Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Duh bora asee, jana nilifadhaika sana kusikia, mtoa mada alinichanganya sana.
 
Tulidanganywa kuwa anafanya service ya week mbili kumbe anakusanya virago vyake aondoke uwekezaji bongo umemshinda.

=====

Mahakama Kuu imezuia kufungwa kwa Kiwanda cha Dangote Cement Limited ambacho mdeni wake aliomba kifungwe....
Mtoa mada awali ulikurupuka ukaandika uongo kuwa kiwanda kinafungwa sababu Tanzania kuna sera mbaya za uwekezaji. Kuna mtu alikurekebisha ndio unajifaraghua na paragrapha kibao. Huna akili bali ni poyoyo Return Of Undertaker
 
Ukweli siku zote unachelewa lakini kwa regime hii ya uwongo uwongo na uzandiki hakuna kitakachofichwa tusikijue.

Soon tutasikia, Mwekezaji alikuwa akiikosesha 'serekale' mapato, huku wakiwa wamekaza shingo.!
Hapa atakuja Kabudi, atatoa mimacho na kusema aaaah wacha Dangote aende, watanzania wana uwezo wa kufunga mikanda na kuvumilia, tutashinda tu.
 

Dangote to test US$90 power plant for Mtwara cement factory​


17 October 2020

Dangote Cement will test run a new US$90m gas-fired power plant in Mtwara, Tanzania, later this month. The plant has been delayed with the outbreak of COVID-19, but it will supply the Mtwara cement plant and reduce Dangote Cement's reliance on coal imports....
Mpaka sasa huu mtambo aujaanza fanya kazi,kutokana na matatizo ya kiufundi .Dangote ananunua bado umeme toka kampuni inayoitwa TURBINE POWER ya wakenya inayozalisha umeme kutokana na Gesi.umeme anaotumia Dangote kwa siku ni zaidi ya umeme wa mkoa wa Mtwara. Hivyo akisema atumie umeme wa Tanesco mtwara yote itakosa umeme na bado utakuwa aumtoshi.

Kuzalisha umeme wake bado akumsaidii kuepuka matumizi ya makaa ya mawe! kwenye viwanda vya cement Uchomaji wa Gypsum ufanywa na gas,mafuta mazito au makaa ya mawe cjajua why Dangote akufunga gas powered Kiln japo gesi inapatikana Mtwara.....Bado tuna safari ndefu sana Watanzania kuja kufika nchi ya ahaadi.

Mungu ibariki Tanzania🙏
 
Ndio tuseme yote lakini tusihusishe matatizo ya menejimenti ya makampuni binafsi na sera za uwekezaji. Kushindwa kwao kuendesha hakuhusiani na sera huo ndio ukweli. Kwa mfano kati ya wawekezaji waliokuwa wapendelewa sana ni Dangote hakuna anayepinga hilo.
Kwa maujenzi haya ya stingler Joji, Standard Geji na mabarabara matumizi ya Cement hapa Tanzania yameongezeka sana na hilo alitakiwi lilete sababu ya kiwanda kutaka kufilisiwa!!. Tukiondoa ushabiki maandazi kuna kitu sehemu hakipo sawa... Ningesema hapa hicho kitu lakini naishia hapa
 
Unamaanisha huyu bush lawyer ndio wakili msomi?
Bush lawyer ndio nini kwanza?
Nafamhamu vizuri Mselewa toka UDSM pale School of Law, na alikuwa mwalimu mzuri sana kwa wanafunzi wenzake.
 
Kwa maujenzi haya ya stingler Joji,Standard Geji na mabarabara matumizi ya Cement hapa Tanzania yameongezeka sana na hilo alitakiwi lilete sababu ya kiwanda kutaka kufilisiwa!!. tukiondoa ushabiki maandazi kuna kitu sehemu akipo sawa...Ningesema hapa hicho kitu lakini naishia hapa
'WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.'

Hii ndio kaulimbiu ya JF, sasa mkuu ya nini kuwa muoga kiasi hiko? c'mon brother!
 
Lazima washangilie shida mnazowapa ndani ya nchi Yao wanashindwa kuwa marafiki wa adui wao? Simple logic adui wa adui yako ni rafiki yako CCM mmeifanya chadema kuwa adui Kuna kosa gani chadema wakiwa marafiki wa adui zenu? Iko wazi nyie mnafanya hujuma kwa upinzani mkijificha kwa mwamvuli wa uzalendo kwenu na wanaowapinga ni wasaliti wa taifa badala ya kuwa wasaliti wa CCM ambayo sio dhambi.
The question is why Dangote and not others such as Heidelberg - Twiga Cement TPC PLC started 1959 up to date, Tanga Cement - Simba..started 1978, Lafargel Helcim Tembo at Mbeya started over 30years are still producing without conflict even Camel Cement started 2006....

