betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,163
- 722
Kesi tena!!!Haki watu hamna huruma.Mbona mpaka hapo kesha koma jamani.Katika miaka yote zaidi ya 20 Mwananmke amekuwa akiiba mali za mumewe na mahakama imebaini hilo..Baada ya hukumu hii Mosha atafute wanasheria nguli wamfungulie huyo dada kesi ya wizi maa.. maaa eeeee
HahahaaaaKama maswali siku hizi ni declarations, then I am guilty as charged.
Butthole ni tako? Wapi huko? Kabla ya ku accuse, jitathmini kwanza.
Mimi na wewe ni nani mpiga ramli juu ya mwingine?
The only thing I’m doing is reminding you to stop projecting yourself on me.
Stop giving me names and relations that I have no idea are bound on me.
Stop spilling your emotions on me, be mature enough to handle your own.
Stop catching feelings from my statements due to your own perceptions then blaming me for it.
I ain’t here to cuddle you, just here to express my perceptions on all matters equally.
Stop taking things personal and pointing fingers that point back right at you still.
Nionyeshe wapi nimeji personalize na wahusika wa huu mkasa?
Kukwambia kwamba siwezi kuiruhusi jamii iamue maisha yangu ni kuwa in denial? Gladly kabisa.
Unaproject tena, nimejifanya ama wewe ndio muono/perception yako hiyo?
Kosa langu Mimi ni kuwa na msimamo wangu as an individual? Sio lazima tufanane ujue.
Nilisema mwanzo kule kwamba sikushangai. Misery loves company.
Kwamba “unaniombea yasinikute ila tayari ushatoa jamvi kibarazani unasubiri Mimi nije huku kulia juu ya cheating kwenye mahusiano? Kazi unayo.
“Self importance nazodisplay”, …now how did I do this?? Jamani!
Mars siendi, happily married 14 years now Alhamdulillah, blessed with 4 magnificent children. Una jingine?
Jamii lazima “ikufire live” , hapa unamaana jamii lazima ikufukuze kazi ama lazima ikufukue tope? We ni mchafu ujue?!
Mimi ninajitapa hapa kwamba ni God? Kama kuna Dawa unatumia za kichwa jitahidi ufuate dosage, please.
Tena kuhusu society na kufire? Una nini humo kichwani mwako?
Ashukuriwe Muumba wa Mbingu na Ardhi kwa maana society yangu sio yako na baraka zetu sio zenu wala laana zenu sio zetu japo dunia ni hii hii moja.
You call it fantasy I call it reality.
I am truly sorry for you and what happened to you. A product of a broken and messed up society with no Hope what so ever even the Will strong enough to face the real and rightful path of their truth.
The society that is responsible for bringing you up has so thoroughly broken you, that you are here forcing me to live my life through your perceptions.
Sorry not Sorry Bro.
I meant, ukimtendea mtu uovu, ni suala la muda tu kwa maana wewe uliyetenda utapata malipo yako na utakuja kujuta.Hii sio obvious. Kuna watu ni wema kabisa na wametendwq vilevile
Unawakumbusha wewe kama nani?
Malaika?
Shetani kama mashetani wengine tulioko hapa!
Unajua kwanini nime-declare wewe ni shetani sawa na sisi?
Simple...umedai ukichitiwa na mume na wewe unachiti....malaika hachiti hata akichitiwa
Infact naweza enda more further,ulishachiti tu kama malaya wengine tulioko hapa
Leo unajifanya malaika humu sababu tu umekasirika shosti wako kuachika,thats it!
So sad alichiti akashikwa,i'm really sorry for here aisee
Chiti my dear ila ushishikwe hamna rangi utaacha ona,kama Nancy
Kwanini hamjapitisha sasa mpaka sasa?
Unabisha nini sasa?
Unajua maana ya MAISHA?
Ukipata definition yake ndio utajua nipo sahihi
MAISHA ni struggle ya mwanadamu against nature ku-fullfill his needs....Na struggle against nature maana yake ni ku-alter nature from its original from to another
Unabisha nini sasa wewe Feminist wangu?
Hiyo ndoa ya mwanamke mwema na mwanaume mwema duniani haipo
Wee endelea kujidanganya
Endelea kujifanya daktari ku-dignose online characters you even dont know
Unatetea mwanamke tu,hujatetea wote...ndio maana ya Ufeminist!
