Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Daah maisha bhana Mungu atusaidie ndugu zetu wengine wanapitia kwenye mtihani mkubwa sana kwa kweli sema ilitakiwa asioe ili asipate hiyo kadhia iliyopo kwa sasa...

Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
 
Nishawahi Pata mpenzi mlokole akaniambia ananipenda kweli ila hataki tushiriki hilo tendo

kwakua namimi nilimpenda kweli nikakubali tukapeana ahadi mpaka NDOA kweli mahusiano

yakaanza,siku - wiki - mwezi - miezi - mwaka tuna romance mashine inasimama ila ndio haina pa kwenda

mwaka wa 1 mwaka wa 2 nikapata mchepuko 1 Chance one Goal,huyo katekista wangu tukaachana

ndani ya miaka miwili no kwichikwichi, kitanda kimoja, bafu 1,tunaishi ka tuko beach nikifikiriaga ile kipindi

najiona kama nilikuaga SAMSONI flani hivi mwenye miguvu ya ajabu, katika watu mbinguni tusingekosa ni kipindi cha miaka ile miwili.

sema kuna wakati najionaga nilikuaga boya au niliwekewa limbwata?!! ila kwa yesu hamna limbwata sasa niliwezaje etiiiiiiii? bwana weee mi hata sishangai hao wapeana talaka

wengine tulikufa na kiu na angali tumezungukwa na maji ya kila aina pembeni ila vigezo na masharti ilibidi vizingatiwe.

Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
Umenikumbusha mbali sana mkuu, nimepitia kisa kama hiki. Walokole noma sana na mimi huwa najiona nilikuwa boya kweli
 
Behaviourist ana baby walker sikuhizi, ukimkubali utakua mama mwenye gari.
🤗🤗🤗
270426.jpg
 
Mwanamke siyo mwaminifu, alijuaje korodani kama hajaziona nje ya huyo mumewe?
Kiapo chao kinasema atampenda katika shida na raha, imekuwaje hapo anaomba talaka?
Ina maana kabla ya kuoa huyo mume hakuwa anapata hisia? Alioa kwa msukumo hisia kutoka wapi kama kweli hana goroli?
Mwanamme anatakiwa amshitaki mwanamke kwa kutoa siri ya maumbile yake hadharani
Mambo ya ndoa yanamengi, inawezekana alikuwa tayari kuvumilia lakini upande mwingine ukawa unamuumiza Kama kuhitaji watoto na mwanaume akawa anataka yeye mwanamke ndo aonekane tatizo, lakini kama walikubaliana iwe kwa kuishi tu na yeye akatoa siri hapo kweli ndo tatizo. Mimi namjua mtu mwenye tatizo Kama hilo aliona mwanamke mwenye watoto tayari Ili kumsaidia mahitaji yao na atulie kwake sasa kuoa binti tu hapo napo ni ngumu.
 
Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
Upo sahihi mkuu inasikitisha sana kwa kweli inaonekana jamaa kazunguka kweli mali wanapata ila hiyo ishu ndio tatizo sema kila kitu ni mipango ya Mungu ilitakiwa asingefika kuoa bosheni hivyo mpaka sasa imempa msongo wa mawazo mno kwa sababu huo ugonjwa hajajipa ujue kwa hiyo kwa nini aji stress kwa wapita njia...
 
Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom