Mahakama yamwamuru Lissu kufika mahakamani

Mahakama yamwamuru Lissu kufika mahakamani

Hivi kwa nini wasijitokeze wadhamini wengine kuchukua nafasi ya huyo Joseph Katula na mwenzake ambao toka 2018 wamegomewa kujitoa?
wanasema ukitaka kujua ndugu wa kweli rafiki wa kweli ni kwenye

maswala ya mahakamanii na magerezani,yani hamna kipimo kizuri cha

kuweza kuchuja watu sahihi maishan mwako tofauti na mahakama na magereza.

Mtu yupo radhi alale na wewe wodini hata mwaka mzima ila mtu huyo huyo hatoweza

kuwa tayari kukuchukulia dhamana kesi yako iliyo mahakamani,ktk hili Lissu yuko mwenyewe we subiri.
 
Mahakama ndio tuseme hawaoni kuwa anatafuta wadhamini kitendo ambacho kina time limit? Mbona hizo kesi zilizokuwepo hawazisikilizi wanawapiga watuhumiwa tarehe tu na kuwarejesha Segerea.

Upinzani ukichukuwa nchi mwaka wowote, hakuna kuwasamehe wale wote waliotumia madaraka yao vibaya. Wanafanya hivyo kwa utashi wao binafsi na kinyume cha kiapo cha maadili. Piga chini mahakimu na majaji wote watakaonekana wamekiuka kufata sheria ya maadili ya umma.

Hayo usemayo ya upinzani kuchukua nchi hayawezi kutokea kama unavyosema maana hapa tayari umeonyesha dhamira ya upinzani.

Ajenda ya upinzani kuchukua nchi ni kuiuza kwa mabeberu na hiyo haitakuija kutokea yaani "It will never happen".
 
Magufuli kama Magufuli hawezi siasa za ushindani, na kwa muundo wa katiba yetu rais ndio anaagiza mahakama ifanye vipi kazi. Kwa vyovyote vile Magufuli hawezi kukubali ushindani toka kwa Lisu, wakati ana uwezo kabisa wa kuitumia mahakama kumzuia mshindani wake. Kwa sasa hivi hiyo mahakama iko kwenye mbinyo mkubwa ili itumike kumdhibiti Lisu. Na kwa uhakika hata hukumu imeshapangwa iwe vipi.
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.
 
wanasema ukitaka kujua ndugu wa kweli rafiki wa kweli ni kwenye

maswala ya mahakamanii na magerezani,yani hamna kipimo kizuri cha

kuweza kuchuja watu sahihi maishan mwako tofauti na mahakama na magereza.

Mtu yupo radhi alale na wewe wodini hata mwaka mzima ila mtu huyo huyo hatoweza

kuwa tayari kukuchukulia dhamana kesi yako iliyo mahakamani,ktk hili Lissu yuko mwenyewe we subiri.

Tatizo jingine la upinzani ni kudhani au kufikiri kuwa Tundu Lissu ni mwanasheria pekee hapa Tanzania.

Sasa wanasahau kuwa pia anae mwanasheria wake na pia wapo wanasheria wengine kama yeye.
 
wanasema ukitaka kujua ndugu wa kweli rafiki wa kweli ni kwenye

maswala ya mahakamanii na magerezani,yani hamna kipimo kizuri cha

kuweza kuchuja watu sahihi maishan mwako tofauti na mahakama na magereza.

Mtu yupo radhi alale na wewe wodini hata mwaka mzima ila mtu huyo huyo hatoweza

kuwa tayari kukuchukulia dhamana kesi yako iliyo mahakamani,ktk hili Lissu yuko mwenyewe we subiri.
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.
 
Jamaa anazurura huko tu wakati anajua ana makesi huko kisutu na hataki kuhudhuria.
 
wanasema ukitaka kujua ndugu wa kweli rafiki wa kweli ni kwenye

maswala ya mahakamanii na magerezani,yani hamna kipimo kizuri cha

kuweza kuchuja watu sahihi maishan mwako tofauti na mahakama na magereza.