Sijakosea hapo
Wewe unaishije?
Maana unajitoa duniani unasimama dunia ingine unanyooshea waliopo duniani vidole kama wewe uhusiki vile
Wewe unatombana kama watu wengine,hapa unaonesha unafiki tu
Wewe sio malaika,upo kwenye ndoa humo ulishachiti acha kunichekecha hapa
Shosti yako kashikwa limemkuta
Bado wewe.....
Kwa mwanaume hata akikushika na SMS umeenda na maji sio lazima akute mboo ndani ya **** yako..
Hapo ndio utajua there is a very big difference between ME and KE
Huwezi kua worked out hivi kama humjui huyo dada wala hakuhusu
Probably shost au wewe ndio mwenyewe
Still nafanya speculations
Mimi ni realist,shost yako kashikwa,akubali matokeo,amove on.....
na wewe siku ikikutokea hata uwe philospher namna gani utoe na kitabu na documentary na midahalo etc umeenda na maji
Kazi kweli. Kwani ulizaliwa naye, ndugu tu wanatengana sembuse mme au mke
Yaani wewe na akili yako unataka niseme kabisa butthole=mk**ndu mbele ya jukwaa namna hii?
Kwahiyo hapo unajiona unajua sana English-Swahili dictionary?
Nimetumia neno less graphic kama tako ili kupooza makali ya neno hadharani
Hivyo relax,nilipata A za English kama wewe,plus nipo huku America viinglish havinitesi sana kama unavyodhani
Unatakiwa kuelewa Mosha haweza kukubali kwa sababu moja ,si unakumbuka yale ya Mengi walishindwa kugawana makampuni kwa sababu ni sawa na kuua kampuni zote.
Wakakubaliana kwa vile ni watalaka mke aendelee kupata faidi kulingana na asilimia fulani ndio maana mke wa Mengi alikuwa analipwa mpaka siku anafariki...Mosha hawezi kukubali huu ujinga hapo lazima atumie pesa.
Hahahaaaa
Dada naona umeamua kwenda full ballistic na philosophical jargons kuonesha kuna cha maana unasema
Unfortunately unaishi kwenye fantansies na kama sio hivyo unatufanyia maigizo tu hapa
Upo kwenye ndoa 14years,swali fupi tu,ulishachiti...jibu ni yes..ila wanawake mlivyo wanafiki utasema HAPANA.
Ukitaka kujua mumeo ni another human being siku chiti au prentend kama umechiti aone WhatsApp message uone kama talaka hutapewa hapo hapo
Swali jingine,mumeo alishachiti na ulishamshika mara kadhaa,mbona hujaondoka?
Subutuu
Huna ujasiri wowote unajaribu kutudanganyia hapa bwana....
huoni hayo ni majina hao baba zao walizaliwa Dar na wao wapo Dar na hata Moshi hawakujua.Jiulize wewe...
Mhe. TEMBA wa TMK Wanaume Family ni Mchaga twambie amefanya nini kumzidi Mmanyema Mond.
