DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jamii inaamini hivyo kwa kuwa ndoa nyingi ni za imani za dini, na dini zinaelekeza kuwa mtafutaji wa mali na utajiri ni mwanaume.

Sasa wanawake wa kisasa wamekua wanaharakati, wanapingana na matakwa ya imani zao za kidini na kusema wao pia nicwatafutaji. SAWA.

Wanawake haohao ukisema uishi nao tu bila kufunga ndoa wanasema kuwa dini haziruhusu, anataka apate gamba ili alitumie kwenye kudai mali kwenye talaka au kifo, na hataki ndoa ya bomani.

Sasa unashindwa kuwaelewa, wanaitaka dini pale inapowafeva ila wanaikataa isipowafeva. Dini ndio zinasema mtafutaji ni baba.. mwanamke amtii mumewe, hawataki kuzingatia. Wao wanataka haki sawa baada ya ndoa.

Na wanawake haohao wanaamini kuwa mwanaume anatangulia kufa. Dr. Ndodi anasemaga popote panapotafutwa haki hapawezi kuwa na amani. Uingereza wamekubali kutawaliwa na familia moja tu, siku wakitaka haki, hapo patawaka moto.
 
Tuseme aliyeshinda hizo fedha amefariki. Jee hizo fedha zitatolewa katika mirathi ili mwenzake asifaidike nazo? Kama zitahesabiwa kama sehemu ya mirathi basi ni pato la pamoja.

Amandla...
 
Tuseme aliyeshinda hizo fedha amefariki. Jee hizo fedha zitatolewa katika mirathi ili mwenzake asifaidike nazo? Kama zitahesabiwa kama sehemu ya mirathi basi ni pato la pamoja.

Amandla...
Mkuu, hapa umejielekeza vibaya. Kitu ambacho ni pato la pamoja, akifa mmojawapo automatically umiliki wote unahamia kwa aliyebaki hai.

Kwa hiyo kama mali ipo kwenye mirathi, basi tafsiri ni kuwa ilikuwa ya marehemu pekee na sio chumo la pamoja. Huwezi kuomba urithi kitu ambacho kisheria tayari ni cha kwako.
 
huyo mwanamke kwenye hizo biashara alikuwa nani, kama mke au mhasibu (mfanyakazi) ?
Ni mke pia ni muhasibu!
Unazijua sheria za Tanzania kweny ndoa kweli?

Mke anahusika kweny mali za mumewe walizochuma baada ya ndoa ,mke ana haki kama mke(mke wa ndoa) hata kama aliajiriwa haki hizo kama kurithi mali za mume na nyingine.
 
huyo mwanamke kwenye hizo biashara alikuwa nani, kama mke au mhasibu (mfanyakazi) ?
Ndugu yangu punguza tamaa ,mke ana haki kama mke (kama kaolewa kisheria) hata kama angekuwa mama wa nyumbani ana haki kama mtu aliyechangia sehemu ya mali za mumewe.

Madai aliyoweka Moshi kama kuibiwa ni kuanzisha kesi mpya ,kama uzinifu hapo wanakiri pande zote walikuwa na vimada.

Mambo ya ndoa soma kwanza sheria zake ndio uingie hapo Mosha kweny sheria za ndoa bado ana mtiti kwa nafasi yake kama yale ya Mengi ikawa anamlipa mke kila mwezi.


Mwanamke ili ujue kwamba ana access kubwa na mali za mumewe anaweza kukopa kwa niaba ya mumewe na akapata mkopo.
 
Umesoma hukumu lkn ama umekuja huku kwa speed huku unanyambia nyambia
 
Sio kweli kuna vitu haviwezi kupotea kama hewa tunayovuta, ndoa, kula na kunya tek that to the bank
 
NANCY MWANAMKE ANAYEONYESHA MACHUNGU YA WANAUMME WAKIWA NA MALI.

