Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Kampuni huwa zinashtakiwa...kama TUSHTAKIWAVYO sisi....

Yaani umnyonge mtu haki yake...utumie JASHO LAKE...ufaidike kwa CALLER TUNE ZAKE....aende mahakamani kudai CHAKE useme anakuchafua?!!!

Sasa mahakama ziko kwa AJILI GANI?!!

Kama hutaki kuchafuliwa na KUCHAFUKA biashara zako basi USIINGILIE HAKI ZA WENGINE....
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Wyatt him self
 
Wajua haya makampuni huwa Yana nunua nyimbo kwa makampuni ambayo Ni dalali was kuuza hizo nyimbo kwa wasanii na kampuni hizo zipo kisheria na wasanii husika ndio huwa wanapeleka hizo nyimbo katika hayo makampuni kwa lengo la kufanya nahiyo kampuni biashara
 
Sure....

Ila akina mh.FA walilalamika kuwa hakukuwa na mkataba baina yao na hiyo kampuni iliyouza CALLER TUNER zao kwa kampuni inayolalamikiwa....
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…