Kuwa msema kweli na mwanaharakati, ndivyo inavyoonekana.kuwa wewe ni mhalifuMahakama ziko Kenya za tz ni za hovyo kabisa
Kazi ngumu ni ile kazi ya mwenye kutoa haki dhidi ya mwengine. Kama hutokuwa muadilifu utaangamia siku ya hukumu ambapo Allah atawakusanya mahakimu wote siku ya hukumu. Siku hiyo atawauliza jinsi walivyohukumu wenzao dunianiMahakama za Profesa Juma.
Bony aache ubishi,atowe code kwa simu yake watu wafanye uchunguzi wa mauwaji ya Mzee Kibao la sivyo atasota sana!!Kuna figisu zitafanyika tena almradi tu Bony asiwe huru
hayo ya kujitakia badala ya kutangaza sera zako watu wakuelewe unafanya mambo ya kike kumsema vibaya mwanaume ili mwenzio achukie amuache umchukue wewe ndiyo ya kijinga wanayofanya kina boni yai wacha safari hii mpaka ATAGE YEYE watu waokote mayaiUbaya mahabusu anaingia yoyote yule hasa ukizaliwa mtoto wa kiume.
Unaposhabikia sheria zinapovunjwa na haki kuminywa jiandae kukumbushwa siku moja utakapokuwa nyuma ya nondo.
ukute ndiyo walisuka mipango yote sasa anaficha simu ili wasijulikane wacha wamchungulie tu ajulikane alishiriki vipiBony aache ubishi,atowe code kwa simu yake watu wafanye uchunguzi wa mauwaji ya Mzee Kibao la sivyo atasota sana!!
Hawa mapropesa sijui walisomea Nini? Hawana utu! Mahakama zimekuwa za hovyo hazifuati sheria, ni machawa pia!Mahakama za Profesa Juma.
Kama hakimu ni yule Kiswaga basi tutengeneze madude kutoka kwake. Aliwahi kuvuruga hukumu ya kesi yangu alipokuwa mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Kinondoni kwa mazingira ya rushwa na kunigeuzia kibao
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.
Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.
Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.
Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.
Hapa ni ofisi ya mwendesha mashtaka, mahakama na sirikali, polisi hawamoSerikali ,polisi na mahakama wote wanafanya hila Boniyai aendelee kusota mahabusu kwa muda mrefu iwezekavyo....
Sasa wamefanya nini?Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.
Hao ndiyo wanaanzisha mchezo....wengine wanarekebisha mambo kutokana na matakwa ya polisi...rejea hakimu aliyeacha kazi kutokana na mashinikizo ya polisi na wanasiasa...au chukua mfano wa kesi ya Kombo wa Tanga,.Hapa ni ofisi ya mwendesha mashtaka, mahakama na sirikali, polisi hawamo
Tuna mahakama ya kijinga sn, inatumika na dola kunyanyasa watu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.
Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.
Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.
Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.
Unaweza kunipa link ya hayo matukio la hakimu kuacha kazi na la Kombo huko TangaHao ndiyo wanaanzisha mchezo....wengine wanarekebisha mambo kutokana na matakwa ya polisi...rejea hakimu aliyeacha kazi kutokana na mashinikizo ya polisi na wanasiasa...au chukua mfano wa kesi ya Kombo wa Tanga,.
hakimu clip yake iilisambaa sana miezi kadhaa iliyopita, nikiipata nitaiweka hapa....Suala la Kombo wa chadema aliyetekwa mpaka RB ikaandikwa polisi baada ya siku 29 polisi wakakiri kuwa naye lipo wazi kwenye mitandao....google tu mwenyeweUnaweza kunipa link ya hayo matukio la hakimu kuacha kazi na la Kombo huko Tanga