Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu njia zipi? make karibia zote zishakataliwa.dah hapana kumwaga damu isitokee tanzania tena hii roho tuipinge kwa nguvu zote, zipo njia nyingi za kupata tume huru bila kumwaga damu na ukiagalia wanasiasa wetu ni walewale hawaaminiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi Kuwa Diwani Mpaka Uchaguzi Ufanyike, Maana Mahakama Imetengua Ushindi Wa Diwani Wa Ccm Na.Sio Kwamba Mahakama Imemtangaz Mgombea Udiwani Wa Cdm. Mahakama Haina Mamlaka Ya Kumtangaza Mtu Mshindi Wakati Hiyo Mtu Hajawai Kutangazwa Na Tume.
Wewe umesifiwa ulivyokula Leo? Au unadhani hatujui figisu mnazofanya nchi hii.?
Watu makini hawana papara.....Viva Chdema, viva Tanzania.Ccm itakabidhi dola kama tutapata TUME HURU kwasababu hii mpaka mtu aliyeshinda ameenda mahakamani ndo ametangazwa....View attachment 1069524
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaaa wawe wanateuana tu. YaisheSasa hi si uthibitisho tosha kwamba hakuna tume bali kigenge Cha watu waliowekwa na bwana kwa maslahi yao tu huku wakitumia na kuhujumu pesa za walipa kodi za wananchi wanyonge? Sasa Kuna haja gani ya kuwa na uchaguzi na alieshindwa ndie anatangazwa mshindi? Si ni heri tu wenye maguvu ya kutawala wateue tu watawala chini ya usimamizi wa RC, DC na Ma DAS chini ya ulinzi wa jeshi la polisi tukaepuka gharama na vipigo kwa wanyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
ila anaingia kipindi kuzuri coz wanataka kuongeza posho za madiwaniDuh!mbona muda mrefu sana.Kesi hizi zilifaa ziamuriwe kwa hati ya dharura.Sasa huyu atakaa mwaka 1 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
wanajua kila kitu wanajishaua tuKumbe mahakama zipo huru na zinatenda haki?
Sio mwaka ni miezi 6 tu, uchaguzi ni serikali za mitaa ni mwezi wa 10.Duh!mbona muda mrefu sana.Kesi hizi zilifaa ziamuriwe kwa hati ya dharura.Sasa huyu atakaa mwaka 1 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mahakama zipo huru na zinatenda haki?