Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ukiwa CCM unaweza kupata Teuzi kwa niaba ya mkeo!Wanaccm wenzako hao Jo
Mke wapi unaongeza mzee?Huwa tunawaambia wana kitaani,usioe mwanamke mwenye "Exposure" Elimu, Umaarufu, kazi, cheo na pesa. Unaona sasa huyu .
kwanni tumbiliInamaana Tumbili alikuwa hajawahi kuoa kabla,mbona ndoa changa sana?
We ni mgeni kwenye siasa za Tanzania?kwanni tumbili
Mnapenda kusingizia wanawake sana, kwani ndoa ni ya mwanamke peke yake? Yaani wanaume hupenda mke ndiyo ashikirie ndoa wakati yeye hatimizi wajibu wake, ifikie wanaume nao wapate mafunzo jinsi ya kuishi na mke, wengi mnatumia ubabe tu.Ndoa haifai ni mateso na tabu,wanawake wamekuwa hawbiliki ni stress tupu..zalisha tunza watoto wako...shetani ameamua kujidhihirisha yakwamba anajinsia ya kike.
Ulitaka ateseke tu, ndiyo maana wengi mnawabana wake zenu wasiwe na chochote ili muwanyanyase!Huwa tunawaambia wana kitaani,usioe mwanamke mwenye "Exposure" Elimu, Umaarufu, kazi, cheo na pesa. Unaona sasa huyu manzi kapeleka shauri na kawaita mawakili wazuri kawalipa wambane mwamba [emoji16]. Yani manzi anawaita mawakili anawapa assignment ya kuvunja ndoa na anawalipa kiasi watakacho, pumbavu naoa la ST7.
Ndoa haifai ni mateso na tabu,wanawake wamekuwa hawbiliki ni stress tupu..zalisha tunza watoto wako...shetani ameamua kujidhihirisha yakwamba anajinsia ya kike.
mi sio mtanzaniaWe ni mgeni kwenye siasa za Tanzania?