Mahakama yatupilia mbali Rufaa ya Odinga, yakubali Ruto ameshinda kihalali Urais wa Kenya, leo Jumatatu Septemba 5, 2022

Mahakama yatupilia mbali Rufaa ya Odinga, yakubali Ruto ameshinda kihalali Urais wa Kenya, leo Jumatatu Septemba 5, 2022

Hakuna ushahidi uliowasilishwa na Raila kuthibitisha uchakachuaji wa kura - CJ Martha Koome.
 
Makamishna wote wa IEBC walishiriki katika shughuli ya kujumlisha na kuthibitisha - Martha Koome.
Fb4naTsXoAQ0QJ9.jpeg
 
Cherera na wengine walishiriki kikamilifu katika kujumlisha na kuthibitisha matokeo tangu mwanzo - CJ Martha Koome.
 
IEBC ilitekeleza kujumlisha, kuhakiki na kutangaza matokeo kwa mujibu wa katiba - Mahakama ya Juu.
Fb4pn-ZXgAEgiME.jpeg
 
Back
Top Bottom