Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Huo ushindi wa pili aliupata bila kura za wajumbe? Kuwa wa pili kwenye kura za maoni kunapatikana bure bure tu... mwana fa alipigiwa kura na wajumbe karibu 300.. je hao wajumbe wangempigia kura bure bure tu.. labda huijui ccm na seke seke za kuupata ubunge unahitaji bajeti ya bei gani.. mjumbe mmoja tu uipate kura yake haipungui laki 2 anapoozwa na mgombea

Unaongea SPECULATIONS tu....Kama ulishuhudia wajumbe wakihongwa basi SAWA.....

Kamati Kuu ndiyo iliyopitisha jina la mh.FA na kumuacha mshindi wa kwanza mh.Adadi Rajabu....

Kwa hiyo mh.FA aliihonga kamati kuu chini ya mwenyekiti wetu ?!!
 
Ahaghh aghh sasa huko Ni kulazimishana kihisia boss huo Ni ukoloni mambo leo

Sio lazima kile unacho kipenda wewe ninacho kipenda mie Basi mtu mwingine nae akipende vivyo hivyo ' Tigo Ni kampuni Ay na FA ni wasanii kwanamna moja ama nyingine kampuni ya Tigo na hao wasanii wote Ni lazima watakuwa na mashabiki zao kwa sababu wote kwa pamoja Huduma wanazo zitoa zina gusa maisha ya watanzania directly

So kwa mantiki hiyo Tigo hawawezi kukosa mashabiki na kina AY na FA Hawawezi kukosa mashabiki pia

Kutaka watu wote washabikie upande Mmoja tu As if wote tuna moyo Mmoja unatoa tafasiri 1 ya kichocheo cha hisia huo sasa Ni ubinafsi na kutaka kuchaguliana maamuzi
Hata kama ni ushabiki, huu sio ushindani wa kibiashara (which is acceptable) bali huu ni wizi(which is not acceptable) hauwez kuwa pessimist uharibu taratibu na mambo ya watu tukuchekee, hata kama ni feelings za kishabki katika hili tunashauriana tu kwa maslahi mapana.
 
Huo mchezo wa kuigiza.
Kwani tangu mwanzo huyo hakimu aliyetoa hukumu alikuwa hajui kuwa Hana uwezo wa kusikiliza hyo kesi?
Vipi watu wa mahakama nao walikuwa hawajui?
Yes walishalipwa na walishakula, mahakama imeamuru warudishe au mali zao zishikiliwe
 
Lakini hapa Mimi naona mwenye makosa Ni MAHAKAMA YA ILALA.
Sasa wakizirudisha hizo hela ndo itakuwa wameshindwa kesi?.
Mimi ndo maana masuala ya mahakama sitaki haha kuyafuatilia.
Niliachaga kesi njiani kwa ajili ya sarakasi zao.
Ulitegemea msando tapeli ashinde kesi bila kuhonga?hana historia ya kushinda kesi bila rushwa sasa mgao unamtokea puani chawa wa ccm.....yani lazima degedege limpate halafu mama DI melo hajui kuremba kesi wala kula rushwa yao
 
Unaongea SPECULATIONS tu....Kama ulishuhudia wajumbe wakihongwa basi SAWA.....

Kamati Kuu ndiyo iliyopitisha jina la mh.FA na kumuacha mshindi wa kwanza mh.Adadi Rajabu....

Kwa hiyo mh.FA aliihonga kamati kuu chini ya mwenyekiti wetu ?!!

Unaongelea NEC huku Unajibu hoja iliyoongelea ushindi wa pili alivyoupata kwa wajumbe.. ndio maana faiza foxy huwa anasema shuleni mmeenda kusomea ujinga
 
Nafikiri kina FA watashinda tena,maana hoja iliyotengua hukumu ni jurisdiction na wala sio kwamba Tigo hawakutumia caller tune ya kina FA ..so madai ya msingi bado yana mashiko kama kuna ushahidi wa kuridhisha

ni sawa na kusema mtu amekamatwa ugoni then mshenga akasolve issue kwa kuamua talaka itoke..baadae mke akapinga kuwa mshenga hana mamlaka ya kuamulia talaka bali sheikh..madai ya msingi ni ugoni na sio muhusika alieamulia kesi
Nenda kasome Hiyo Judgement kuna grounds 10 za wao kukata rufaa usijifiche kwenye sababu moja.
 
