DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama maswali siku hizi ni declarations, then I am guilty as charged.

Butthole ni tako? Wapi huko? Kabla ya ku accuse, jitathmini kwanza.

Mimi na wewe ni nani mpiga ramli juu ya mwingine?

The only thing I’m doing is reminding you to stop projecting yourself on me.

Stop giving me names and relations that I have no idea are bound on me.

Stop spilling your emotions on me, be mature enough to handle your own.

Stop catching feelings from my statements due to your own perceptions then blaming me for it.

I ain’t here to cuddle you, just here to express my perceptions on all matters equally.

Stop taking things personal and pointing fingers that point back right at you still.

Nionyeshe wapi nimeji personalize na wahusika wa huu mkasa?

Kukwambia kwamba siwezi kuiruhusi jamii iamue maisha yangu ni kuwa in denial? Gladly kabisa.

Unaproject tena, nimejifanya ama wewe ndio muono/perception yako hiyo?

Kosa langu Mimi ni kuwa na msimamo wangu as an individual? Sio lazima tufanane ujue.

Nilisema mwanzo kule kwamba sikushangai. Misery loves company.

Kwamba “unaniombea yasinikute ila tayari ushatoa jamvi kibarazani unasubiri Mimi nije huku kulia juu ya cheating kwenye mahusiano? Kazi unayo.


“Self importance nazodisplay”, …now how did I do this?? Jamani!


Mars siendi, happily married 14 years now Alhamdulillah, blessed with 4 magnificent children. Una jingine?


Jamii lazima “ikufire live” , hapa unamaana jamii lazima ikufukuze kazi ama lazima ikufukue tope? We ni mchafu ujue?!

Mimi ninajitapa hapa kwamba ni God? Kama kuna Dawa unatumia za kichwa jitahidi ufuate dosage, please.


Tena kuhusu society na kufire? Una nini humo kichwani mwako?


Ashukuriwe Muumba wa Mbingu na Ardhi kwa maana society yangu sio yako na baraka zetu sio zenu wala laana zenu sio zetu japo dunia ni hii hii moja.


You call it fantasy I call it reality.


I am truly sorry for you and what happened to you. A product of a broken and messed up society with no Hope what so ever even the Will strong enough to face the real and rightful path of their truth.

The society that is responsible for bringing you up has so thoroughly broken you, that you are here forcing me to live my life through your perceptions.

Sorry not Sorry Bro.
Hahahaaaa

Dada naona umeamua kwenda full ballistic na philosophical jargons kuonesha kuna cha maana unasema

Unfortunately unaishi kwenye fantansies na kama sio hivyo unatufanyia maigizo tu hapa

Upo kwenye ndoa 14years,swali fupi tu,ulishachiti...jibu ni yes..ila wanawake mlivyo wanafiki utasema HAPANA.

Ukitaka kujua mumeo ni another human being siku chiti au prentend kama umechiti aone WhatsApp message uone kama talaka hutapewa hapo hapo

Swali jingine,mumeo alishachiti na ulishamshika mara kadhaa,mbona hujaondoka?

Subutuu

Huna ujasiri wowote unajaribu kutudanganyia hapa bwana....
 
Hii sio obvious. Kuna watu ni wema kabisa na wametendwq vilevile
I meant, ukimtendea mtu uovu, ni suala la muda tu kwa maana wewe uliyetenda utapata malipo yako na utakuja kujuta.

Kweli Nashengena , wapo watu wema wanatendwa lakini Mungu anaweza kuwapigania
 
Unawakumbusha wewe kama nani?

Malaika?

Shetani kama mashetani wengine tulioko hapa!

Unajua kwanini nime-declare wewe ni shetani sawa na sisi?

Simple...umedai ukichitiwa na mume na wewe unachiti....malaika hachiti hata akichitiwa

Infact naweza enda more further,ulishachiti tu kama malaya wengine tulioko hapa

Leo unajifanya malaika humu sababu tu umekasirika shosti wako kuachika,thats it!

So sad alichiti akashikwa,i'm really sorry for here aisee

Chiti my dear ila ushishikwe hamna rangi utaacha ona,kama Nancy

Kwanini hamjapitisha sasa mpaka sasa?

Unabisha nini sasa?

Unajua maana ya MAISHA?

Ukipata definition yake ndio utajua nipo sahihi

MAISHA ni struggle ya mwanadamu against nature ku-fullfill his needs....Na struggle against nature maana yake ni ku-alter nature from its original from to another

Unabisha nini sasa wewe Feminist wangu?

Hiyo ndoa ya mwanamke mwema na mwanaume mwema duniani haipo

Wee endelea kujidanganya

Endelea kujifanya daktari ku-dignose online characters you even dont know

Unatetea mwanamke tu,hujatetea wote...ndio maana ya Ufeminist!

Sijakosea hapo

Wewe unaishije?

Maana unajitoa duniani unasimama dunia ingine unanyooshea waliopo duniani vidole kama wewe uhusiki vile

Wewe unatombana kama watu wengine,hapa unaonesha unafiki tu

Wewe sio malaika,upo kwenye ndoa humo ulishachiti acha kunichekecha hapa

Shosti yako kashikwa limemkuta

Bado wewe.....

Kwa mwanaume hata akikushika na SMS umeenda na maji sio lazima akute mboo ndani ya **** yako..

Hapo ndio utajua there is a very big difference between ME and KE

Huwezi kua worked out hivi kama humjui huyo dada wala hakuhusu

Probably shost au wewe ndio mwenyewe

Still nafanya speculations

Mimi ni realist,shost yako kashikwa,akubali matokeo,amove on.....

na wewe siku ikikutokea hata uwe philospher namna gani utoe na kitabu na documentary na midahalo etc umeenda na maji

Nimekuuliza Mimi kuzungumzia wana Ndoa kulinda viapo na mikataba yao ya Ndoa ndio kuwakumbusha wenye campaigns za wanawake ndani ya Ndoa walipwe mishahara kuendeleza campaigns zao?

Wapi nimesema mimi ni Malaika?

Wewe kuniita Mimi shetani hakuniathiri chochote kwenye uhalisia wangu, hayo ni maono na mawazo yako wewe. Hayanihusu.

Nionyeshe wapi nimesema mume wangu akicheat ndani ya Ndoa na Mimi nitacheat ndani ya Ndoa?

Ubongo wako Unao uwezo japo wa kawaida wa kuzisoma sentensi na kuchakata taarifa zilizomo ndani yake?


Nilishacheat? Ulinishikia miguu?


“Shosti yangu Nancy…” dalili moja wapo ya ugonjwa wa akili ni kuona vitu visivyokuwepo.

Kwamba Maisha ni struggle ya mwanaAdamu “against nature”? Umejileta hapa duniani wewe? How do you struggle against something that made you?! Unaumwa?

Go learn about Feminism kwanza ndio urudi hapa kuiongolea.

In your life, always try by all means possible to avoid talking about something you have no real knowledge about. Always.

Ndoa ya Mwanaume mwema na Mwanamke mwema hapa duniani ipo na sio moja tu, zipo kwa mamia na mamilioni na sababu kuu kwanini huzitambui ni kwamba wasafi hawachangamani na wachafu na Kama ambavyo wema hujitenga na uovu ndivyo ilivyo pia kwa Nuru kulikwepa giza.


Where is the diagnosis I gave? Kwako ama kwa nani?


Uko sahihi. Natombana kweli, every chance I get. Ila tu na mume wangu wa Ndoa pekee, anatosha.


Uko sahihi nipo kwenye ndoa Mwaka wa 14 huu, sijawahi kucheat. Mume wangu ananitosha sana. Alhamdulillah.


Bado Mimi kwenye nini? Why are you so bitter?


Really? So worked out? Mimi? Mbona kazi unayo!


Mimi ndio mwenyewe? Nani?

Mimi ni verified Member, nisome kwa umakini. Halafu sina ugonjwa wa personality disorder yoyote kiasi niwe na identity mbili at once.

