Mahakama yamtia hatiani Zitto Kabwe katika kesi yake ya Uchochezi. Atakiwa kutotoa matamshi ya Uchochezi kwa mwaka 1. Asema kukata Rufaa

Mahakama yamtia hatiani Zitto Kabwe katika kesi yake ya Uchochezi. Atakiwa kutotoa matamshi ya Uchochezi kwa mwaka 1. Asema kukata Rufaa

Mzee Hata nilipokua nasoma Azania tulikua tunajiita USA(United Students of Azania).
Mzee wa USA samahani kidogo, hivi waandishi wanaitwa Judiciary Journalism au Judiciary Journalists, samahani lakini kukuuliza maana nyie wenzetu mmeishi sana huko na ndio lugha zenu hizi. Sisi tunababia babia tu
 
Leo ikiwa ni siku ya Hukumu ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Waandishi wenye Press Cards wamekataliwa kuingia kusikiliza hukumu ya Zitto kwa maelezo kwamba si waandishi wa Mahakama.

UPDATE

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto ameachiwa huru kwa sharti kwamba asitoe matamshi ya uchochezi katika kipindi cha mwaka mmoja.

Hizi ruling za kisiasa zote huandikwa na Jaji Kiongozi Eleazer Feleshi kisha Ma RMs wa Kisutu hupewa tu kuzisoma. Iwe ile hukumu ya Viongozi 9 wa CDM au hii ya ZZK ukiangalia proceedings zote za kesi huoni connection kati ya hukumu na ushahidi. Unachokiana ni connection tuhuma kwenda kwenye hukumu tu. Jaji Kiongozi anajuwa anatekeleza maagizo ya aliyemtuma.

Zote hizi ni kielelezo cha insurbodination of the judiciary
 
Mwenye ule uzi Zitto alizusha eti kuna maiti zaidi ya 100 pale uvinza atuwekee
Leo ikiwa ni siku ya Hukumu ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Waandishi wenye Press Cards wamekataliwa kuingia kusikiliza hukumu ya Zitto kwa maelezo kwamba si waandishi wa Mahakama.

UPDATE

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto ameachiwa huru kwa sharti kwamba asitoe matamshi ya uchochezi katika kipindi cha mwaka mmoja.

 
Leo ikiwa ni siku ya Hukumu ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Waandishi wenye Press Cards wamekataliwa kuingia kusikiliza hukumu ya Zitto kwa maelezo kwamba si waandishi wa Mahakama.

UPDATE

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto ameachiwa huru kwa sharti kwamba asitoe matamshi ya uchochezi katika kipindi cha mwaka mmoja.

Okay.kwahiyo baada ya mwaka mmoja kupita atakuwa huru kutoa maneno ya uchochezi.wanasheria mtusaidie kwa hili
 
Leo majira ya saa 2;30 Asubuhi inatarajiwa kusomwa hukumu ya kesi inayomkabili kiongozi wa ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini ZITTO KABWE ambapo kwa wale ambao tumekuwa tukifuatilia kesi hiyo kwa karibu kuanzia kufunguliwa mashtaka usikilizwaji wa mashahidi hatuna budi kusema nafasi ya ZITTO kuchomoka ni asilimia 5 TU.

Ikumbukwe katika kesi hiyo ZITTO anashtakiwa kwa uchochezi kupitia kauli hii aliyoitoa kwenye mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu ugomvi kati ya jeshi la polisi na jamii ya wafugaji

"Watu ambao walikuwa ni majeruhi katika tukio la mapambano baina ya wananchi na Poilisi, wakiwa wamekwenda hospitali kupata matibabu katika kituo cha afya Nguruka, Polisi wakapata taarifa kuwa kuna watu wanne wamekwenda hospitali kituo cha afya Nguruka kupata matibabu wakawafuata kule wakawaua.

kwa nini sioni ZITTO AKICHOMOKA

Ugumu wa kuthibitisha kisayansi, kifo cha watu hao (wanne) kilisababishwa na Polis
i na sio Magonjwa mengine endapo ni kweli watu hao walikufa. Katika utetezi wake ZITTO alikuwa na mlima mkubwa sana wa kudhibitisha kwamba ni kweli hao watu waliuawa na Polisi,. Hapa ili awe salama alihitajika kuleta ushahidi wa kuthibitisha pasi na shaka ambao ni postmortem za maiti unaothibitisha kwamba waliuawa polisi.

ZITTO kwenye hili hana UJANJA zaidi ya KUIOMBA MAHAKAMA MSAMAHA kwamba kama binadamu alipotoka hivyo apunguziwe adhabu. Wapo wanaopenda ZITTO aendelee kubaki uraiani laikini HISIA hazina nafasi dhidi ya SHERIA.
Burden of proof hapo iko kwa DPP na siyo zito
 
Huyo kahitimu miaka mingi iliyopta so hko ndio kibarua chake cha mwanzo kukipata kitaa kigumu ndugu.
Natamani nikuone live siku moja, tugonge beer hua unanifurahisha sana vile unavyokua wa kwanza kwanza kwenye posts za siasa na vile unavyochangia licha ya kushambuliwa wewe unakuaga cool lakini huachi kujibu.
 
Zitto sasa hivi yuko naye hapa Bahari beach tunapiga story wewe baki na roho mbaya yako kama nyoka wa kijani.
Wacha ale mvua ili ajifunze kusema ukweli, mambo ya kutengeneza taifa la waongo ni hatari sana katika mustakabali wa taifa, Kuna mwingine juzi tu kasema eti aliongea uongo juu ya kinana, sasa kama tunatengeneza wanasiasa wa hivi si itakuwa hatari sana?

Aliwahi kutwambia dream liner kuwa ni terrible tins, mara ni nzee, bombadier pia ni nzee, lakini mpaka sasa hajasema tena kama ni terrible pia kama ni nzee au mpya
Mtu wa namna hii ni bora awe jera tu akajifunze ukweli.
 
Leo ni msiba mkubwa kwa vijana wa lumumba maana walikuwa wanaombea Zitto apigwe mvua za kutosha.
Tulisema tukabezwa sana kuwa hakuna kesi hapo na hatafungwa

Jr[emoji769]
 
Issue ni kuwa ataweza, maana mwenzetu huyu inaonekana ni addicted kwa maneno ya uchochezi.
 
Back
Top Bottom