Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Ndio maana nawaambia , wanawake waache hizi tabiabza kuwa wamama wa nyumbani maana ni vigumu kuthminisha au kuonyesha mchango wako halisi mahakamani.
Tafuta kazi au biashara ya kukupatia kipato chako na ikiwezekana uwe na asserts zako.
Tafuta kazi au biashara ya kukupatia kipato chako na ikiwezekana uwe na asserts zako.