HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ila usiende tega bunyero kama afandeKATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KIJANA KATAA NDOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila usiende tega bunyero kama afandeKATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KIJANA KATAA NDOA
Ehh sio saba tena? Sheria ndo imebadilika hv ehh ila afadhal wakaage hukohuko kwa mama zaoMpaka watimize miaka 18.
kuwa kama Diamond, au Rick RossIla usiende tega bunyero kama afande
Dah hata waasisi nao walipitia dhoruba, duh.Kilatu ameiomba Mahakama itoe hukumu kwa kuzingatia shauri la Joseph Warioba Butiku vs Perucy Muganda Butiku (1987) TLR 1,” alieleza nakala ya hukumu iliyotolewa na Hakimu Mwandamizi Swai.S.O.
Wote wale ni wazinzi haswa na wasalitiKituo Jumuishi Huduma za Kimahakama, Mirathi na Ndoa, Temeke kimeivunja rasmi ndoa kati ya wanasiasa David Kafulila na Jesca Kishoa kupitia shauri la ndoa No 217 ya 2022.
Ndoa hiyo iliyofungwa Aprili 22, 2014 ilivunjwa rasmi Februari 20, 2023 baada ya wawili hao kutengana tangu mwaka 2019 kabla Mahakama ione ndoa hiyo imevunjika kiasi cha kutorekebishika.
Wakati hati ya madai ikionyesha kiini cha mgogoro huo ni ugomvi na utengano, Mahakama imevunja ndoa baina ya wawili hao huku ikitoa amri kwa mama kubaki na watoto na kila mzazi kuwa na wajibu wa kuchangia gharama za matunzo kwa asilimia 50.
Chanzo: Mwananchi
Alikuwa anatembea na NdugaiDah pole Sana kwake ..
Hivi huyu Jesca nilisoma sehemu alikuwa mwenye scandal hivi sikumbuki inahusu nini
Ohho nakumbuka now..Alikuwa anatembea na Ndugai
Wazinzi hawawezi toboa hata siku 1Wote wale ni wazinzi haswa na wasaliti
Ukichunguza vizuri utaikuta CHADEMA imo. Mbowe kumbuka majuzi alivyomtukana hazarani Waziri Silinde eti msaliti eti kwa vile alimnunulia chupi na suti akiwa Chuo Kikuu. Wote hawa: kina Kishoa, Zitto, Kafulila, Joyce Bulaya, Halima Mdee walikuwa UDSM mbowe akaja na rundown la hela kuwarubuni waitukane TANU, ndo maana wengi wakaamua better with hindsight kumbe ni tapeli wewe ngoja tusubiri. Ni lazima Tume ya Maadili ichunguze utapeli huu la sivyo tutakuwa Nji ya Watumwa kwa jeuri ya pesa ya CHADEMA.Kituo Jumuishi Huduma za Kimahakama, Mirathi na Ndoa, Temeke kimeivunja rasmi ndoa kati ya wanasiasa David Kafulila na Jesca Kishoa kupitia shauri la ndoa No 217 ya 2022.
Ndoa hiyo iliyofungwa Aprili 22, 2014 ilivunjwa rasmi Februari 20, 2023 baada ya wawili hao kutengana tangu mwaka 2019 kabla Mahakama ione ndoa hiyo imevunjika kiasi cha kutorekebishika.
Wakati hati ya madai ikionyesha kiini cha mgogoro huo ni ugomvi na utengano, Mahakama imevunja ndoa baina ya wawili hao huku ikitoa amri kwa mama kubaki na watoto na kila mzazi kuwa na wajibu wa kuchangia gharama za matunzo kwa asilimia 50.
Chanzo: Mwananchi
Karibu woteOhho nakumbuka now..
Kwani Ndungai katembea na huyu Tu??kutoka lile kundi?
KabisaWazinzi hawawezi toboa hata siku 1
Eeeeh ila ujue unatengeneza bomb, hao watoto wanaolelewa na mama yao kuna uwezekana ukatengeneza kizazi cha mashoga na wasagaji.kuwa kama Diamond, au Rick Ross
gonga sepa, HAKUNA NDOA