo. Na kwa vile hamna sheria inayokataza matendo hayo mtu anaevifanya hawezi kuchukuliwa hatua za kisheria. Hata kama ni punga mzoefu maana hamna namna ya kuthibitisha hali iliyokutwa ilisababishwa na binadamu mwenzake au yeye mwenyewe bila kuwa na video ikionyesha akishiriki kwenye hayo mambo pamoja na mwanaume/wanaume/ wenzake au hata mwanamke.
Kwa sababu sheria hii haibagui hata wale wanawake wenye mchezo wa kujiingiza vitu kwenye sehemu zao zote za siri wanahusika.

Amandla...
Hii mada inahusu wanaume wanaoingiliwa, wewe kama ni mmoja wao tukikudaka lazima tu
 
Uonezi na udhalilishaji wa hali ya juu, hakuna kipimo kama hicho duniani, huyo Hakimu hana akili kabisa kuamuru kipimo kama hicho na hana uwezo wa kutoa haki, ni muhuni hafai kuwa hakimu aondolewe na atuonyeshe sheria gani inaelekeza vipimo kama alivyoagiza
Kuna kipimo gani labda,tushauri tuanze kukitumia kuwanasa
 
Wanazengo!
Hivi hawa wanaokuwa sodomized wakifungwa wanapelekwa jela zipi za kike au za kiume?

Kama za kiume ina maana wanaenda kuolewa jumla huko bila mahali au za kike, bunduki si hazina uwezo wa kusimama tena misuli ya uti wa mgongo imelegea hivyo wakiwa pamoja hakuna tatizo wataishia kuangaliana tu otherwise wajengewe gereza lao wakafanye ushenzi wao huko.
Gerezani hakuna hiyo michezo, we nenda afu utoe mkuyundu uone kama utatembea
 
Back
Top Bottom