Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Sawa,Tumbili ni jina la utani la huyo Kafulila,na alipachikwa huko bungeni alipokuwa mbunge,mi sio mtanzania
wewe raia wa nchi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,Tumbili ni jina la utani la huyo Kafulila,na alipachikwa huko bungeni alipokuwa mbunge,mi sio mtanzania
Huwa tunawaambia wana kitaani,usioe mwanamke mwenye "Exposure" Elimu, Umaarufu, kazi, cheo na pesa. Unaona sasa huyu manzi kapeleka shauri na kawaita mawakili wazuri kawalipa wambane mwamba [emoji16]. Yani manzi anawaita mawakili anawapa assignment ya kuvunja ndoa na anawalipa kiasi watakacho, pumbavu naoa la ST7.
Mambo ya prenup bongo hayafanyi kaziMbona halijazungumziwa ishu za kugawana mali au bongo pia sheria ya "Prenuptial agreement" kama U.S.
Wenzetu wanasaini Prenup yaani mkitalikiana hamna mgao[emoji16]
Bado kuna kesi ya ndoa ya tumaini makene [emoji1] na mke wakeUkiwa CCM unaweza kupata Teuzi kwa niaba ya mkeo!
Wanawake pasta zaidi niWanawake wakiingia kwenye siasa ni kuwa nao makini sana, ngazi wanazopanda hadi kufika juu zina maswali mengi sana, rushwa za aina zote zinahusika, usaliti na dharau ya kiburi cha fedha kinawafanya wanaume washindwe kuishi nao. Yule wa Segerea (Bonna kama sikosei) ni mfano mwingine.
🤣🤣🤣Tunawatakia kila la heri katika Mahusiano yao mengine mapya yatayokuja huko mbele
Itakuwa wameshindwana kwenye siasa au pesa
Asante sana,barikiwaSawa,Tumbili ni jina la utani la huyo Kafulila,na alipachikwa huko bungeni alipokuwa mbunge,
wewe raia wa nchi gani?
Dawa ni kumuiga Diamond tu, jamaa linaenjoy maisha tu..Ndoa haifai ni mateso na tabu,wanawake wamekuwa hawbiliki ni stress tupu..zalisha tunza watoto wako...shetani ameamua kujidhihirisha yakwamba anajinsia ya kike.
Duh!...ndoa ina Siri kubwa...Ndoa ya Mwanasiasa, David Kafulila na Jesca Kishoa imevunjwa katika Mahakama ya Wilaya Temeke kupitia Kituo Jumuishi cha Huduma za Kimahakama, Mirathi na Ndoa “Watoto wataishi chini ya uangalizi wa Mama yao,Kafulila atakuwa anawaona mwisho wa wiki na likizo”
#MillardAyoMAHAKAMANI https://t.co/AcP7XR4nPa
Kweli ila usifirwe hadharani kama yule mwislamu wa FFU ZanzibarKataa ndoa ni utapeli