Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mkuu za chini ya carpet ni kwamba huyo mama amefanya umafia wa kutisha, na umafia huo kama utajulikana, anaweza potea ulimwengu wa uraiani kwa miongo si chini ya mitatu.Mara nyingi wanawake hawadai kwa kutoelewa haki yao na kwa kuhofia kukosa hata yale makombo ambayo anaweza kupata. Jamii nayo mara nyingi inamkatisha tamaa hasa kama mume ana fedha. Wanaishia kwenda kwa waganga kujaribu kuokoa ndoa yao au kuokoka na kumuachia Mungu. Inasikitisha sana.
Amandla...
Katika hali yoyote ile hilo suala halipo,mali ambao mke kazikuta ndio hazimuhusu ila yote yaliyotokea punde baada ya ndoa basi anahusika .
Rejea mke wa Mrema kupata mgao kidogo baada ya mumuwe kufariki wala ndoa haina muda sana.
Mke ana haki ya kupata mgawanyo wa mali kwa sababu amechum na mume hata kama alikuwa mama wa nyumbani ,pakitokea talaka lazima apate gawio .Hiyo ni sheria ya mirathi.
Sio sheria ya talaka.
Talaka na mirathi ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu.
Mke ni mmiliki wa mali za mume pale Mumewe akifariki halikadhalika na mume ni mmiliki wa mali za mkewe pale mke anapofariki.
Lakini linapokuja suala la talaka. Hali huwa tofauti. Kila mmoja anataja alichochuma na alichomiliki. Hiyo ndio HAKI.
JK ndo chanzo kikuu cha utajiri wa Mosha. Kama Riz aliwekeza itakuwa baadaeNadhani Riz Moko nae ni Quasi partner kwenye hio Delina Group.
Huwezi kujua huyo ni mwanamke wa kichaga,mostly wana akili za ziada kuhusu pesa.Kashaachana na BOT Davis Mosha hio hela ya kuhonga apartment ataitolea wapi tena. Miezi 6 tu ikiisha chalii lazma arudi kwa magoti kuomba hisani.
Jamii inakuendesha ndio maana upo hapa umejaa hasiraReality ya jamii ipi?
Na hakuna jamii inayo determine maisha ya mtu hapa duniani, ni mtu mwenyewe ndie mwenye maamuzi ya kuipa nafasi jamii kuyaendesha maisha yake. And only weak pathetic people do this.
Sikushangai kuona kwamba ni sahihi jamii kufurahia na kuupa baraka uchafu kwa maana misery loves company.
Uzinzi ni chanzo mmoja wapo cha umasikini na maradhi ya kuteketeza na ndio maana wanaoelewa hawashangai hali ya binaadam wanaoishi Afrika (uzinzi + Starehe)
Mwanamke anaevumilia na kukubaliana na matendo ya uzinifu ya mume wake Kisa tu Jamii inayakubali pia, ni mjinga hasiejitambua wala kutambua thamani yake.
Tunaendelea kushukuru Asili kwa kuendelea ku balance “shobo, mara nyingi tumeshuhudia wachimba makaburi wakiingia wenyewe. Tupo hapa.
Mke ana haki ya kupata mgawanyo wa mali kwa sababu amechum na mume hata kama alikuwa mama wa nyumbani ,pakitokea talaka lazima apate gawio .
Sheria za Tanzania mke ana uwezo hata wa kukopa kwa mgongo wa mumewe haswa jina wakati wote wapo hai.
Chukulia tu miaka 20 ya ndoa halafu watu waseme kwamba mali hazimuhusu sio kweli...katika hali ya kufa au kutalakiana kuna fungu mke anapata kama mchangiaji wa mali.
Mirathi ni ngumu kwa vile ina mlolongo mrefu pamoja wasia wa marehemu unaweza kutazamwa ila talaka ni haki yake kupata haijalishi mume kasemaje.
Mwanaume kapata chuma kipya, kazaa naye.This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.
Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Ndoa ya Mengi ilikuwaje? Mpaka anakufa mtalaka wake alikuwa analipwa kila mwezi baada ya kuachana 😅.Hakuna sheria inayomzuia Mke kufanya kazi ya kuchuma Mali sijui kama unalijua hilo.
