Mahakama yamwamuru Lissu kufika mahakamani

mbona mahakama imeshindwa kuheshimu katiba mpaka leo kuna watu wanaozea segerea kwa makosa wasiyoyajua...mwaka huu hatuangalii cha police wala mahakama yaani tunakanyaga TU.
 
Asipofika mahakamani hiyo tarehe anaweza kukamatwa kwa nguvu, kutupwa ndani na kunyimwa dhamana kwa madai kwamba ana historia ya kutoheshimu masharti ya dhamana. Watatumia sheria zilizopo ikibidi kuzipindisha kidogo tu ili wampe discipline.

Yajayo yanafikirisha
 

Hakuna mahakama linapokuja suala la wapinzani, bali kuna majengo ya mahakama yanayoendeshwa na Makada wa ccm na vibaraka wao. Ww kwakuwa ni mwanaccm, hizo mahakama zina msaada kwenu, na wala sio msaada wa kutoa haki kwa maana ya haki. Na kwa taarifa yako, hilo suala la Lisu, mahakama imeshaagizwa hukumu iweje.
 
Jirani akiwa kisirani inatakiwa uwe kisirani zaidi yake Bwana! Ccm wanatoa hadi rushwa waziwazi lakini husikii makenge kama nyie mkiongea
 
Unamtusha nani wewe. Sherua ni msemo
 
Sawa tu lakini hatuwezi kuuza nchi kwa mabeberu
 
Msimsumbue mwamba lissu ngoja amalize kukusanya wadhamini ndio aje amekaa nje miaka mi3 bila kesi kusikilizwa haraka ya sasa ya nini?
 
Lissu kumbe ana kesi. Hawezi kuwa mgombea basi. Katiba hairuhusu
 
Usidanganya mtu mahakama za Tanzania tunazijua vizuri na majsji na mahakimu wa Tanzania wanajulikana Sana kwa kutekeleza maagizo toka juu halafu wanapandishwa vyeo akina Willard Mashauri.
 
Hiyo ni level nyingine, watu mliozoea kusifu na kuabudu siyo yenu!
Ni mara elfu ukamsikitikia yesu wenu ambaye ameshapagawa kabla hata kampeni hazijaanza!
 
Duh hadi wadhamini wanataka kujitoa wanasema mshitakiwa haonyeshi ushirikiano kabisa.. Haaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…