King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Usikariri sio kila mtu anapenda matusi
Labda kwa mwanamke ,kwa mwanamme kukaa zaidi ya miezi miwili bila ku do basi atakuwa na matatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri sio kila mtu anapenda matusi
Kwanini?Labda kwa mwanamke ,kwa mwanamme kukaa zaidi ya miezi miwili bila ku do basi atakuwa na matatizo.
Kwanini?
Inategemea.Kwasababu ya nature(Hormones) - Testosterone inasababisha Sexual desire sana.
Inategemea.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
Ndio ujue kamwe hauwezi kumfurahisha binadamu,wewe fanya mambo unavyoona kwako inafaa.Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
Soma uelewe,hakuna mashine iliyosukumwa kwa miaka yote ile.Hata kama hana korodani ,lakini si anasukuma mashine? Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu,na unaweza hata kuchukua yatima.
Ebeneza kaimba angela chibalonzaebeneza