Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Sasa mbona ameshindwa kujitetea, amepataje pikipiki ya marehemu, kama ameikota, alitangaza wapi, kama aliletewa, na akina nani, mshikwa na ngozi.....Kwahiyo Jamaa amehukumiwa kifo kwa sababu tu alikamwatwa na Pikipiki aliyokuwa anaendesha Marehemu?
Kwamba ameua wamethibitishaje sasa?