Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ...
Afadhali atendewe haki
P
 
Mungu ni mwema kila hatua dua kijana mzalendo na mchapakazi leo ameigaragaza mahakama mkoani arusha tunazidi kukuombea tuliowengi ili uwe huru urudi uraiani tujenge nchi.
 
wamwachie tu sasa kijana wa watu maana ameteseka sana huko mahabusu.

nadhani mpaka sasa Chadema watakua wameshafurahi vya kutosha hivyo apewe haki yake.
 
Kuna watu wanaishi hii dunia wakiwa ni watu wenye maana Kwa watu tuu, lakini kwa Mungu ni mashetani wakubwa!

Kwa siasa za kijinga na ushetani Lengai kakaa jela bule tuu na uonezi tupu, kisa siasa!!
 
Cha muhimu ameshashika adabu... Akileta tena ujinga tutamnywa supu wenyewe huku mtaani
 
komaaa sabaya komaa, ma CCM siyo watu wema kabisaa, yaani walikutuma kunyanyasa watu na mwisho wamekuachia kesi wewe na mama yako
 
Hata ya Moshi itayeyuka tu.........ni ngumu sana kumfunga mtu mliyekuwa mnashirikiana naye......ila mnamwambia tu zuga zuga huko upepo utulie......
 
Hiyo haituhusu, Bado tupo NGORONGORO, hatudanganyiki.
 
Kapona na hii? tusubiri ya Kilimanjaro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…