We jamaa wewe! Ebwana zile coin zetu ulizokuwa unasubiri sifuri zipungue tujenge ghorofa vepee??🤣🤣
Huyo hapo hana umwamba wowote Zaidi Ya Kuwa Maryooo tu hiyo Billion mbili yenyewe kutamka hawezi sababu hela zenyewe huyu mwanamke alikuwa anaiba anaenda anampa tu Eti nyumba ya Billion mbili na million Mia nne hivi huyu anafurahisha mnoo ndio huyo hapo mchepuko wa NancyHuyo Mitimingi ni noma sana. Picha yake ingewekwa humu tumuone huyo mwamba.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Halafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa MfanoIla mimi nikishasemaga, kunipeleka kanisani kufunga ndoa itabidi itumike Caterpilla kunivuta niende 😂😂, mimi hata watoto wangu wakiume nawaambiaga hivyo hivyo, hakuna kusaini mkataba
Hakuna cha ndoa ndoano Hapana Ila kwa msiomjua Jamani huyu dada ni Malaya wa kupitiliza na Sisi wafanyakazi wake ndio tunamjua yani huyu mwanamke alikuwa na Bwana mganga wa Kienyeji Kwa Zaidi Ya miaka mitano na Ákampa mpaka Maduka kuendesha akamnunulia Magari yani huyu mganga ndio alikuwa na uwezo wa kufukuza mfanyakazi kama hamtaki na ilikuwa ikifika kipindi cha Ramadhani huyu mganga alikuwa anapelekewa mpaka futari yani kwenye moja ya ofisi za mme wake ambazo huyo Nancy Alimpa mganga Afanyie Biashara Bure na Ákampa mganga na Mtaji wa Mpesa na tigo Pesa na hadi Wakala bank zilikuwa zinasoma kampuni yeye akabadilisha Jina Ákampa mganga wake yani huyu a Nancy kamtesa sana huyu Baba Jamani ni vile tu wanaume huwa Hawaongei simu Ila Kateseka mno na haikuishia hapo mapenzi yakanoga mnooo yeye na mganga wake wa Kienyeji Wakapanga Wamuue baba wa watu Ila msamaria mwema akaenda Kusema Ila Mume wake hakumuuliza chochote Ila yeye alivyoshetani alivyojua vimesanuka ndio akaikimbia Nyumba na kwenda kuishi Adola guest na mganga wake huko Goba mbezi
kanisani, never..,
Halafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa MfanoIla mimi nikishasemaga, kunipeleka kanisani kufunga ndoa itabidi itumike Caterpilla kunivuta niende 😂😂, mimi hata watoto wangu wakiume nawaambiaga hivyo hivyo, hakuna kusaini mkataba
Hakuna cha ndoa ndoano Hapana Ila kwa msiomjua Jamani huyu dada ni Malaya wa kupitiliza na Sisi wafanyakazi wake ndio tunamjua yani huyu mwanamke alikuwa na Bwana mganga wa Kienyeji Kwa Zaidi Ya miaka mitano na Ákampa mpaka Maduka kuendesha akamnunulia Magari yani huyu mganga ndio alikuwa na uwezo wa kufukuza mfanyakazi kama hamtaki na ilikuwa ikifika kipindi cha Ramadhani huyu mganga alikuwa anapelekewa mpaka futari yani kwenye moja ya ofisi za mme wake ambazo huyo Nancy Alimpa mganga Afanyie Biashara Bure na Ákampa mganga na Mtaji wa Mpesa na tigo Pesa na hadi Wakala bank zilikuwa zinasoma kampuni yeye akabadilisha Jina Ákampa mganga wake yani huyu a Nancy kamtesa sana huyu Baba Jamani ni vile tu wanaume huwa Hawaongei simu Ila Kateseka mno na haikuishia hapo mapenzi yakanoga mnooo yeye na mganga wake wa Kienyeji Wakapanga Wamuue baba wa watu Ila msamaria mwema akaenda Kusema Ila Mume wake hakumuuliza chochote Ila yeye alivyoshetani alivyojua vimesanuka ndio akaikimbia Nyumba na kwenda kuishi Adola guest na mganga wake huko Goba mbezi
kanisani, never..,
Huyo hapo ndio mchepuko wake Nancy alikuwa anachukuaa hela bank anampelekea Africana! Na ndio hizo hapo wewe mtu alikuwa anakaa ofisi Bure kapewa kila kitu Halafu anajitapa ujinga hapaHalafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa Mfano
Na huyo hapo ndio Miti mingi mwenyewe na hapo Yupo kwenye ofisi Ya Davis kwa nyuma sijui anafanya Nini kwa anayeifahamu Africana vizuri atajua kabisa hapa ni wapi sasa huu si ujinga huu mwanamke mshenzi sana Yule na ofisi yenyewe alikuwa anakaa Bure hata mkataba hana Yani alijiachia mnooo Duka la Africana akawa anasema la kwake jamaniii yani wewe Nancy unatia aibu mnoo uje hapa uombe msamaha hadharani bila hivyo utateseka sanaaaasafi sana, kamuwahi kabla hajawahiwa, pumbav kabisa huyo Nansi, janamke jizi
Usijisumbue huyo Nancy Achana naye huyo ni muhuni wa kutupwa Ashafanya unamalaya sana hadi ndani kwa mume wake akisafiri wadada wa kazi wanaambiwa Waandae chakula naye huyu, hata kama Mwanaume akiwa na mwanamke mwingine huyu Nancy ndio sababu alianza uhuni mbele yetu kitambo sana kuanzia kutembea na wafanyakazi wake na hata ……. Yani huyu dada anakera sana baada aombe msamaha ajishushe Eti yeye anakaza na huyo mchepuko wake na hii ni moja ya picha ya mchepuko wake aliyempa ofisi ya Mume wake Bure huko Africana kabla Mwanaume hajashtuka kama mke anasaliti na huyu mchepuko alikuwa anakaa Bure hapo halipi kodi yani mambo ha hovyo kabisa yani akae tu kimya akiendelea ntamuaibisha mno akaushe yani na huu upuuuzi Aliouleta hapa kwenye Jukwaa yani. Eti anadai Mali na wakati Davis aliwahi kuwalipia mkopo mwaka 1995 kabla hata hajamuo a eneo lenye heka 20 Lakini cha ajabu wameuza weee imebaki sehemu Ya makaburi tu sasa anadai Mali ipi?Philosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.
Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?
Kama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.
Sijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.
Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?
Ndoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.
Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.
Ndoa sio kwa ajili ya viumbe dhaifu vyenye kufuata matamanio ya miili yao na kuendekeza madhaifu yao na kuyapa majina eti nature mara sijui uanaume.
Ndoa ni Taasisi ya kipekee sana. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Sijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.
Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.
Kinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.
Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.
Experience za mahusiano yako na ya jamii yako sio experience zangu na haziwezi kuwa zangu.
Unajua banaPhilosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.
Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?
Uzinzi sio sawaKama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.
Zinzi weweSijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.
Mbona hujamuacha?Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?
Blah blahNdoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.
Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.
hahahaaaaSijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.
Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.
Yaani unavyojiongelesha kuhusu wewe na mumeo ni as if nyie ni masuper hero fulani hiviKinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.
Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.
Kama alikuwa mfanyakazi je?.........Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Mimi nazungumzia hisa za mume. Hizo ni sehemu ya assets zake. Ni kama nyumba ambazo anamiliki. Watalaka wanapaswa kukaa pamoja na kukubaliana namna haki ya mtalaka kwenye hizo hisa itakuwa realised. Anaweza kumpa sehemu. Anaweza kumlipa value ya shares ambazo watakubaliana kuwa anastahili. Hilo la dividends litatokana na hisa ambazo kila mmoja atakuwa anamiliki baada ya talaka. Hivyo kwa stocks ambazo anaweza kuwa anamiliki katika makampuni mengine.Kwenye kampuni hapo kuna utata
Sio rahisi kama unavyotaka kusema
Share za mume kwenye kampuni inayofanya kazi mzee huwezi muingiza mwanamke kutoka tu gizani ukasema 50% ni yake
Shida ni kwamba kampuni nayo ni mtu
Na kampuni ipo live inafanya kazi,huwezi ivamia kampuni inayofanyakazi na kuivuruga eti useme 50% ni ya huyu maana yake unaiua hiyo kampuni
Sema kampuni kwa hiyari yao wafanye winding up mali ziuzwe wakawane
Au huyo mume auze share zake kwa hiyari yake ipatikane pesa hapo mwanamke labda ampe 50%
Hali inakua nzito zaidi maana ugomvi wa watu wawili unauhamishia kwa watu wengine (kampuni ni mtu)
Ukihamisshia huo ugomvi huko maana yake kampuni inakufa,hujasolve kitu
Kwa busara ya hakimu shares kama shares za kampuni inayofanya kazi hazigawanywi kama unavyotaka hapa
Na sio jukumu la hakimu kuua kampuni namna hii
Na sio jukumu la hakimu kuhamisha ugomvi kuupeleka kwenye kampuni inatakua hujasolve kitu hapo
Labda uniambia dividends zinazokuja kutokana na share hizo ndio wagawane hizo hela 50% 50%,sasa,dividends zinakuja lini kwenye kampuni binafsi?
Ukishaingiza makampuni kwenye migogoro ya ndoa binafsi unayaua na unaathiri waajiriwa mia kidogo
Sio rahisi kama unavyo onesha hapa eti kila kitu ni 50% 50% tu kirahisi namna hii