Mtu yupo radhi alale na wewe wodini hata mwaka mzima ila mtu huyo huyo hatoweza

kuwa tayari kukuchukulia dhamana kesi yako iliyo mahakamani,ktk hili Lissu yuko mwenyewe we subiri.

Kwenye nchi za kidictator ni ngumu kumuwekea mdhamana kiongozi hasimu wa dictator aliye madarakani. Kila mara tunawawekea watu dhamana. Ww sema matamanio yako ni Lisu akose wadhamini. Na kweli anaweza kukosa, sio kwa sababu hadhaminiki, bali udictator ndio unawatisha wengi.
 
Huyu hakimu ajue kuna siku tutakuwa na utawala tofauti.
So what? Hivyo aache kufanaya kazi yake kwa matakwa ya sheria eti kwa ndoto za mchana kuwa eti "kuna siku tutakuwa na utawala tofauti"?. Makamana zinafanya kazi na shughuli nyingine kama utafutaji wa wadhamini unaendelea. Namshauri Lissu afike Mahakamani yasije yakamkuta ya Mwenyekiti wake.
 
Mahakama ndio tuseme hawaoni kuwa anatafuta wadhamini kitendo ambacho kina time limit? Mbona hizo kesi zilizokuwepo hawazisikilizi wanawapiga watuhumiwa tarehe tu na kuwarejesha Segerea.

Upinzani ukichukuwa nchi mwaka wowote, hakuna kuwasamehe wale wote waliotumia madaraka yao vibaya. Wanafanya hivyo kwa utashi wao binafsi na kinyume cha kiapo cha maadili. Piga chini mahakimu na majaji wote watakaonekana wamekiuka kufata sheria ya maadili ya umma.
Si afadhali ungekuwa na uwezo huo.
 
So what? Hivyo aache kufanaya kazi yake kwa matakwa ya sheria eti kwa ndoto za mchana kuwa eti "kuna siku tutakuwa na utawala tofauti"?. Makamana zinafanya kazi na shughuli nyingine kama utafutaji wa wadhamini unaendelea. Namshauri Lissu afike Mahakamani yasije yakamkuta ya Mwenyekiti wake.
We mwache. Atakapobeba mtondoo ndio atajua nchi hii inafuata utawala wa sheria na hakuna aliye juu ya sheria.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemwamuru kufika mahakamani mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake watatu, wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi, Septemba 14, mwaka huu, baada ya jana kushindwa kufika kusikiliza kesi yake.

Amri hiyo ilitolewa jana na mahakama hiyo iliyoketi chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, kesi hiyo ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa.

Awali, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, alidai shauri lilipangwa kwa kutajwa na kwamba mshtakiwa Lissu, hakufika kusikiliza kesi yake.

Mdhamini wa Lissu, Robert Katula, alidai mshtakiwa aliwasiliana naye juzi asubuhi na kumueleza kwamba yuko mkoani anatafuta wadhamini kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.

Hakimu Simba, alimtaka mdhamini huyo kuhakikisha mshtakiwa anafika mahakamani na sio kutoa sababu ambazo sio za kisheria.

"Mdhamini hizo sababu hazikubaliki kisheria tusiikosee sheria, sisi ni watekelezaji wa sheria ambapo tunatoa amri. Ukisema unaiachia mahakama tunaweza kusema ulipe dhamana na ukishindwa unakwenda jela hatutaki kufika huko, wewe hakikisha unamleta mshtakiwa tarehe ijayo," alisema.

Hata hivyo, wadhamini wa Lissu waliomba mahakama kujitoa katika udhamini kwasababu wanayemdhamini hana ushirikiano mzuri na wadhamini wake na mahakama iliwaeleza kuwa kisheria mdhamini akitaka kujitoa lazima kwanza anamleta mshtakiwa halafu ndiyo aweze kujitoa.

Kwa upande wa mshtakiwa wa tatu ambaye hakufika mahakamani Mehbooh, ilidaiwa na mdhamini wake kuwa ni mgonjwa na kuwasilisha fomu mahakamani hapo.