Kulea watoto haimpi sababu ya kupewa mgao. Mtoto anaweza kulelewa na mtu yeyote na huyo mtu asipewe Mali au mgao.
Wapo watoto wanalelewa na wajomba, bibi au mama wadogo na hiyo haimaanishi wanatakiwa kupewa mgao.
Mantiki ya kupewa mgao ni uzalishaji, mchango wa uchumi ndani ya familia.
Ni vizuri kila mtu afanye kazi ya kuzalisha mali. Kulea watoto sio kazi huo ni wajibu wa Mzazi.
Sasa ikiwa hakimu aliyeamua kesi hajapinga hayo madai ya wizi wa pesa na kutaka kuuwawa kwa sumu wewe unabisha kama nani? Na pengine hata wahusika huyajui maisha yao?Una ushahidi gani alitaka kumuua ,kuiba pesa ,acheni tamaa za mali mke anabaki na haki yake kama mke.
Yaani atake kuua halafu asishtakiwe !?Mpeni haki yake anahusika kweny mali moja kwa moja.
Mosha kaweka hizo kama defensive mechanism sio kweli ni timing madai yote hayana uhalisia eti alitaka kuuliwa[emoji28][emoji28]
Kwani hakimu ndio nan? Mtu awe na kesi ya kutaka kuua mtu halafu asifunguliwe mashtaka uliona wapi?Sasa ikiwa hakimu aliyeamua kesi hajapinga hayo madai ya wizi wa pesa na kutaka kuuwawa kwa sumu wewe unabisha kama nani? Na pengine hata wahusika huyajui maisha yao?
Hizo zinaitwa rumours na zitabakia hivyo mpaka zithibitishwe mbele ya mahakama. Ukitaka kumuua nyani mpe jina baya. Inaelekea pia kuwa aliyekuwa mume wake nae sio malaika lakini watu wanamezea.Mkuu za chini ya carpet ni kwamba huyo mama amefanya umafia wa kutisha, na umafia huo kama utajulikana, anaweza potea ulimwengu wa uraiani kwa miongo si chini ya mitatu.
Ni lazima ujitetee. On the same token, mbona hamsemi mwanamke akitembea nje ni kwa sababu mume hajielewi, ameshindwa kumhandle ( pamoja na kuwa yeye ndio kichwa) au ni mkorofi ( anambamiza, anamdharau n.k.). Michepuko inatokea kwa sababu wanaume wanaona ni haki yao na wanajua kuwa jamii haita wahukumu vibaya.Double standards zipi bwana wee. Mwanaume mpaka anapozaa nje ya ndoa jua mke hajielewi ameshindwa kumu handle mumewe ama ni mkorofi. Michepuko hutokea sababu ya wanawake kutowajibika ipasavyo na ndoa.
Mgao unakuwepo ila mke anaweza kuondoka na kiduchu au kikkubwa kutegemeana na mchango wake kwenye hiyo mali. Halafu ni ngumu sana kama ni mama wa nyumbani kuthibitisha mchango wake. Pia inategemea watoto watakuwa chini ya uangalizi wa nani, kama ni baba, basi mgao kwa mwanamke utaendelea kuwa kiduchu kwani mwanaume atajitetea bado ana jukumu la kulea watoto. Sio rahisi ki hivyo kama wanawake tunavyojiaminisha. Halafu wanaume siku hizi ni wanjanja sana, Mali nyingi haziandikwi kwa majina yao hivyo ni ngumu kugagawanywa.
Sijaongelea company assets maana huwezi kuzidai mahakamani ukidai talaka.Company properties hazigawanywi kwenye kesi za talaka.
Jaji ameandika vizuri sana. Kuhusu hiloView attachment 2916834
Huyo Nancy sijui mwizi kala za usoKama hupendi ndoa achana nayo
Hakuna haja ya kujifanya philosopher
I wonder why people are so teseka na vitu vinaitwa ndoa?
Umeingia,vimekushinda,piga chini,waliomo achana nao wateseke na wao,who cares
Extrovert siku zote mwanamke au mwanaume akitokea dirishani kwenye uhusiano lazima mbeleni afeli na kujuta. Hii huwa ni karma.Wanawake wa kibongo washamba sana. Akishakuwa na source ya hela anaona ni bora atafte mpenzi wake private wa kumpelekesha ila mumewe anamuona hana maana kwake tena😂.