Kikubwa nachokiona Dangote ana shida zake pamoja na kulaumu nchi kadhaa za Afrika kuwa sera kandamizi kwa wawekezaji na ana mfumo wa kireberali katika kushinikiza nchi anazowekeza kufuata matakwa yake... Mfano nishati anayotumia kwenye uzalishaji wake anaizalisha mwenyewe hii ni kitu kizuri kwake ila kuna sheria ambazo anazikuta kabla yake katika kuzalisha nishati ambazo huenda zinakinzana na takwa lake nk. Ambapo utaratibu wa kuzibadili unahitaji mchakato wa bunge kwanza nk.

So huwezi kutaka kulazimisha takwa lako kwa simu moja tu kwa Rais kisa wewe ni mwekezaji mkubwa...... Swali la msingi unaporuhusu mwekezaji unategemea nini? Kama ni kufaidisha nchi...iwe kwa kodi, ajira, unafuu wa bei za bidhaa, upatikanaji rahisi, fedha za kigeni, furusa nk. Sasa unaona huvipati in full extent unafanyaje? Kuna attached clip hapo juu ilikuwa ya Mwaka 2017 kwenye FT Summit Africa nataka niseme interview kama ile na maswali na majibu huwa vinaandaliwa mahususi kusifu au kushinikiza nchi husika kukubali masharti ya fulani fulani ili kuendelea kuzalisha massive profit bila kumjali mnufaika ambaye ni nchi husika.
Tuna mkanganyo kwenye aina ya mifumo inayo ongoza uchumi wa nchi zetu za kiafrika kati socialism na capitalism tunaichanganya ili kuunda globalization kuna mengi hapo nk.

Dangote ni oppotunist, innovative na predominant so ukiwa una vyote hivi unakuwa Dangote... Magufuli anatamani watanzania tuibuke madongete wapya wa Afrika issue ipo kwenye technical of to know how. Hapo tunakuja wasaidizi wake wanaendaje how committed they are, sera zetu ni zipi na sheria zetu zikoje katika kupata 50/50... Assalamu Alaikum.
 
Mkigombana ndani yaa nyumba Mungu huondoa baraka vile vile kama Nchi inamanung'uniko uchumi huyumbayumba
 
Mazingira mabovu ya uwekezaji, sheria nyingi ambazo hazina tija, ukitaka kujua nchi hii ina mazingira magumu ya kufanya biashara basi kuwa nakampuni yako na ufanye biashara, naelewa ndagote anapitia hiyo hali.

Unaweza ukapata kazi ukakwamisha na VAT certificate tu haha nchi hii kiboko, wanatumia sheria za kikoloni version 2
Mbona viwanda vingine vinafanya kazi?
 
Tulishasema wafanyabiashara wababaishaji lazima waondoke mapema. No way ufisadi awamu hii hauruhusiwi la sivyo lazima kifungo kinamhusu!

Wewe ni fala siunkula kwa mgongo wa kod zetu
 
Tulidanganywa kuwa anafanya service ya week mbili kumbe anakusanya virago vyake aondoke uwekezaji bongo umemshinda.

=====

Mahakama Kuu imezuia kufungwa kwa Kiwanda cha Dangote Cement Limited ambacho mdeni wake aliomba kifungwe.

Kampuni ya NSK Oil and Gas Limited ilitaka Kiwanda cha Dangote kifungwe kwa kushindwa kumlipa Tsh bilioni 5.8.

Mei 2018, Dangote na NSK Oil walikubaliana kuwa kampuni ya NSK impelekee mafuta Dangote. NSK alichukua mkopo wa Tsh 11.1 bilioni Standard Chartered Bank kama mtaji wa kufanya kazi hiyo.

Dangote alidaiwa kushindwa kulipa kama walivyokubaliana, hali iliyofanya Standard Chartered kuwashtaki ili walipe deni la Tsh 5.8 bilioni. Ambapo NSK aliiomba mahakama ifunge Kiwanda cha Dangote.

Dangote akaomba kisifungwe kwa kutumia Ibara ya 283 ya Sheria ya Kampuni ya 2002 ambayo inaruhusu kampuni kuomba kuzuia kufungwa muda wowote kabla amri ya kufungwa haijatoka.
===
Dar es Salaam. The High Court has blocked proceedings for winding up of Dangote Cement Limited instituted by NSK Oil and Gas Limited pending determination of a Sh5.8 billion suit Standard Chartered Bank has filed against the two companies.

NSK, suppliers of oil products, lubricants, and liquefied petroleum gas (LPG) has filed at the commercial division of the High Court a petition for the winding up of the cement producer over inability to settle a Sh5.8 billion debt.

The petition prompted Dangote to file an application at the same court in which it sought orders to halt the move pending determination of the case Standard Chartered has filed against them over an unsettled Sh5.8 billion overdraft facility.

Dangote then asked the court to halt the winding up proceedings including publication of the petition for winding up, arguing that the petition was premature and was filed in bad faith.

The company further argued that publication of the petition for its winding up would cause them irreparable reputational damage.

