Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Toa kodi
 
Wanataka mwanamke anyanyasike tu bila kujitambua acha 2mbili akaoe 2mbili wenzie huko
 
Ile sheria ya maadili ya watumishi wa umma haihusu mtumishi kuwa na maadili ya ndoa? Au ndoa ni suala binafsi? Sasa kama ikitokea la kutokea kama hivi sasa wimbi la ushoga limepamba moto, mwanasiasa wa aina hii atapata wapi ujasiri wa kuongelea mmomonyoko wa maadili na malezi ya watoto wakati yeye mwenyewe si mfano mzuri? Safari hii ishu ya ushoga itawatoa kamasi wanasiasa, bora suala hili lisifikishwe bungeni kujadiliwa kuna wabunge hawatakuwa na sifa ya kuchangia hoja watakaa kimya. Labda wajenge hoja kuvutia upande wao
 
Inaonekana baba yako nae alilitafuta lichizi lake akakupata wewe. Usisahau kumuomba baba yako usaidizi kwenye kulichagua lichizi lako.
Hapana baba yangu alilitafuta lichizi limaza lako akalitoa marinda ukazaliwa wewe 😂, malaya unayezeeka bila ndoa kwasabab huna mvuto punguza kiherehere.. karibu tena nakungoja
 
Hivi unazani siku zote hizi yeye Jessica hajapata?
 
Hiyo hukumu haimkatazi baba kutokuwa na watoto wake atakuwa nao vipindi vya weekend na likizo za masomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…