On the other hand, wewe inabidi ujiangalie kwanza kwanini unaona na kusoma vitu visivyokuwepo? You have any perception disorder?


Unafanya speculations on a body you know nothing about na bado unajiona mzima kichwani?


Realist.
Wewe ni Realist? Ulimwengu upi?


Uzuri ni kwamba tangu mwanzo msisitizo wangu na msimamo wangu ni wenza wote kwa pamoja kusimamia viapo na mikataba ya mahusiano baina yao.

I ain’t an exception na wala hakuna sehemu nimeomba nibaguliwe.

I will mantain my status of being faithful in my marriage hata Katikati ya kuzungukwa na mafisi wachafu na Malaya wadhaifu with no shame whatsoever.


Ustaarabu wa mtu hujengwa na yeye mtu mwenyewe mbele ya wengine.


Maono yako wewe juu yangu hayaathiri chochote kwangu wala kupindisha msimamo wangu juu ya maisha niliyochagua kuyaoshi.


Watu wema, wasafi, waadilifu na waaminifu bado wapo tele na misingi halisi ya maisha itaendelezwa kupitia wao bila kujali jamii ya watu wadhaifu, wachafu, wasio waadilifu wala waaminifu inayozidi kusambaa duniani.
 
Yaani wewe na akili yako unataka niseme kabisa butthole=mk**ndu mbele ya jukwaa namna hii?

Kwahiyo hapo unajiona unajua sana English-Swahili dictionary?

Nimetumia neno less graphic kama tako ili kupooza makali ya neno hadharani

Hivyo relax,nilipata A za English kama wewe,plus nipo huku America viinglish havinitesi sana kama unavyodhani

Kwasababu umeiandika kiingereza basi umeitoa kuwa tusi (neno la siri) na kuwa neno la kawaida linaloweza kutamkwa mbele ya jukwaa?

Kwamba kiingereza make everything sound and feel better?

Binaadam hawezi kujiona. Anaonwa. Na Kama wewe umeniona najua sana English to Swahili dictionary Mimi hilo halinihusu.

Tako ni neno less graphic? Kwenye jamii ipi uliyokuzwa wewe?

Kumbe kuna mashindano ya Lugha na hutoi taarifa? Uko America, Sawa wasalimie sana.
 
Unatakiwa kuelewa Mosha haweza kukubali kwa sababu moja ,si unakumbuka yale ya Mengi walishindwa kugawana makampuni kwa sababu ni sawa na kuua kampuni zote.

Wakakubaliana kwa vile ni watalaka mke aendelee kupata faidi kulingana na asilimia fulani ndio maana mke wa Mengi alikuwa analipwa mpaka siku anafariki...Mosha hawezi kukubali huu ujinga hapo lazima atumie pesa.

Case ya mengi ni tofauti na ya mosha

Mengi alianzisha kampuni akiwa na mkewe mercy mengi.. hivyo tangu kampuni inaanza kila mmoja alikuwa na share zake.

Kwa upande wa davis mosha..kampuni ilianzishwa miaka zaidi ya 10 iliyopita kabla hajafunga ndoa.

Mke wa mosha Nancy hajui hata kampuni ilianzishwaje.. hajui hata mtaji wa kuanzisha kampuni ulipatikanaje

Hana shea hata moja kwenye kampuni.

Kwa ufupi kampuni imezaliwa ikiwa haimjui mke wa mosha

Kwa mengi kampuni imezaliwa huku inamjua mke wa mengi
 
Hahahaaaa

Dada naona umeamua kwenda full ballistic na philosophical jargons kuonesha kuna cha maana unasema

Unfortunately unaishi kwenye fantansies na kama sio hivyo unatufanyia maigizo tu hapa

Upo kwenye ndoa 14years,swali fupi tu,ulishachiti...jibu ni yes..ila wanawake mlivyo wanafiki utasema HAPANA.

Ukitaka kujua mumeo ni another human being siku chiti au prentend kama umechiti aone WhatsApp message uone kama talaka hutapewa hapo hapo

Swali jingine,mumeo alishachiti na ulishamshika mara kadhaa,mbona hujaondoka?

