DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Na Kweli hiyu mwanamme nae akiamua kuwafinyia majaji rufani fungu ndefu mosha lazma adondoshe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
The institution of marriage is going to die in the next 20 years.haya ni madhara ya ubepari na ubinafsi.wanawake wameamka na wanaume wamekuwa macho.

teknolojia ikifika mahali ambapo mwanaume/mwanamke unaweza kununua watoto wa kwako mwenyewe bila mwenza tena kwa bei stahimilivu ndoa zitakufa rasmi duniani.
Mwanaume anataka ndoa ili kupata watoto wa kurithi na kuendeleza mali zake, mke wa kumsaidia kusimamia watoto, familia na mwenza na msiri wa maisha. Wanawake wanataka sehemu ya matunzo na kulindwa, watoto na majukumu ya kifamilia ili wawe serious na maisha.

Balaa ni hapo sasa mzee.
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Umepatikana. Umekutana na wahuni. Wahuni si watu wazuri. Tafuta mali zako. Kama uliajiriwa kama Mhasibu dai haki zako za kazi. Mafao
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Ila ulikuwaga na nyodo enzi za TMT
 
Kwahiyo ukijua kuhusu biashara ya mtu then automatically unakuwa entitled kupewa mgao wa hiyo biashara?

Hizi ni akili au matope? Basi na wafanyakazi wanaojua siri za biashara nao wapewe mgao wa kampuni, si wanajua siri za biashara?
Ulishawahi kuona mfanyakazi anakopa million 500 kwa dhamana ya kampuni ambayo yeye kama mfanyakazi?

Huyo mwanamke kafanya utapeli ila bado ni mke halali ,pia ana uhalali kweny mali hizo.


Hayo makelele mpaka kuachan ni juzi hapa walishaishi miaka 20 ya amani ,msiangalie makosa ...

Mke anahusika moja kwa kweny mali zilizochumwq baada ya ndoa ,kuna hatua kubwa Mosha kapiga kubishara akiwa ndani ya ndoa,mke moja kwa moja anahusika kweny mafanikio hayo hata kama angekuwa mama wa nyumbani.
 
Nina uhakika hata wewe hujasoma chochote hapo
Jamaa nimesoma History yake hapa inaonyesha mwamba alikomaa mwenyewe mwanzo wa safari na hata hiyo kampuni wakati anaiunda alikuwa mwenyewe. Mkewe atakuwa alimshirikisha kama mwenza tu ila sio kwamba alihitaji awepo kwenye kampuni ili mambo yaende.

Jambo lingine la kushauri, huyu dada ni bora angekausha tu atulie kwenye Ndoa kistaarabu. Atakuwa alianzisha mtiti ili apate mgao wa mali huku tayari ameshafaulisha za kutosha.

Angetulia awe tu mke mkubwa, kuna umri ukifika mwanaume anakuwa anataka damu changa ambayo mkewe hawezi moto wake.
 
Ni ngumu sana mwanaume kumuacha mwanamke wake wa miaka 28 ukiona amefanya hayo maamuzi jua kuna kitu amekiona ambacho kwake ni hatari sana na akiendelea kukaa ndani ya huo uhusiano atapoteza zaidi.

Kuhusu kuishi miaka28 na mwanamke haikupi haki za kupata mgao kwasababu mwanaume ni tajiri na wewe umekuwapo akiwa anatajirika.

Shida wanawake eneo hili mnajificha kwenye kivuli cha mke wa Ndoa ila unaweza kuta kwa mfano,kipindi chote hiki mwanaume amekuwa hali nyumbani sababu mkewe hamuandalii chakula bali house girl.

Au hawakuwa na mahusiano ya kimapenzi mazuri yaani ndani hakuna amani na mwanaume amekuwa anamkwepa tu mwanamke ili kuavoid matatizo.

Kitu kingine kama mwanamke alishiriki kwenye utafutaji na alikuwa muajiriwa na alikuwa na mshahara na stahiki za mfanyakazi then anastahili kulipwa kama ni mafao au malimbikizo ya mshahara kama yapo nje ya hapo hawezi tumia neno tumechuma wote iwe kigezo cha kudai mgao wa lazima, so hadi wafanyakazi nao wote basi wakitaka kuondoka wadai mgao wa kampuni na mali kutoka kwa bosi wao.

Hizi sheria za Ndoa inatakiwa kufanyiwa reviews upya ili ziwe fair maana zinawapa wanawake wa sasa maslahi yasiyoendana na hulka na tabia zao. Sheria zinapotafsiriwa zinamtafsiri mwanamke au mke kwa taswira ya wanawake wa miaka ya nyuma ambao walikuwa na ustaarabu wao na walijiheshimu na hawakuwa na makuu na waliitumikia Ndoa kama taasisi na walitaka kudumu nayo.

Hawa wanawake wa kisasa ndoa haina umuhimu na hawaiheshimu wala kuitumikia kama taasisi bali kwao ndoa ni kijiwe cha kujichumia mali za bure na kujipatia matumizi yao ya kila siku. Hawa wanatakiwa kubadilishiwa utaratibu.
Uko bias sana mkuu kwa kifupi umeandika pumba kwa kuangalia jinsia yako hebu rudia tena kuandika

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Shida mwanamke ni mwizi

Na cha ajabu hakukataa huo wizi

Yaani dollar karibu milioni 7 in total .... amechukua kwa signature za wizi

Huyu dada tamaa zilimzidi sana,mpaka kuiba pesa nyingi hivyo?

What a bad woman

Kiongoli ni watu wa wapi aisee?I know sio Mchagga kabisa,Mosha kiazi sana aisee,badala aoe kwao kuna wasichana wazuri na disciplined kaenda kuoa jambazi,yaani unafoji documaa unaiba madola mengi hivyo?

Huyo kama alivyosema haoni hatari kumuwekea sumu jamaa
Angekuwa na akili angeweka account pembeni awe ana deposit hela kidogo kidogo kila mwezi.

Sijui kwann wanawake wakiona hela wanachanganyikiwa wanakuwa wendawazimu. Tazama hata Kylin wa mengi, ameona hela nyingi baada atulize akili anajikuta yeye Kim Kardashian anataka kuishi maisha ya kujiachia anasahau background yake.
 
Back
Top Bottom