Mahakama yakataa maombi ya Serikali, Dhamana ya Boni Yai sasa kutolewa Oktoba 7, 2024

Mahakama yakataa maombi ya Serikali, Dhamana ya Boni Yai sasa kutolewa Oktoba 7, 2024

Mahakama ziko Kenya za tz ni za hovyo kabisa
Kuwa msema kweli na mwanaharakati, ndivyo inavyoonekana.kuwa wewe ni mhalifu

Hata Nelson Mandela alisota jela miaka 24 bila ya hatia yoyote!

Baadaye alipotoka Jela, akawa ndiye Rais wa kwanza mweusi kuchaguliwa kuongoza Taifa hilo kubwa la Afrika Kusini

Hivi hawa Jeshi la Polisi na hizi Mahakama za Profesa Juma, wanasahau haraka hivi, hizi Historia??😳
 
Hapo kesi ikianza upande wa jamhuri utakuwa na mashahidi 60 ambapo kwa mwaka watasikilizwa mashahidi 3. Ukipita uchaguzi wa 2025 ghafla DPP anakuwa hana nia ya kuendelea na hiyo kesi. Hapo tayari Boniyai katepeta hafai. Serikali usicheze nayo. Haijawahi shindwa na raia
 
Ubaya mahabusu anaingia yoyote yule hasa ukizaliwa mtoto wa kiume.

Unaposhabikia sheria zinapovunjwa na haki kuminywa jiandae kukumbushwa siku moja utakapokuwa nyuma ya nondo.
hayo ya kujitakia badala ya kutangaza sera zako watu wakuelewe unafanya mambo ya kike kumsema vibaya mwanaume ili mwenzio achukie amuache umchukue wewe ndiyo ya kijinga wanayofanya kina boni yai wacha safari hii mpaka ATAGE YEYE watu waokote mayai
 
Bonn uku uraiyani kashindwa kuudhiti mwili wake kawa bongesana kias ni hatari kwa afya yake. ikiwa atakaa zaid uko ndani akitoka na ikawa kapungua kilo kadhaa basi wamemsaidia uku wakizani wamemkomoa!!
 

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.

Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.

Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.
Kama hakimu ni yule Kiswaga basi tutengeneze madude kutoka kwake. Aliwahi kuvuruga hukumu ya kesi yangu alipokuwa mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Kinondoni kwa mazingira ya rushwa na kunigeuzia kibao
 
Ile kauli aliyo itoa mfanya biashara rostam aziz Kuwa Mahakama za Tanzania zinapokea maelekezo kutoka juu sasa inazidi kujizihirisha

Alikuwa mayor wa ubungu almaarufu boni yai Leo tena amerudishwa rumande kwa kunyimwa dhamana kwa kosa lenye kutdhaminika inafikirisha sna JInsi gani hizi zinavyo fanya kaz zak yaani hawa uhuru wwote hakimu au jaji wanaungana kukudimiza ukosea haki yako sass ssi wananchi tutakimbilia wapi ikiwa hali ndio iko hvyo
Ssi wana nchi Nin ifanyike haya yaishe
 
Hapa ni ofisi ya mwendesha mashtaka, mahakama na sirikali, polisi hawamo
Hao ndiyo wanaanzisha mchezo....wengine wanarekebisha mambo kutokana na matakwa ya polisi...rejea hakimu aliyeacha kazi kutokana na mashinikizo ya polisi na wanasiasa...au chukua mfano wa kesi ya Kombo wa Tanga,.
 

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.

Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.

Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.
Tuna mahakama ya kijinga sn, inatumika na dola kunyanyasa watu
 
Hao ndiyo wanaanzisha mchezo....wengine wanarekebisha mambo kutokana na matakwa ya polisi...rejea hakimu aliyeacha kazi kutokana na mashinikizo ya polisi na wanasiasa...au chukua mfano wa kesi ya Kombo wa Tanga,.
Unaweza kunipa link ya hayo matukio la hakimu kuacha kazi na la Kombo huko Tanga
 
"Mahakama ya prof juma" in lissu's voice
"Mahakimu/majaji wanapigiwa simu tu" rosta aziz
 
Unaweza kunipa link ya hayo matukio la hakimu kuacha kazi na la Kombo huko Tanga
hakimu clip yake iilisambaa sana miezi kadhaa iliyopita, nikiipata nitaiweka hapa....Suala la Kombo wa chadema aliyetekwa mpaka RB ikaandikwa polisi baada ya siku 29 polisi wakakiri kuwa naye lipo wazi kwenye mitandao....google tu mwenyewe
 
Back
Top Bottom