Hakimu Simba baada ya kusema hayo, alimtaka mdhamini wa Lissu ahakikishe mshtakiwa huyo anafika mahakamani hapo tarehe ijayo na sio vinginevyo.

Mbali na Lissu washtakiwa wengine ni, Wahariri Simon Mkina, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehbooh.

Katika kesi ya msingi kwa pamoja washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matano ikiwamo kuandika habari za uchochezi kinyume na Sheria ya Magazeti ya Mwaka 2002.

Ilidaiwa kuwa kati ya Januari 12 hadi 14, 2016 jijini Dar es Salaam, washtakiwa Jabir, Mkina na Lissu, waliandika na kuchapisha taarifa za uchochezi zenye kichwa cha habari kisemacho, ‘Machafuko yaja Zanzibar.’

Katika shtaka la pili wanadaiwa kuwa Januari 14, 2016 walichapisha habari hizo ili kuleta chuki kwa wananchi wa Zanzibar.

Mshtakiwa Mehboob anadaiwa kuwa Januari 13 ,2016 katika jengo la Jamana lililopo Manispaa ya Ilala, alichapisha gazeti la Mawio lililokuwa na taarifa za uchochezi.

Ilidaiwa kuwa mshtakiwa huyo pia alichapisha gazeti hilo bila ya kuwasilisha hati ya sheria ya kiapo kwa Msajili wa Magazeti.
TAL ana bahati sana. Wanampaisha kisiasa bila kujua.
 
TAL ana bahati sana. Wanampaisha kisiasa bila kujua.

Wanafahamu wanampaisha juu ya wapiga kura ambao nao wanashangaa rangi ya mbawa anazotumia.

Mwisho wa siku wanaipa CCM ushindi uitwao "landslide".
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemwamuru kufika mahakamani mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake watatu, wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi, Septemba 14, mwaka huu, baada ya jana kushindwa kufika kusikiliza kesi yake.

Amri hiyo ilitolewa jana na mahakama hiyo iliyoketi chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, kesi hiyo ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa.

Awali, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, alidai shauri lilipangwa kwa kutajwa na kwamba mshtakiwa Lissu, hakufika kusikiliza kesi yake.

Mdhamini wa Lissu, Robert Katula, alidai mshtakiwa aliwasiliana naye juzi asubuhi na kumueleza kwamba yuko mkoani anatafuta wadhamini kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.

Hakimu Simba, alimtaka mdhamini huyo kuhakikisha mshtakiwa anafika mahakamani na sio kutoa sababu ambazo sio za kisheria.

"Mdhamini hizo sababu hazikubaliki kisheria tusiikosee sheria, sisi ni watekelezaji wa sheria ambapo tunatoa amri. Ukisema unaiachia mahakama tunaweza kusema ulipe dhamana na ukishindwa unakwenda jela hatutaki kufika huko, wewe hakikisha unamleta mshtakiwa tarehe ijayo," alisema.

Hata hivyo, wadhamini wa Lissu waliomba mahakama kujitoa katika udhamini kwasababu wanayemdhamini hana ushirikiano mzuri na wadhamini wake na mahakama iliwaeleza kuwa kisheria mdhamini akitaka kujitoa lazima kwanza anamleta mshtakiwa halafu ndiyo aweze kujitoa.

Kwa upande wa mshtakiwa wa tatu ambaye hakufika mahakamani Mehbooh, ilidaiwa na mdhamini wake kuwa ni mgonjwa na kuwasilisha fomu mahakamani hapo.

Hakimu Simba baada ya kusema hayo, alimtaka mdhamini wa Lissu ahakikishe mshtakiwa huyo anafika mahakamani hapo tarehe ijayo na sio vinginevyo.

Mbali na Lissu washtakiwa wengine ni, Wahariri Simon Mkina, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehbooh.

Katika kesi ya msingi kwa pamoja washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matano ikiwamo kuandika habari za uchochezi kinyume na Sheria ya Magazeti ya Mwaka 2002.

Ilidaiwa kuwa kati ya Januari 12 hadi 14, 2016 jijini Dar es Salaam, washtakiwa Jabir, Mkina na Lissu, waliandika na kuchapisha taarifa za uchochezi zenye kichwa cha habari kisemacho, ‘Machafuko yaja Zanzibar.’