The dispute arose from an agreement Dangote entered with NSK Oil in May 2018 for the later to supply the former with fuel.


To facilitate smooth supply of the fuel, NSK Oil secure and obtained an overdraft to a limit of Sh11.1 billion from Standard Chartered Bank as a working capital.

As a security for the loan, NSK Oil assigned its debt in the performance of the agreement to the bank by a notice of assignment signed by both parties in the deal.

However, things did not go well between the bank, on one side, and Dangote and NSK Oil, on the other. Dangote allegedly failed to pay some money as agreed, forcing Standard Chartered bank to sue them to recover Sh5.8 billion debt.

While the Standard Chartered suit was pending in the commercial court, NSK Oil filed a winding up petition against Dangote over inability to pay Sh5.8 billion.

Dangote reacted immediately by filing an application at the same court, pleading with the court to stop the winding up petition because it has a direct bearing to a case Standard Chartered had sued them.

“…this petition is intended to threaten the applicant (Dangote) and was filed with mala fide intended to embarrass, ridicule, and inflict irreparable reputational damage to the applicant. “Entertaining the winding up petition will be tantamount to turning this court into debt collection agent,” argued lawyer for Dangote,” argued Dangote through its lawyer.

NSK Oil strongly opposed the application, saying the case Standard Chartered had filed against them had no bearing with the winding up petition

In his recent decision, High Court Judge Stephen Magoiga said Dangote was justified to defend her interests by opposing the winding up process.

“I am of the strong considered opinion the this winding up petition has a strong bearing to the Commercial Case No. 7 of 2020 ( the case Standard Chartered Bank is suing Dangote and NSK Oil, hence, the call to restrain is justifiable,” said the judge.

Section 283 of the Companies Act, 2002 allows a company or creditor to apply for orders to stop winding up petition at any time before winding up order has been made.

“The winding up of a company amounts to legally killing and burying of the company and our parliament in its wisdom by incorporating the provision of section 283 of the Companies Act was meant to protect the process where the circumstances are so demanding. In this application, I find this is one of the fit cases for this court to exercise its discretion,” said the judge.


View attachment 1640919


Hapa watu lazima wakae miezi 3 bila salary sio kwa balaa hili, badala ya serikali kuingilia japo iwape unafuu wa kodi ili sehemu ya pesa walipie madeni kunusuru kuathiri supply na vibarua vya watu wake yenyewe itakaa kimya kama haioni.. Kinaweza kisifungwe lakini kikauzwa kufidia deni
 
Is Tanzania a country to invest?

Dangote wellcome in Kenya for further investment
Nakumbuka kipindi cha JK wawekezaji walikuwa wanapewa tax holiday kwa muda fulani japo walikuwa wanatumia vibaya but ilisaidia kuweka mzunguko wa pesa kwenye uchumi na kufanya demand iwe kubwa hivyo kuzidi kuchochea biashara mpya lakini huyu wa sasa hajui chochote kuhusu uchumi zaidi ya kujenga jenga tu mavitu yasiyo na maana
 
Ndio tuseme yote lakini tusihusishe matatizo ya menejimenti ya makampuni binafsi na sera za uwekezaji. Kushindwa kwao kuendesha hakuhusiani na sera huo ndio ukweli. Kwa mfano kati ya wawekezaji waliokuwa wapendelewa sana ni Dangote hakuna anayepinga hilo.
Nakubaliana na kila neno lako.

Kashindwa mwenyewe. Asitutie wazimu.

And he is a lightweight too, umeona hiyo clip iliyowekwa humu?

Kaulizwa Tanzania unaendeleaje na uwekezaji? Kajibu tatizo la Tanzania ni business policy, bunge limekomaa na sheria ya gawio la 16% shares za kampuni kwenda kwa serikali. Nilipoenda kuongea na Rais Mstaafu (hajamtaja, atakuwa ni yule mpole mpole aliyemwalika nchini ) akanambia usikonde, hiyo sheria haikuhusu manake hauko kwenye madini.

Kwa hiyo ni Wanageria wenzie kwenye management wanampiga halafu wanamdanganya, mzee tatizo gawio!

Au, ni mwongo, a congenital liar, alizoea serikali za kimagumashi na viongozi syconphants, wapigaji wanaomchekea chekea, sasa kakutana na bandido lenzake halimfagilii utajiri wake, kakoma kuringa.

Aondoke. Saruji haikushuka bei Dangote alipokuja, hit the road Jack!
 
Habari mbaya, Ajira za watanzania zinapotea kwa mara nyingine
Dah! Jamaa alivyoingia madereva wengi sana walipata ajira na kwa mshahara angalau..! Mungu awasimamie pengine na Dangote serikali imemkalia kooni kiasi cha kushindwa kumudu kodi
 
Uwekezaji kumbe ni rahisi hivi,
Yaani unatengeneza jina tu kisha mengine yanatiririka tu.
 
Back
Top Bottom