DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unajua mtalaka anahitaji ushauri asije kujidhuru 🤭
Na unanijua nipo vizuri kwenye kutoa ushauri
Hebu fanya chap hutaki kwenda Santorini wewe
🤣🤣🤣Yaani huo ushauri ukampe sehemu zenye utulivu kama Ibiza au Bora Bora island...Na hapo kwenye Santorini mdogo wangu sio nikupe connection halafu ukifika huko unisahau,🙆🙆🙆....
 

Sasa hii habari inatuhusu nini hasa???
 
Wanawake wa singida ni malayahh kwa asili🙏
 
Ila mimi nikishasemaga, kunipeleka kanisani kufunga ndoa itabidi itumike Caterpilla kunivuta niende 😂😂, mimi hata watoto wangu wakiume nawaambiaga hivyo hivyo, hakuna kusaini mkataba kanisani, never.., 🤣
Kama fala. So umezaa na nani? Na hakuna mwanamke mwenye akili anaekubali kuzaa na janaume ambalo halijamuoa. So wewe, uliezaa nae na hao wanao wote mapunguani. Kuzalisha kizazi cha bastards
 
Alikuwa anachuma na kupeleka kwako, 1.4 million Usd
 

Acha kutokwa maneno wewe kaoe kwenu tu…huyo nancy ni mzaramo sio wa kaskazini komaaa
 
Kama fala. So umezaa na nani? Na hakuna mwanamke mwenye akili anaekubali kuzaa na janaume ambalo halijamuoa. So wewe, uliezaa nae na hao wanao wote mapunguani. Kuzalisha kizazi cha bastards
Hahahah, kwahiyo bila kusaini mikataba ya ndoa watu hawazai? Sasa mtu anatunzwa, anapewa nyumba , gari, malezi mazuri ya watoto wake, asizae mchezo? 🤣🤣😂😂😂,
Mbona wewe ndio unakuwa kama punguani ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…