Subutuu

Huna ujasiri wowote unajaribu kutudanganyia hapa bwana....

Philosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.

Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?

Kama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.

Sijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.

Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?

Ndoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.

Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.

Ndoa sio kwa ajili ya viumbe dhaifu vyenye kufuata matamanio ya miili yao na kuendekeza madhaifu yao na kuyapa majina eti nature mara sijui uanaume.

Ndoa ni Taasisi ya kipekee sana. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.

Sijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.

Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.

Kinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.

Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.

Experience za mahusiano yako na ya jamii yako sio experience zangu na haziwezi kuwa zangu.
 
Huyo Mitimingi ni noma sana. Picha yake ingewekwa humu tumuone huyo mwamba.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Huyo hapo hana umwamba wowote Zaidi Ya Kuwa Maryooo tu hiyo Billion mbili yenyewe kutamka hawezi sababu hela zenyewe huyu mwanamke alikuwa anaiba anaenda anampa tu Eti nyumba ya Billion mbili na million Mia nne hivi huyu anafurahisha mnoo ndio huyo hapo mchepuko wa Nancy
 

Attachments

  • RPReplay_Final1708949177.mov
    88.3 MB
Ila mimi nikishasemaga, kunipeleka kanisani kufunga ndoa itabidi itumike Caterpilla kunivuta niende 😂😂, mimi hata watoto wangu wakiume nawaambiaga hivyo hivyo, hakuna kusaini mkataba
Hakuna cha ndoa ndoano Hapana Ila kwa msiomjua Jamani huyu dada ni Malaya wa kupitiliza na Sisi wafanyakazi wake ndio tunamjua yani huyu mwanamke alikuwa na Bwana mganga wa Kienyeji Kwa Zaidi Ya miaka mitano na Ákampa mpaka Maduka kuendesha akamnunulia Magari yani huyu mganga ndio alikuwa na uwezo wa kufukuza mfanyakazi kama hamtaki na ilikuwa ikifika kipindi cha Ramadhani huyu mganga alikuwa anapelekewa mpaka futari yani kwenye moja ya ofisi za mme wake ambazo huyo Nancy Alimpa mganga Afanyie Biashara Bure na Ákampa mganga na Mtaji wa Mpesa na tigo Pesa na hadi Wakala bank zilikuwa zinasoma kampuni yeye akabadilisha Jina Ákampa mganga wake yani huyu a Nancy kamtesa sana huyu Baba Jamani ni vile tu wanaume huwa Hawaongei simu Ila Kateseka mno na haikuishia hapo mapenzi yakanoga mnooo yeye na mganga wake wa Kienyeji Wakapanga Wamuue baba wa watu Ila msamaria mwema akaenda Kusema Ila Mume wake hakumuuliza chochote Ila yeye alivyoshetani alivyojua vimesanuka ndio akaikimbia Nyumba na kwenda kuishi Adola guest na mganga wake huko Goba mbezi

kanisani, never..,
Halafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa Mfano
 
Ila mimi nikishasemaga, kunipeleka kanisani kufunga ndoa itabidi itumike Caterpilla kunivuta niende 😂😂, mimi hata watoto wangu wakiume nawaambiaga hivyo hivyo, hakuna kusaini mkataba
Hakuna cha ndoa ndoano Hapana Ila kwa msiomjua Jamani huyu dada ni Malaya wa kupitiliza na Sisi wafanyakazi wake ndio tunamjua yani huyu mwanamke alikuwa na Bwana mganga wa Kienyeji Kwa Zaidi Ya miaka mitano na Ákampa mpaka Maduka kuendesha akamnunulia Magari yani huyu mganga ndio alikuwa na uwezo wa kufukuza mfanyakazi kama hamtaki na ilikuwa ikifika kipindi cha Ramadhani huyu mganga alikuwa anapelekewa mpaka futari yani kwenye moja ya ofisi za mme wake ambazo huyo Nancy Alimpa mganga Afanyie Biashara Bure na Ákampa mganga na Mtaji wa Mpesa na tigo Pesa na hadi Wakala bank zilikuwa zinasoma kampuni yeye akabadilisha Jina Ákampa mganga wake yani huyu a Nancy kamtesa sana huyu Baba Jamani ni vile tu wanaume huwa Hawaongei simu Ila Kateseka mno na haikuishia hapo mapenzi yakanoga mnooo yeye na mganga wake wa Kienyeji Wakapanga Wamuue baba wa watu Ila msamaria mwema akaenda Kusema Ila Mume wake hakumuuliza chochote Ila yeye alivyoshetani alivyojua vimesanuka ndio akaikimbia Nyumba na kwenda kuishi Adola guest na mganga wake huko Goba mbezi

