Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Huyo Jesca Kishoa sio mmoja wa wabunge waliyofoji viti maalum CHADEMA? Kafulila aliingia cha kike hapo. Hiyo sio wife material.
 
Inaonekana Kafulila ana matatizo makubwa, ukitazama historia yake ya kuhamahama vyama kutokana na kukosa uvumilivu na utovu wa nidhamu, na sasa ndoa kuvunjika ni ushahidi kuwa ana matatizo makubwa.
Issue ya ndoa ni kitu kingine kabisa huwezi kumlaumu mtu, tena soma kwa makini muomba maombi ni Jessica na mjibu maombi ni Kafulila ambaye hakuwa na pingamizi kwa muomba maombi ya talaka.

Kafulila amefanya kitu wanaume wengi wanakosa uthubutu wa kufanya na kuishia kufa kwa stroke.
 
Watu bwana, wanawake fresh na ma singo maza yako kibao lakini mtu anamchukua mke wa tumbili na kumshawishi kuvunja ndoa wakati ndoa yake yeye iko intact.
Mimi nilitaka mchepuko nachukua singo maza bila ku disturb ndoa za watu.
 
Chief FB kigogo zipo nyingi sijui ipi ni ipi
 
Wapo wanawake wema tu na wanadumu kwenye ndoa zao lakini jambo hilo linategemea sana na malezi aliyokulia

Wanawake wengi wakishakuwa na kipato cha uwakika na wanaweza wakajisimamia wenyewe ktk maisha, basi kama yupo kwenye ndoa basi hiyo ndoa kudumu ni kudra za m/mungu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…