Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Na hapa ni unatumia kishikwambi cha serikali kuombea huu mkopo 😅
 
Vijana wengi ofisi haziendelei mana hakuna mipaka kati ya hela ya ofis na maendeleo na pesa ya bata. Hii kitu inafelisha wengi sana. Kavhukua milion 100 za studio kali afrika masharik na kati kaenda kununua mitumba ya kina stukiiizi pale kinondoni kila wiki anaipeleka maintenance
 
Nifah kumbe ni mtu wa mahakamani!Nimekukubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…