Tunajua wanaume wangapi wamekufa kwa wanawake wenye tamaa na Mali tunajua, na bado Hata Hao wanawake kama Nancy wakiua na wakizipata mali wameshindwa kuendeleza Mali.
Nancy tujue ndugu zake Wana maisha gani, kaka yake mwenyewe alimwacha mke na watoto wadogo Australia na hakumpa hata senti na amemtesa Dada wa watu Ana watoto Kila kona na hiyo familia ni shida walimua baba Yao, mama Yao alimuua mme wake kwa umalaya na watu wa kibaha wanajua Vizuri mzee wa watu alipata strock mara 3 Ghafla akafa na manung'uniko ya mateso makubwa hiyo ni laana watapata majibu hapa hapa Duniani.
Nancy alijaribu kumtupia majini Davis wamfanye Kama Baba Yao wapi?Nancy alimpenda Mitimingi akampa aendeshe Miradi pale Afrikana ammalize Davis wapi?Nancy akaona aue Mtoto Meseji ikakamatwa akakimbia kwake ghafla.

Jamani pia Mnajua story ya Recho temu, Walipanga kumuua mtoto wa arusha, eti mtoto mdogo wa miaka mitatu Afe eti sababu atakuja kugawa Mali Dahhhhh, Nancy Nancy Nancy Nancy Nakuita, huwezi kummaliza Mangiii
 

Attachments

  • Screenshot_20240223-191703_2.jpg
    170.5 KB · Views: 12
  • Screenshot_20240225-161550_1.jpg
    207.6 KB · Views: 13
  • Screenshot_20240225-161645_1.jpg
    299.6 KB · Views: 12
  • Screenshot_20240225-161645_1.jpg
    299.6 KB · Views: 13
  • Screenshot_20240225-162026_2.jpg
    119.2 KB · Views: 15
  • Screenshot_20240225-161919_1.jpg
    346.1 KB · Views: 13
Sio kweli kuna vitu haviwezi kupotea kama hewa tunayovuta, ndoa, kula na kunya tek that to the bank
ndg, marriage is going to be replaced either by temporary cohabitation or something else. Attention span za binadamu zimebadilika siku hizi kukaa na mtu muda mrefu miaka hii nenda rudi ni almost impossible
 
Umeleta perspective nyingine ambayo ni nzuri. Pengine neno "pato" sio zuri na ingetumika milki. Ninavyojua mimi ni kuwa sheria zinaangalia ni mali gani zilipatikana wakati wa ndoa bila kujali milki yake k.m. limenunuliwa lori au imenunuliwa nyumba ambazo hati zake zinaonyesha mmiliki ni mume. Wakati wa mirathi hizo zote zinakusanywa na kuwa sehemu ya mirathi ya marehemu na mke ndio mara nyingi anapewa usimamizi wake kwa niaba ya familia. Kwa mantik hiyo ni usimamizi tu wa mali ya familia ndio unaamuliwa. Uamuzi wa kuzigawa ni sehemu pia ya usimamizi. Ninachosisitiza ni kuwa haki ya warithi inatokana na mahusiano yao na marehemu na sio mchango wao katika upatikanaji wa mali hizo. Hivyo hivyo katika talaka. Zinaangaliwa mali zilizomo katika familia na kuzigawa kwa wahusika ipasavyo. Ingawa mara nyingi mgao ni kati mume na mke wake lakini haki za watoto kufaidika na mali hizo unaangaliwa. Ndio maana majukumu pia ya malezi yao yanakuwa sehemu ya process ya talaka. Ninachopinga mimi ni ile dhana kuwa haki ya mke inategemea fadhila ya mume kwa sababu tu mali zao ziko katika jina lake. Lakini point uliyoi raise kuhusu kurithi kitu ambacho tayari ni chako ni nzuri sana.

Amandla...
 
ndg, marriage is going to be replaced either by temporary cohabitation or something else. Attention span za binadamu zimebadilika siku hizi kukaa na mtu muda mrefu miaka hii nenda rudi ni almost impossible
Ndoa zitazidi kuwepo zimebadilika mfumo tu sshv wanawake kwa wanawake wanaume kwa wanaume but kimsingi zipo zitaendelea kuwepo that's nature
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…