Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
mbona kapotea kwenye game.50 Cent amelaluriwa na jamaaa pia
yule mfuasi wa shetani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kapotea kwenye game.50 Cent amelaluriwa na jamaaa pia
🤔 Eeeh jamaa nae upinde?snoop doggy dogg kamfeerah maamaee.
Atapata mtaji wa maana kutimiza ndoto yake ya kua tajiri number mojaSasa na staa wetu si akafungue kesi, au yeye ilikua hiyari.....
Mwijaku asije ona huu uzii jmnMond kupitia mwanasheria wake waneshaandaa mashtaka ya kubakwa,kunyanyaswa kingono na kudhalilishwa..
Wengi wamepita huko Burna boy baada ya kupita huko katoboa vibayaAlafu mdogo wangu wa Tandale nae naskia alipita kwenye reli za huyu mwambaa sijajua kama hakutatuliwa..majitaka
Jamaa kawala Jicho mpaka aliozaa nao famchezo nini yaan mama za Watoto wake nao wana Chongo kila mmojaDiddy ni shetan
Ukipenda mtelemko sana utaishia kuliwa GOTIDunia hapa usitamani mali,pesa au mafanikio ya mtu..ishi wewe kama wewe
Hapo Kizimkazi kafokolewa mtu ushahidi upo Ila kesi inarushwarushwa Mwisho watuhumiwa wataachiwa HuruUlaya sio kizimkazi mkuu
🤣🤣Mwijaku asije ona huu uzii jmn
Awe tajiri wa duniaSasa na staa wetu si akafungue kesi, au yeye ilikua hiyari.....
Unaropoka mkuu. 50 cent akimwona diddy n shoga toka aliposema anampa ofa ya kumpeleka shoping mwaamba akajibu you sound gay. Usiropoke tu mkuu.50 Cent amelaluriwa na jamaaa pia
Achana na watu wenye akili.Hivi mahakama inathibitisha vipi tukio la miaka 30 iliyopita?
Ushahidi wa Daktari unapatikana vipi?
Kuwazagamua wanaume wenzako yataka ushetani kweli kweliDiddy ni shetan
Hata mbunge Babutale naye katembelewa na MsomaliNlisikiaga Didy alikuwa anawatibua majitaka wale ambao wanataka Umaarufu...
Alafu mdogo wangu wa Tandale nae naskia alipita kwenye reli za huyu mwambaa sijajua kama hakutatuliwa..majitaka
Hata siyo Wanaotaka umaarufu hadi snoop doggy dogg kamfeerah maamaee.
diamond jmn toka arudi kwa d amekuwa mlevi
alijinadi sana kuwa wamefanya mengi sana,hiyo sana inawezekana ilikuwa hili coz uso wake ulisawijika mno alivotakmka hayo maneno.
but yote kwa yote kama umekataaa kutoa tigo huwiii maarufu...50 cent hataki hata kumsikia mwamba