kanisani, never..,
Halafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa Mfano
 

Attachments

  • RPReplay_Final1708950928.mov
    6.9 MB
Halafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa Mfano
Huyo hapo ndio mchepuko wake Nancy alikuwa anachukuaa hela bank anampelekea Africana! Na ndio hizo hapo wewe mtu alikuwa anakaa ofisi Bure kapewa kila kitu Halafu anajitapa ujinga hapa
 
safi sana, kamuwahi kabla hajawahiwa, pumbav kabisa huyo Nansi, janamke jizi
Na huyo hapo ndio Miti mingi mwenyewe na hapo Yupo kwenye ofisi Ya Davis kwa nyuma sijui anafanya Nini kwa anayeifahamu Africana vizuri atajua kabisa hapa ni wapi sasa huu si ujinga huu mwanamke mshenzi sana Yule na ofisi yenyewe alikuwa anakaa Bure hata mkataba hana Yani alijiachia mnooo Duka la Africana akawa anasema la kwake jamaniii yani wewe Nancy unatia aibu mnoo uje hapa uombe msamaha hadharani bila hivyo utateseka sanaaaa
 

Attachments

  • RPReplay_Final1708951249.mov
    77.9 MB
Philosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.

Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?

Kama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.

Sijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.

Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?

Ndoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.

Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.

Ndoa sio kwa ajili ya viumbe dhaifu vyenye kufuata matamanio ya miili yao na kuendekeza madhaifu yao na kuyapa majina eti nature mara sijui uanaume.

Ndoa ni Taasisi ya kipekee sana. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.

Sijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.

Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.

Kinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.

Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.

Experience za mahusiano yako na ya jamii yako sio experience zangu na haziwezi kuwa zangu.
Usijisumbue huyo Nancy Achana naye huyo ni muhuni wa kutupwa Ashafanya unamalaya sana hadi ndani kwa mume wake akisafiri wadada wa kazi wanaambiwa Waandae chakula naye huyu, hata kama Mwanaume akiwa na mwanamke mwingine huyu Nancy ndio sababu alianza uhuni mbele yetu kitambo sana kuanzia kutembea na wafanyakazi wake na hata ……. Yani huyu dada anakera sana baada aombe msamaha ajishushe Eti yeye anakaza na huyo mchepuko wake na hii ni moja ya picha ya mchepuko wake aliyempa ofisi ya Mume wake Bure huko Africana kabla Mwanaume hajashtuka kama mke anasaliti na huyu mchepuko alikuwa anakaa Bure hapo halipi kodi yani mambo ha hovyo kabisa yani akae tu kimya akiendelea ntamuaibisha mno akaushe yani na huu upuuuzi Aliouleta hapa kwenye Jukwaa yani. Eti anadai Mali na wakati Davis aliwahi kuwalipia mkopo mwaka 1995 kabla hata hajamuo a eneo lenye heka 20 Lakini cha ajabu wameuza weee imebaki sehemu Ya makaburi tu sasa anadai Mali ipi?
 
Philosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.

Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?
Unajua bana
Kama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.
Uzinzi sio sawa

Uzinzi kutokua sawa sio eti ndio utakoma kwenye jamii yetu na hauondoki

Kama realist na sio mtu wa fantansy kama wewe,cha kujiuliza tunaishi nao vipi usiwe na madhara makubwa?

