Mahakama yaridhia kunyongwa aliyemuua Dereva Bodaboda

Ila hao majaji wanaendesha mahakama kwa hisia, hivi hao majaji wana akili timamu kweli?!

Kwahiyo kukutwa unaendesha pikipiki ambayo si mali ya marehemu, ila tu mtu kaamua kusema kwamba ilikuwa inaendeshwa na marehemu, basi mnanyonga mtu? What if kama mwenye hiyo pikipiki alimkabidhi afanyie kazina wala hajui chochote kuhusu hayo mauaji?
 
Unamhukumu vipi mtu kufa kwa ushahidi wa kimazingira tu?
Hata mimi nimeshangaa sana, kuna ushahidi gani kama hiyo pikipiki hajapewa na mwenye umiliki nayo afanyie biashara? Yaani mmliki kisa amesema alimoa marehemu basi, mnanyonga tu mtu?!!! Hapo kuna ushahidi gani usio na shaka?! Hawa vilaza wamekuwaje majaji, sijawahi ona majaji vilaza kama hawa toka nizaliwe, maana huwezi sema wamepewa rushwa, ni ukilaza na mihemko!
 
Kwahiyo Jamaa amehukumiwa kifo kwa sababu tu alikamwatwa na Pikipiki aliyokuwa anaendesha Marehemu?

Kwamba ameua wamethibitishaje sasa?
Na hata haijadhibitishwa kwamba ni kweli marehemu alikuwa anaendesha hiyo pikipiki, ukizingatia piansi mali ya marehemu.., ni hearsay tu ya mmiliki kwamba alimpa, tutaamini vipi? Aisee akate rufaa hadi dakika ya mwisho
 
Sikikiza wewe nyau, pikipiki si mali ya marehemu, na hakuna ushahidi wowote kwamba hiyo pikipiki ilikuwa inaendeshwa na marehemu, zaidi ya maneno tu yabmmiliki kwamba alimpa marehemu afanye biashara, sasa mahakama haifanyi kazi kwa hisia au kuhisi tu, lazima pawe na udhibitisho kwamba kweli alikuwa anaendesha hiyo pikipiki..., na pia ionyeshwe kwamba mrufani kaua.., inawezekana alipewa na yeye afanye biashara na huyohuyo mmiliki halafu anamdondoshea jumba bovu
 
Kama alishindwa kutoa maelezo ameipataje hiyo pikipiki kwa nini asichukuliwe yeye ndio mtoa roho.
 
Ndo angesema pikipiki ya marehemu aliipata wapi ndani ya masaa 24 baada ya kifo chake?
Pikipiki haikuwa ya marehemu, ni ya mtu mwingine, na hakuna ushahidi kwamba alikuwa anaiendesha siku ya tukio zaidi ya maneno tu ya mmiliki
 
Yeye aliyehukumiwa ilibidi awaonyeshe waliyemuuzia pikipiki, sasa kama pikipiki ilitoka kwa marehemu ikaja kwake, tena kwa tofauti ya siku moja, unategemea nini?
Mahakama haijataka kujua yeye kaipataje, kwamba kauziwa au kaiotaje hilo swala hawataka kujua, sasa atawaonyesha vipi?
 
Mahakama haijataka kusikia kwamba kaipataje, sasa ataelezaje na hakuna aliye tayari kusikiliza?
 
Aeleze basi yeye aliipataje. Halafu kakutwa na vitu vya marehemu, alivipata wapi?
Vitu vya marehemu wanavyodai ndio hiyo pikipiki, na haijadhibitishwa na TRA kama ni ya marehemu, na inasemekana si ya marehemu, bali mmliki anadai tu alimpa marehemu, maneno tu, hakuna udhibitisho. Na hata mtu akijutwa navyo, inabidi apewe nafasi ya kueleza mahakama kavipataje, hajapewa nafasi hiyo
 
Kwahiyo mtu akinunua bidhaa bila kibali auwawe? Ni jukumu la mahakama kudhibitisha kwamba kaua, sio otherwise.., na hapa sijaona wapi kapewa nafasi ya kueleza wapi kapata hiyo pikipiki
 
Imedhibitishwaje umiliki wakati hata TRA hawajapewa nafasi ya kudhibitisha?
 
Imedhibitishwaje kwamba ni ile ile? Kwa kuangalia rangi yake? Kumbuka TRA hawajapewa nafasi ya kudhibitisha umiliki
 
Aliye uawa hakua mmiliki, sasa mtuhumiwa alitaka TRA waje kufanya nini mahakamani?????? Kumbuka mmiliki halisi alisha fika mahakamani kuthibitisha!
Huyo mmiliki halisi kadhibitishwa vipi bila TRA kudhibitisha mahakamani? Na inadhibitishwa vipi ilikuwa inaendeshwa na marehemu muda wa mauaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…