Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
Ndio ujue kamwe hauwezi kumfurahisha binadamu,wewe fanya mambo unavyoona kwako inafaa.
 
Kuna member humu JF alianzisha uzi kipindi fulani kuwa hana KORODANI sijui anaendeleaje maskini...
 
Back
Top Bottom