Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Ndoa ni fumbo lenye codes ngumu sana. Wale ambao tumeoa kuanzia past five years kuendelea na ndoa zetu hazina mushkeli wala figisu figisu kubwa kubwa tugonge like hapa za kiumeni.[emoji16]
kabla ya kungongeana likes za kutosha...Je ! mimama mkwe yenu haiingilii ndoa zenu au kuyashika masikio hayo MACHIZI mnayoishi nayo !

Kama hamjafika miaka kumi ya ndoa zenu,gongeni like za kimwisho mwisho.
 
Mpaka watimize miaka 18.
But why? Miaka 18 watoto is watamsahau Baba na Mama atapata advantage zaidi; na wengine huwajengea chuki watoto kiasi wanakua hawana mpango na baba. Mimi kuna wakati nadhani Mahakama ili review hizi sheria maana kama inapendelea upande mmoja, na akina Mama Wengi hu take advantage ya hizi sheria.
 
Hahahah wanafikiria malezi ni kulipa ada na kulipia king'amuzi cha dstv ili mtoto aangalie makatuni tu.
 
Mashoga wamekuwa na uhuru sana awamu hii. Lazma ukweli usemwe na uhuru wa kishoga ndio uhuru wa kuharibu taifa. Mtu kama anaona kusukuma sewage ya mwanaume mwenzie ni jambo la kufurahia basi alaaniwe vikali.
 
Siku huyo mwanamke akikosa ubunge ndio atajua hajui. Atakua na pesa sawa lkn mwanaume gani anapenda mwanamke mwenye pesa.
Raha ya penzi mwanaume ahonge.
Labda achukue bodaboda.
 
Kwa sasa Jimbo liko wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…