jombaa askari
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 494
- 530
Tuwekee hapa Mjomba, hata mie Niko butu kwenye uelewa juu ya hilo la utakatishaji fedhaIpo thread inayozungumzia hivyo Kwa kirefu Na mifano
Itafute Mkuu
Kwa hiyo Fedha za Okwi walizozila kina Kaburu zilikua Fedha za Biashara haramu?Utakatishaji fedha au Money laundering kwa kifupi ni kuchukua mapato yatokanayo na biashara haramu kama uuzaji wa dawa za kulevya, Silaha ama kusafirisha binadamu nk na kuyaingiza mapato hayo kwenye mfumo halali wa uchumi wa nchi kwa kufanya biashara halali
mimi nawajua nyinyi hamna maana!!!..naweza nikawataja hapo badala ya kuwashughulikia hao watajwa mtaanza kunishughulikia mimi!!ha ha haaaMkuu mbona umeacha vyumba wazi,ungetujazia ili tuone namna ya kuwa arrest.....ha ha ha ha
Na jana mmetufunga Serikali,lazima tulipize kwa mlango wa nyuma..... ha ha ha haDu! Simba Tunalo
Ha ha ha ha kausha ulee watoto mkuumimi nawajua nyinyi hamna maana!!!..naweza nikawataja hapo badala ya kuwashughulikia hao watajwa mtaanza kunishughulikia mimi!!ha ha haaa
Hanspope anafuata nyayo za Manji atasulubiwa hatari.Nilijua tuu huyu hachomoi,
Unakumbuka mwaka 2015 hans alivokuwa anamrushia maneno JPM pale ITV,kuhusu mzozo wao wa mizani za barabarani
Nilijua tuu huyu hachomoi,
Unakumbuka mwaka 2015 hans alivokuwa anamrushia maneno JPM pale ITV,kuhusu mzozo wao wa mizani za barabarani
Tz hakuna tajiri ambaye Yuko clean 100%
Ova
Yeah nikweli kwanamna walivyokuwa karibu ningumu kutohusikaToka mwanzo nilishangaa kwa yeye kutokuwemo.
Sema nikakumbuka ile ya mpe mruke mpe mruke.
Money launderingHivi "utakatishaji fedha" ndio nini?wajuzi tusaidieni maana hata sielewi hawa jamaa walifanyeje?
Mkuu Zacharia Hanspope unamjua? maana binafsi sijakuelewaMmmh nasikia harufu ya kisasi vile; hakuna uhusiano wowote na hu uzi kweli!? Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli
Anyway, labda ni mawazo yangu ya kijinga tu.
Ha ha ha yeye alikuwa kaondoka pale Msimbazi,ila ikitokea huwezi shangaaMadeni ya maharage huko alipo tumbo joto..... Asije nae akaunganishwa tu kwenye list hii
Yeah nikweli kwanamna walivyokuwa karibu ningumu kutohusika
Hapa utapataje jibu?Mahakama pekee ndio inaweza ukijibu!Innocent till proven guiltyHoja hapa iwe ni utakatishaji wa fedha ...hivi analo kosa au hana? Hahahaha
Hiyo ndio sehemu yakupatia pesa hasa ukiwa Na mtaji, hujiulizi kwanini mitume Na manabii wanakuwa matajiri fasta? Sababu ni tasisi za kijamii hazitozwi kodi wanaingiza vitu vingi kwa gharama na fuu. wakishilikiana na wafanya biashara, Hans mjanja alipo ingia muheshimiwa malori yake amekodisha zambia na mengine machache yako tz, nita shangaa kama atakua bado yuko nchini mana aliokuwa anakula nao hadi analeta jeuri wako benchi, na hawa wa washwi washwi tena wametulia tulii watu wafanye kaziiiSijui ya nini wafanyabiashara wakubwa wanapenda ujinga ujinga wa mavitu kama haya.!
Sio Manji,sio Hans Poppe,sio Davis Mosha,sio Mo Dewji,Malinzi,etc,etc...Wapuuzi hawa kwanini wasikae kwenye biashara zao seriously?
Wanaingia humo wanajiletea ma-attention yasiyo na maana...
Look at Manji,he is down now,Poppe is going down,Malinzi is down,Davis Mosha is down..
Maupuuzi ya kutaka kujulikana,what the fvck is this?
They are paying now!Watajijua
Dili zote za fedha Simba SC jamaa lazima kuwe na baraka zake.
There is no way Aveva awemo yeye asiwemo.
Hana kosa ......Na ni mpaka hapo itakapothibitishwa na mahakamaKwani hana kosa au analo?