Lakini tukumbuke kwamba pamoja na yote haya, haiondoi ukweli kwamba tigo iliwaibia jamaa kwasababu mpaka sahizi hawana hoja/ushaidi kwamba walizitumia zile nyimbo kihalali ila wana hoja moja tu ya kiutendaji ya mahakama/sheria ambayo haiingilii kwenye kesi yenyewe hasa!
Rudia tena kupitia hiyo article. Tigo alikiwa hadeal na wasanii moja kwa moja. Kampuni ya cellurnet alikuwa dalali. Anaongea na wasanii anakubaliana dau na kusaini nao mkataba. Then anaenda kwa makampuni ya simu kuwauzia haki za kutumia nyimbo zao. Kwa hiyo anakula cha udalali. Na tigo ana mkataba na hiyo kampuni. Na kwenye utetezi wao Tigo wanasema anaetakiwa kudaiwa ni hiyo kampuni na sio Tigo.
 
Rudia tena kupitia hiyo article. Tigo alikiwa hadeal na wasanii moja kwa moja. Kampuni ya cellurnet alikuwa dalali. Anaongea na wasanii anakubaliana dau na kusaini nao mkataba. Then anaenda kwa makampuni ya simu kuwauzia haki za kutumia nyimbo zao. Kwa hiyo anakula cha udalali. Na tigo ana mkataba na hiyo kampuni. Na kwenye utetezi wao Tigo wanasema anaetakiwa kudaiwa ni hiyo kampuni na sio Tigo.
Ndio najua, sasa kwanini mahakama iliamuru tigo walipe na sio Cellulant inaonekana kuna kitu kipo katikati

Hao tigo ukute ndio haohao Cellulant Ltd
 
Hii kesi walishindwa tangu mwanzoni kabisa. Akaja Alberto Msando akanunua kesi wakacollude na mahakimu na watu wa Tigo kesi ikaisha wakavuta hela fasta yaliyoendelea mnajua. Nadhani watu wa Tigo walidelay kuappeal ili hela zilipwe wasepe zao, ukifuatilia unaweza kuta wote waliokuwa wanahusika upande wa Tigo walishatimua zao
 
Unaongelea NEC huku Unajibu hoja iliyoongelea ushindi wa pili alivyoupata kwa wajumbe.. ndio maana faiza foxy huwa anasema shuleni mmeenda kusomea ujinga
Niambie tena hiyo NEC nimeiongelea wapi?!!!

Hivi unaujua mchakato wa ubunge CCM?!!
 
Unachosema kinaweza kua kweli au si kweli

Kama ulikua nao na unajua inner workings ya MIC kwenye hii issue huenda ukawa unasema kweli

Ila kama ndio kama mimi hapa tunajaribu ku-analyze kwa kutumia common sense zetu ya jinsi MIC ilivyofanya,huenda tukawa tunadanganya

Hopeful labda unajua hasa kwa undani huko MIC walifanyaje kwa uhakika

Ni kweli ila kwenye hii kesi ishu ya msingi ni ilikuwaje tigo waliamuriwa kulipa wakati wanasema walichukua kutoka kwa wakala na kiutaratibu hao mawakala (Cellulant) inabid walipwe na Tigo sasa hizo hela zilienda wapi na hapo mahakamani Cellulant waliitwa? na kama waliitwa walijiteteaje hadi ikafikiwa tigo ndio walipe?
 
Hii kesi walishindwa tangu mwanzoni kabisa. Akaja Alberto Msando akanunua kesi wakacollude na mahakimu na watu wa Tigo kesi ikaisha wakavuta hela fasta yaliyoendelea mnajua. Nadhani watu wa Tigo walidelay kuappeal ili hela zilipwe wasepe zao, ukifuatilia unaweza kuta wote waliokuwa wanahusika upande wa Tigo walishatimua zao
😲😲
 
Back
Top Bottom