Katika shtaka la pili wanadaiwa kuwa Januari 14, 2016 walichapisha habari hizo ili kuleta chuki kwa wananchi wa Zanzibar.

Mshtakiwa Mehboob anadaiwa kuwa Januari 13 ,2016 katika jengo la Jamana lililopo Manispaa ya Ilala, alichapisha gazeti la Mawio lililokuwa na taarifa za uchochezi.

Ilidaiwa kuwa mshtakiwa huyo pia alichapisha gazeti hilo bila ya kuwasilisha hati ya sheria ya kiapo kwa Msajili wa Magazeti.
do hadi naitamani sheria nisome ,ok ngoja wenye fani zao waje watupe madini tafadhali wanasheria wa tz njooni na tupeni madini wakuu
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemwamuru kufika mahakamani mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake watatu, wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi, Septemba 14, mwaka huu, baada ya jana kushindwa kufika kusikiliza kesi yake.

Amri hiyo ilitolewa jana na mahakama hiyo iliyoketi chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, kesi hiyo ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa.

Awali, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, alidai shauri lilipangwa kwa kutajwa na kwamba mshtakiwa Lissu, hakufika kusikiliza kesi yake.

Mdhamini wa Lissu, Robert Katula, alidai mshtakiwa aliwasiliana naye juzi asubuhi na kumueleza kwamba yuko mkoani anatafuta wadhamini kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.

Hakimu Simba, alimtaka mdhamini huyo kuhakikisha mshtakiwa anafika mahakamani na sio kutoa sababu ambazo sio za kisheria.

"Mdhamini hizo sababu hazikubaliki kisheria tusiikosee sheria, sisi ni watekelezaji wa sheria ambapo tunatoa amri. Ukisema unaiachia mahakama tunaweza kusema ulipe dhamana na ukishindwa unakwenda jela hatutaki kufika huko, wewe hakikisha unamleta mshtakiwa tarehe ijayo," alisema.

Hata hivyo, wadhamini wa Lissu waliomba mahakama kujitoa katika udhamini kwasababu wanayemdhamini hana ushirikiano mzuri na wadhamini wake na mahakama iliwaeleza kuwa kisheria mdhamini akitaka kujitoa lazima kwanza anamleta mshtakiwa halafu ndiyo aweze kujitoa.

Kwa upande wa mshtakiwa wa tatu ambaye hakufika mahakamani Mehbooh, ilidaiwa na mdhamini wake kuwa ni mgonjwa na kuwasilisha fomu mahakamani hapo.

Hakimu Simba baada ya kusema hayo, alimtaka mdhamini wa Lissu ahakikishe mshtakiwa huyo anafika mahakamani hapo tarehe ijayo na sio vinginevyo.

Mbali na Lissu washtakiwa wengine ni, Wahariri Simon Mkina, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehbooh.

Katika kesi ya msingi kwa pamoja washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matano ikiwamo kuandika habari za uchochezi kinyume na Sheria ya Magazeti ya Mwaka 2002.

Ilidaiwa kuwa kati ya Januari 12 hadi 14, 2016 jijini Dar es Salaam, washtakiwa Jabir, Mkina na Lissu, waliandika na kuchapisha taarifa za uchochezi zenye kichwa cha habari kisemacho, ‘Machafuko yaja Zanzibar.’

Katika shtaka la pili wanadaiwa kuwa Januari 14, 2016 walichapisha habari hizo ili kuleta chuki kwa wananchi wa Zanzibar.

Mshtakiwa Mehboob anadaiwa kuwa Januari 13 ,2016 katika jengo la Jamana lililopo Manispaa ya Ilala, alichapisha gazeti la Mawio lililokuwa na taarifa za uchochezi.

Ilidaiwa kuwa mshtakiwa huyo pia alichapisha gazeti hilo bila ya kuwasilisha hati ya sheria ya kiapo kwa Msajili wa Magazeti.
Tanzania bana dah
 
Back
Top Bottom