Sasa wewe unaleta propaganda,blah blah as if huo uzinzi ndio utakoma

Wewe mpiga makelele zinzi kama mazinzi mengine
Sijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.
Zinzi wewe

Kadanganye majinga huko
Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?
Mbona hujamuacha?

Kwanini upo hapa kudanganya wanawake wenzio eti wawaache waume zao?

Huoni unavyowaonesha unafiki wako?
Ndoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.

Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.
Blah blah

Mumeo kachiti,hujamuacha?

Why?
Sijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.

Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.
hahahaaaa

Yaani wewe dada,unafiki punguza

Eti mumeo wangu hajachiti

Like really?

Hebu kapigie mbuzi gitaa huko!
Kinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.

Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.
Yaani unavyojiongelesha kuhusu wewe na mumeo ni as if nyie ni masuper hero fulani hivi

Wehu nyie

Mumeo anakula pvssy kama wanaume wengine ushafuma msg mara za kutosha,na wewe occasionally unatiwa kama wanawake wengine,you cant tell me nothing

Women are full of sh1t kwenye sekta ya uongo kuhusu mahusiano,I cant fall for this innocent sh1t unasemea hapa

You are all full of it kama walivyo madada wengine

Na ndoa yenu imejaa purukushani kama za binadamu wengine wote

Yaani wewe dada ni mnafiki sana na muongo

Shostito Nancy kashikwa,panga limepita....

Cha msingi tumuonee huruma tu...ila sio tiketi ya wewe kujisafisha na kujiita malaika na mumeo,you are professional lier!
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Kama alikuwa mfanyakazi je?.........
 
Kwenye kampuni hapo kuna utata

Sio rahisi kama unavyotaka kusema

Share za mume kwenye kampuni inayofanya kazi mzee huwezi muingiza mwanamke kutoka tu gizani ukasema 50% ni yake

Shida ni kwamba kampuni nayo ni mtu

Na kampuni ipo live inafanya kazi,huwezi ivamia kampuni inayofanyakazi na kuivuruga eti useme 50% ni ya huyu maana yake unaiua hiyo kampuni

Sema kampuni kwa hiyari yao wafanye winding up mali ziuzwe wakawane

Au huyo mume auze share zake kwa hiyari yake ipatikane pesa hapo mwanamke labda ampe 50%

Hali inakua nzito zaidi maana ugomvi wa watu wawili unauhamishia kwa watu wengine (kampuni ni mtu)

Ukihamisshia huo ugomvi huko maana yake kampuni inakufa,hujasolve kitu

Kwa busara ya hakimu shares kama shares za kampuni inayofanya kazi hazigawanywi kama unavyotaka hapa

Na sio jukumu la hakimu kuua kampuni namna hii

Na sio jukumu la hakimu kuhamisha ugomvi kuupeleka kwenye kampuni inatakua hujasolve kitu hapo

Labda uniambia dividends zinazokuja kutokana na share hizo ndio wagawane hizo hela 50% 50%,sasa,dividends zinakuja lini kwenye kampuni binafsi?

Ukishaingiza makampuni kwenye migogoro ya ndoa binafsi unayaua na unaathiri waajiriwa mia kidogo

Sio rahisi kama unavyo onesha hapa eti kila kitu ni 50% 50% tu kirahisi namna hii
Mimi nazungumzia hisa za mume. Hizo ni sehemu ya assets zake. Ni kama nyumba ambazo anamiliki. Watalaka wanapaswa kukaa pamoja na kukubaliana namna haki ya mtalaka kwenye hizo hisa itakuwa realised. Anaweza kumpa sehemu. Anaweza kumlipa value ya shares ambazo watakubaliana kuwa anastahili. Hilo la dividends litatokana na hisa ambazo kila mmoja atakuwa anamiliki baada ya talaka. Hivyo kwa stocks ambazo anaweza kuwa anamiliki katika makampuni mengine.

Amandla...
 
Back
Top Bottom