Akitoa hoja za msingi kivipi wakati ushasema mwenyewe kesi inasililizwa ex parte ??Kumbe kesi yenyewe imesikilizwa upande mmoja/ exparte
Hapa Armo anarudi kwenye kesi akitoa sababu za msingi wanatudi interparties kesi isikilizwe pande zote mbili
Hahaha......huu ugomvi ngoja tuone.Ko alikopa akanunua Range na zote akampa Kajala, walivoachana nae akaacha kulipa deni.
Makonde hataki hasara za kipuuzi, alipe Marioo.
Nimeona hadi Lucas Mwashambwa kalikeNakala ya hukumu ninayo, nimeshaiweka.
HahahaNimeona hadi Lucas Mwashambwa kalike
Ataenda kuvimbiaAtapata SHOW moja tu kabambe ya CCM ya kumnadi mama katika kampeni za Urais...hapo atapata mara 3 ya hizo pesa
Kwani kuno Shido ???
Sasa huyo mshamba anahaingaika na kajala wakati hyo kajala kaanza utundu tokea yuko darasa la 6 ashapigana vita vingiDaah mwana kazingua ukute alikopa ili amhonge yule Kajala range sema ndio matumizi ya pesa hayo.
Correction: BumboclaatKonde boy mzee wa kukwepa Kodi ndio michezo yake pendwa mzee wa kupenda bombo claat 😁🤣😁 huyo Cc ephen_
Hii nitaitunza daima Daktari.Ndio maana tunawambia Vijana Kataa Mapenzi Linda Uchumi wako na Afya ya Akili.
Hawatuelewi.
Kwenye swala la Pesa hata kama unaingiza kiasi gani kama huzingatii matumizi na Kuacha Totozi hutoboi.
Daah kwa kweli basi tu ndio vile hayana mwongozo..........Sasa huyo mshamba anahaingaika na kajala wakati hyo kajala kaanza utundu tokea yuko darasa la 6 ashapigana vita vingi
Ova
Hapo cha kufanya aandike Album 5 zote juu ya Mama na CCM asubuh tu wanamlipia deni.Hahaha......huu ugomvi ngoja tuone.
Mama atamsaidia ni marafiki sana
Mwendazake!!Kuwa serious Mkuu, yeye analipwa sio vinginevyo.
Kaka hii Ndio kanuni ya Matajiri. Pesa ni fomula. Kwanza upate mahali pakuingiza, kinachofuata ni namna unavyoitumia.Hii nitaitunza daima Daktari.
Ndio maana juzi kapiga zote 5 kwa Maza.Hapo cha kufanya aandike Album 5 zote juu ya Mama na CCM asubuh tu wanamlipia deni.
Kweli kabisa, matumiz mabaya ni sawa na mifuko iliyotoboka.Kaka hii Ndio kanuni ya Matajiri. Pesa ni fomula. Kwanza upate mahali pakuingiza, kinachofuata ni namna unavyoitumia.
Anavyopost anakula maisha kuonesha mkwanja upo kumbe ana hali ngumu na madeniIla Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Watuulize sisi Walimu tulikopa tukaenda kulipia watoto English Medium sahivi njaa kali Mshahara unabaki na laki mbili.ni kigezo gani walitumia kumkopesha 300m? dhamana ilikuwa nini? sisi mbona huwaga mnapiga mnada tu nyumba hamna cha kwenda mahakamani?
ila misamwanda na mikopo ni sukari kwenye supu ya kuku hatakama ni kikoba hauwezi rejesha,
Saiv amekua mshadadiaji sana wa mambo ya watu, si mipira sio siasa kumbe mwenzetu anatafuta pesa za rejesho. Sema ni akili hiyo.Ndio maana juzi kapiga zote 5 kwa Maza.
Kumbe alikuwa na mengi yanamsibu
Watakwambia kwamba Una Roho mbaya unafurahia mwenzako kuanguka ila hawatakwambia Ulifurahi Mwenzako kuinuka na post za majivuno mitandaoni.Anavyopost anakula maisha kuonesha mkwanja upo kumbe ana hali ngumu na madeni
Yeah anajiongeza....huenda kuna tajiri atajitokeza mpe kaziSaiv amekua mshadadiaji sana wa mambo ya watu, si mipira sio siasa kumbe mwenzetu anatafuta pesa za rejesho. Sema ni akili hiyo.
Walimu wanalipa mikopo wanamaliza madeni,nae alipeAseme tumchangie